Pozi za kishamba

Pozi za kishamba

kujipangusa uso kwa kutumia mikono mara kwa mara kabla ya kupga picha
 
Kukaa tu siku tatu mfululizo, bila kusoma uzi wa tata nyarusare
 
Kujipiga picha upo kwenye bus afu unaweka mtandaoni unaandika"maombi yenu wapendwa nasafiri"tena hasa wadada unakuta kabetua na kimdomo .....
 
Kuongelea mada za kuleee wanaume walipotoka. Wakaburudika kwenye hotel zao za kwanzaa na kukalia kiti laini bure ni ushamba.
 
Hizo sio pozi za kishamba mkuu ni pozi za kisukuma
 
Kwa mtazamo wangu hizi ndio picha za kishamba:
1. Kupiga picha umeshika soda
2. Kupiga picha ndani ya gari, malango wazi, umeshikilia sterling, na unamuangalia mpiga picha.
3. Kupiga picha umesimama kando ya TV
4.....endelezeni
kupiga picha na kutuonyesha makalio, hasa yale yaliyo bonyea bonyea (yana manundu)
 
Kufuatilia mambo ya watu kama jinsi ya kupozi kupiga picha
 
Kukaa tu siku tatu mfululizo, bila kusoma uzi wa tata nyarusare
Uko wapi tata nyarusare kuna mtu anakutafuta huku! Ni siku nyingi kirkuu zimepiga mzigo mpaka hasara sioni kwako
 
Kwa mtazamo wangu hizi ndio picha za kishamba:
1. Kupiga picha umeshika soda
2. Kupiga picha ndani ya gari, malango wazi, umeshikilia sterling, na unamuangalia mpiga picha.
3. Kupiga picha umesimama kando ya TV
4.....endelezeni
Weee ulisikia wapi?😆😆😆😆😆😆
 
Kupiga picha na mzungu / wazungu then unaipost, ili iweje? Huo nao ni ushamba uliokithiri ukidhani kua wao ni better kuliko sisi black people,

2. Kupiga picha na watu wakubwa wenye majina mf miss world, Rais au waziri, na hapo may be aliyembelea ofisi unayofanya kazi si wewe personal ,huo ni ushamba. Wa hali ya juu,
Mishhhhhjuuuuw!!!!
 
Back
Top Bottom