abagabo
Senior Member
- Jun 4, 2014
- 155
- 168
Heshima kwenu wanajamvi,
Hivi ni sahihi siku ya PH Jamuhuri kutotaja vielelezo walivyonanyo au watakavyotumia wakati wa ushahidi? Nimeshuhudia kwenye kesi ya ya jamaa yangu PP akisema vielelezo watavielezea siku ya ushahidi.
Je, ni sahihi? Je, kielelezo ambacho akikutajwa wakati wa PH kinaruhusiwa kupokelewa kwenye ushahidi? Je, kuna rejea yoyote ya high Court au CA inayohusu suala kama ili?
Msaada.
Hivi ni sahihi siku ya PH Jamuhuri kutotaja vielelezo walivyonanyo au watakavyotumia wakati wa ushahidi? Nimeshuhudia kwenye kesi ya ya jamaa yangu PP akisema vielelezo watavielezea siku ya ushahidi.
Je, ni sahihi? Je, kielelezo ambacho akikutajwa wakati wa PH kinaruhusiwa kupokelewa kwenye ushahidi? Je, kuna rejea yoyote ya high Court au CA inayohusu suala kama ili?
Msaada.