PPP ni lini mtaziendesha kwa Ubia hizi ATCL na TTCL?

PPP ni lini mtaziendesha kwa Ubia hizi ATCL na TTCL?

TTCL haihitaji mbia, bali inahitaji outsouce kazi zake, kama ambavyo inafanya sasa kwenye ujenzi wa miundombinu yake, (minara na fiber network), basi inaabidi ifanye hivyo hivyo kwenye :
1. Sales & Marketing
Voda, tigo, airtel, halotel vijana kila siku wako njiani wanalipwa kusajili line mpya, yani kila mmoja anataka pata wateja zaidi, hao wote hizo kazi wametoa zifanyww na makampuni mengine na wanalipwa kwa commision.
2. Maintanance ya fiber network na telecom infrasttucture wa outsource kwa huawei, ikiwezekana wauze kabisa minara yao kwa either Tower of Africa (anayemiliki sasa minara ya Tigo) au Minara (Anayemiliki minara ya Airtel). Japo Minara naweza mpa priority kwenye hilo maana ni affordable compared na TOA na Helios.
3. Haya mengine ntawaambia siku nikiwa MD TTCL.
 
TTCL haihitaji mbia, bali inahitaji outsouce kazi zake, kama ambavyo inafanya sasa kwenye ujenzi wa miundombinu yake, (minara na fiber network), basi inaabidi ifanye hivyo hivyo kwenye :
1. Sales & Marketing
Voda, tigo, airtel, halotel vijana kila siku wako njiani wanalipwa kusajili line mpya, yani kila mmoja anataka pata wateja zaidi, hao wote hizo kazi wametoa zifanyww na makampuni mengine na wanalipwa kwa commision.
2. Maintanance ya fiber network na telecom infrasttucture wa outsource kwa huawei, ikiwezekana wauze kabisa minara yao kwa either Tower of Africa (anayemiliki sasa minara ya Tigo) au Minara (Anayemiliki minara ya Airtel). Japo Minara naweza mpa priority kwenye hilo maana ni affordable compared na TOA na Helios.
3. Haya mengine ntawaambia siku nikiwa MD TTCL.
Wengi hawalijui hili , wana activities nyingi lakini nguvu kazi kidogo mno
 
TTCL haihitaji mbia, bali inahitaji outsouce kazi zake, kama ambavyo inafanya sasa kwenye ujenzi wa miundombinu yake, (minara na fiber network), basi inaabidi ifanye hivyo hivyo kwenye :
1. Sales & Marketing
Voda, tigo, airtel, halotel vijana kila siku wako njiani wanalipwa kusajili line mpya, yani kila mmoja anataka pata wateja zaidi, hao wote hizo kazi wametoa zifanyww na makampuni mengine na wanalipwa kwa commision.
2. Maintanance ya fiber network na telecom infrasttucture wa outsource kwa huawei, ikiwezekana wauze kabisa minara yao kwa either Tower of Africa (anayemiliki sasa minara ya Tigo) au Minara (Anayemiliki minara ya Airtel). Japo Minara naweza mpa priority kwenye hilo maana ni affordable compared na TOA na Helios.
3. Haya mengine ntawaambia siku nikiwa MD TTCL.
Tatizo tunakwama wapi?
Serikali imekosa pesa ya kununua hivo vifaa?
 
Back
Top Bottom