PPPC kuvuta mitaji ya $9bn

PPPC kuvuta mitaji ya $9bn

Siku Mh. Rais Samia akijua kuwa Kafulila ni mtu wa porojo, mtu wa kucheza na mitandao na kulipa magazeti kutangaza mipango tu ya PPP na hakuna result yoyote tokea amteue, atamfukuza haraka sana.

Kafulila sio mtu wa matokeo chanya, sio mtu wa maendeleo naturally, that is from his origin, yaani kiasili, Kafulila ni wale watu wa data tu na kusifia sifia kwenye mitandao, TV lakini ukimuuliza nipe mradi mmoja tu au uliokamilika kwa PPP tokea ateuliwe utashangaa, kwa muda tokea ateuliwe ingetakiwa aseme kuna miradi labda 5 au 10 na labda 4 imekamilika na iwe miradi mikubwa ya PPP, ila hana.

Kafulila amekuwa mtu wa kuchukua data za IMF mara WB mara other economic platforms zinazo onyesha +ve trend ya uchumi wetu na kuanza kuzitangaza na kusifia, hiyo sio kazi yake kuu, kapotea

Narudia, siku Mh. Rais akijua Kafulila ni mbabaishaji na sio mtu wa matokeo chanya au maendeleo atamtimua haraka sana.
 
Siku Mh. Rais Samia akijua kuwa Kafulila ni mtu wa porojo, mtu wa kucheza na mitandao na kulipa magazeti kutangaza mipango tu ya PPP na hakuna result yoyote tokea amteue, atamfukuza haraka sana.

Kafulila sio mtu wa matokeo chanya, sio mtu wa maendeleo naturally, that is from his origin, yaani kiasili, Kafulila ni wale watu wa data tu na kusifia sifia kwenye mitandao, TV lakini ukimuuliza nipe mradi mmoja tu au uliokamilika kwa PPP tokea ateuliwe utashangaa, kwa muda tokea ateuliwe ingetakiwa aseme kuna miradi labda 5 au 10 na labda 4 imekamilika na iwe miradi mikubwa ya PPP, ila hana.

Kafulila amekuwa mtu wa kuchukua data za IMF mara WB mara other economic platforms zinazo onyesha +ve trend ya uchumi wetu na kuanza kuzitangaza na kusifia, hiyo sio kazi yake kuu, kapotea

Narudia, siku Mh. Rais akijua Kafulila ni mbabaishaji na sio mtu wa matokeo chanya au maendeleo atamtimua haraka sana.
Acha mambo yako ya UCHADEMA.

Je, kabla ya Kafulila wewe uliifahamu PPP?

Je, unafahamu kuwa PPP ni kiunganishi tu lakini kazi nzima Iko kwenye Wizara husika?

Je, unafahamu kwa muda mfupi wa Kafulila katekeleza yafuatayo,


1. Bandari
2. Vivuko
3. Kariako Jengo kubwa
4. NHC
5. ...
 
Mkuu kwanini usiandoke kitabu?
Ili iweje ? Umefanya research usomaji wa vitabu Tanzania upo vipi ? Na unapoandika kitabu (factual sio fiction) unajua kwa dunia ya leo ni muda gani kitakuwa valid kabla hakijapitwa na wakati ? Na unadhani interactivity na kitabu kipi kinafikisha ujumbe ? Am just doing my civic duty kujaribu kujibu hoja kila zinapoanzishwa nikielewa fika hata nachosema kitakuwa hakina effect kwa watu walioshaamua (hivyo ni katika kuonyesha upande mwingine wa shilingi ili niweze kujibiwa nione kama am missing something)

Na concerning haya mambo ambayo sio mapya wala mageni unadhani ni nini ambacho ni kipya na hakijulikani ? Na mimi nitaongeza nini ambacho hakijafanywa na kina hawa ?


Vilevile nikuulize kama Kazi ambazo ni nzuri zina wateja na tungeweza kuzifanya wenyewe na kuingizia taasisi pesa ya kuboresha pengine zinapewa Private Sectors (zile mbaya ambazo hazina maslahi / huduma pesa ya kuzifanya zitatoka wapi) ?

 
Siku Mh. Rais Samia akijua kuwa Kafulila ni mtu wa porojo, mtu wa kucheza na mitandao na kulipa magazeti kutangaza mipango tu ya PPP na hakuna result yoyote tokea amteue, atamfukuza haraka sana.

Kafulila sio mtu wa matokeo chanya, sio mtu wa maendeleo naturally, that is from his origin, yaani kiasili, Kafulila ni wale watu wa data tu na kusifia sifia kwenye mitandao, TV lakini ukimuuliza nipe mradi mmoja tu au uliokamilika kwa PPP tokea ateuliwe utashangaa, kwa muda tokea ateuliwe ingetakiwa aseme kuna miradi labda 5 au 10 na labda 4 imekamilika na iwe miradi mikubwa ya PPP, ila hana.

Kafulila amekuwa mtu wa kuchukua data za IMF mara WB mara other economic platforms zinazo onyesha +ve trend ya uchumi wetu na kuanza kuzitangaza na kusifia, hiyo sio kazi yake kuu, kapotea

Narudia, siku Mh. Rais akijua Kafulila ni mbabaishaji na sio mtu wa matokeo chanya au maendeleo atamtimua haraka sana.
Unadhani hajui ?

PPPs inaleta loophole ya Serikali kujifanya / kuonyesha inatekeleza kazi bila kuingia kwenye coffers; inaleta mianya ya watu kupiga pesa kwa kupewa tender na kutoa bakshishi; inaleta upenyo wa Serikali kutumia pesa bila limit; yaani ni another avenue yenye loopholes za upigaji; The only people who can say otherwise ni Wananchi ambao kuna uwezekano watakuwa shortchanged; Kwa kulipia Huduma zaidi (hata kama hakuna alternative) na kwa Serikali na Kodi zao kuepuka kufanya huduma muhimu
 
View attachment 3152750

Kituo cha Ubia nchini kati ya sekta ya umma na sekta binafsi (PPPC) kimeendesha Mafunzo maalumu kwa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa( TAMISEMI )

Mafunzo hayo ya siku moja yalilenga kuwajengea uwezo Wahesimiwa Wabunge hao wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano ili kutoa picha pana juu ya muundo na majukumu ya PPP - Cetre hapa Tanzania.

Mambo mengine muhimu ambayo yamejadiliwa katika semina hiyo ni pamoja na umuhimu wa kutumia PPP katika kutekeleza Mipango mbalimbali ya Taifa ya Maendeleo ya nchi, muundo wa kisheria na Kitaasisi katika utekelezaji wa mipango ya PPP Tanzania.

Mambo mengine ambayo yalijadiliwa ni pamoja na dhana ya PPP na Orodha ya miradi ya mbalimbali PPP iliyoandaliwa chini ya Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini.

Mkurugenzi wa PPPC Tanzania Bw. David Kafulila ameiambia kamati hiyo ya Bunge kuwa PPPC inatarajia kuvuta mitaji toka sekta binafsi yenye thamani ya US$9 billion au TZS25 trillioni kwaajili ya Utekelezaji wa miradi midogo ya kati na miradi mikubwa kwa manufaa ya Taifa.

Kwasasa, Tanzania inatekeleza zaidi ya miradi 84 kupitia PPP kwenye nyanja mbalimbali ikiwemo miundombinu , Umeme wa maji pamoja na miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu.

David Kafulila ameiambia kamati hiyo ya Bunge kuwa miradi iliyo kwenye mtiririko wa PPP iko katika hatua mbalimbali za kiutekelezaji kama Upembuzi yakinifu, hatua ya kuandaa mikataba, mingine iko katika tathimini, Manunuzi na mingine iko katika hatua ya uandaaji wa maandiko ya miradi.

“Miradi muhimu kama barabara za kulipia toka Kibaha-Chalinze US$340millioni sawa na TZS 888bn pamoja na Ujenzi wa barabara za mzunguko kwa Jiji la Dar es salaam ambazo zitafuta kabisa foleni wenye thamani ya US$1 billioni karibu TZS 2.7trilioni,
Miradi hii yote inaendelea vizuri" alisema Mkurugenzi huyo wa PPP Bw David Kafulila.

Faida kuu kwà PPP ni kuifanya Serikali ya nchi husika iweze kutekeleza miradi yake mbalimbali ya maendeleo kwa faida ya Wananchi wake lakini pasina kutumia Kodi wala tozo toka kwa wananchi wake hivyo kupunguza maumivu ya Kodi na kuisaidia Serikali hiyo iweze kutekeleza miradi mbalimbali ambayo tu haiwezi kuvuta au kuvutia wabia wa PPP.

Ngoja tuone
 
Tanzania tunahitaji watu makini sio Rasilimali kwani Rasilimali tunazo, karibu zote,
Mkapa alikuja na sera hii ya ubinafshaji tuliona matokeo yake
Nataka kujua hii PPP inatofauti gani na ile ya Mkapa?
Abood pale Morogoro anamajengo yetu yeye anafugia Mbuzi wakati kile kilikuwa ni kiwanda
Kafulila jembe moja kwa moja
 
Unadhani hajui ?

PPPs inaleta loophole ya Serikali kujifanya / kuonyesha inatekeleza kazi bila kuingia kwenye coffers; inaleta mianya ya watu kupiga pesa kwa kupewa tender na kutoa bakshishi; inaleta upenyo wa Serikali kutumia pesa bila limit; yaani ni another avenue yenye loopholes za upigaji; The only people who can say otherwise ni Wananchi ambao kuna uwezekano watakuwa shortchanged; Kwa kulipia Huduma zaidi (hata kama hakuna alternative) na kwa Serikali na Kodi zao kuepuka kufanya huduma muhimu
Andika kitabu uokoe Taifa lako
 
Andika kitabu uokoe Taifa lako
Achana na hili jambo lenye technicalities nilishaweka bandiko humu ambalo lipo wazi na linamtafuna kila raia kwa sasa kwa watu kuhamasisha Mapishi kwa LPG (ambayo hatuna na tunaagiza) na wakati tuna mbadala ambao ni nafuu (UMEME) lakini bado viongozi wetu wanahamasisha kwa kugawa mitungi na kukataza kuni ili mwananchi aendelee kutafunwa... Andiko ni bure kabisa na linagusa kila mtu ila ndio hivyo...

 
Back
Top Bottom