Pre GE2025 PPR News Analysis : Kurejeshwa kwa Makamba ina maana kuna watu wamepwaya! Bado Nepi na Konda Boy!

Pre GE2025 PPR News Analysis : Kurejeshwa kwa Makamba ina maana kuna watu wamepwaya! Bado Nepi na Konda Boy!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi

Mimi ni story teller, from time to time, nitakuwa nafanya short sessions za News analysis ambazo zitaitwa "PPR News Analysis".

Nichukue fursa hii kuelimisha kidogo hii news analysis ni nini.
News analysis ni uchambuzi wa habari, kwa kuwaita manguli kuichambua habari
fulani na ina maanisha nini. Kwa Tanzania, TV inayofanya uchambuzi wa habari ni Star TV pekee kipindi chao cha Jicho Letu, Vyombo Vya Habari Vya Tanzania, Havina Uwezo wa Uchambuzi wa Habari, News Analysis-Jicho Letu lakini TV zote, Radio zote kutwa ni uchambuzi wa mpira tuu!.

Moja ya sababu kwanini hatuna news analysis ni kwasababu media yetu, hatuna watangazaji wabobezi
kihivyo wa kutosha.

Kwavile mimi ni mbobezi kihivyo wa kutosha, nimekuwa nawafanyia analysis za kihivyo from time to time.

Analysis ya leo ni kitendo cha Mama kumwangukia mwanae Janu, ila pia nimeikubali Tanga!, Tanga sio mchezo!, kama una jambo lako lolote, akatokea mtu akakuambia akupeleke Tanga, were nenda, hutajutia!, kunaonekana kuna wataalam na watalamuna!, mtu anatumbuliwa once, mtumbuaji anachomoka!, aliyeingia akamrejesha!, akapigwa majungu top down, left, right and center, akapigwa kibao na kufichiwa chakula alale njaa!. Leo Maza kamkumbuka, kamsamehe!, hi sio kawaida!.

Sasa kabla sijasema ya Janu, anzia kwanza hapa
If you're good, you are good!, yaani mtu ukiwa ni mzuri, ni mzuri, Janu is dam good!.

Kuna viburi vingi, kiburi cha kupendwa, kiburi cha urembo, kiburi cha utajiri, kiburi cha usomi, kiburi cha u supper star, kiburi cha madaraka, kiburi cha mamlaka, kiburi cha male chauvanism, kiburi cha feminism, kiburi cha superiority complex etc na viburi vingine kibao ila for the sake of bandiko hili, nitajikita kwenye viburi fulani viwili, kiburi cha pesa, jeuri ya pesa, na kiburi cha madaraka yaani power corrupt.

Kiburi cha pesa au jeuri ya pesa, inaitwa money confidence, mtu akiwa na pesa, tajiri, anajisikia sana akiamini money can buy everything, ukiwa na pesa unaweza kufanya chochote!. Kiongozi ukipenda pesa na kuzungukwa na watu wenye pesa, then, watu wenye pesa watakuambia kufanya chochote na wewe you can't say no! kama Trumpu na Eloni Muski.

Kiburi cha madaraka, mamlaka na power ni kuzisikia unaweza kufanya jambo lolote kwa yeyote na kuona no one is indispensable, hivyo unaweza kumteua yeyote na kumtengua
yeyote kwa sababu yoyote au bila sababu yoyote!.

Kwasababu mteuzi anateua at her pleasures pia anatumbua as she please, kuna watu wametenguliwa kwa vikosa vidogo kama yule waziri mchonga vinyago na msemo wake ule wa kinyago ukichonge mwenyewe, hakiwezi kukutisha, akiita watu vinyago!, si akaja kuteleza na kujikwaa ulimi, akajikuta ameiropoka ile well guarded top secret ya siri ya ushindi wa chama kubwa!, bila kujua kuwa alikuwa anarekodiwa!, kama ilivyo tokea kwa yule andunje wa mjengo!.

By the time anashituka, ngoma ameisha panda na kwenda viral!, ikambidi ajibaraguze kwa kuzuga, kuwa it was a joke!, it was too late!, Maza akaamua kusafisha nyumba kwa kufagia takataka zote! hadi yule waziri kijana kosa lake ni lipi?!.

Kiburi cha madaraka na mamlaka kinamfanya kiongozi kuwa too blind to see, individual leadership talents akiamini you can make anyone to be anything and fit in any post!.

Ni baada ya muda amegundua
kuna watu wamepwaya!, viatu vya Janu, Nepi na Konda Boy bado havijapata watu vikawafiti barabara, hivyo kwa kazi iliyopo mbele yetu, ame realize baadhi ya watu are really good na wamemsaidia, hivyo mzazi amemwangukia mtoto!.

Hivyo soon tutashuhudia cabinet reshuffle, yule diplomat Mzenji atatafutiwa mahali pazuri tuu pa kuwekwa sio pale, pale anarejeshwa Barack Obama wetu, baadaye pia atagusa chama, ukilinganisha uenezi wa Konda Boy na aliyepo sasa ni mbingu na nchi!. Kwa vile huu ni mwaka wa uchaguzi, lazima twende na good ones!.

What does this mean? Maza is getting better and better!, kufikia October, she'll be the best!, akifika tuu ile tarehe ni mtu ....
unachukua....
unaweka....
.... malizia!.

Big Up Sana Mama!.

Paskali
Rejea nyingine za PPR analysis ni hizi
 
Waaaaaa!

This time tunakuombea pia Mh. Prezidaa akuone…(Wengine hatujazoea kuita “MAMA”)
Halafu hii “MAMA” ingepigwa Marufuku kabisa.
Nakumbuka hata watoto wa walimu wazazi wao walikuwa hawapendi waitwe Baba, Mama.
“Niite Baba, Mama tukiwa nyumbani”.
 
Anarudishwa kundini siyo sababu the guy is damn good.
Sababu kuondoa makundi wa navigate vizuri mwaka wa uchaguzi.
Labda yupo vizuri kwenye mambo ya parallel tallying centers siyo uongozi serikalini.
Yale ya Masaki 2015 😃🤭🤭.
 
Wanabodi

Mimi ni story teller, from time to time, nitakuwa nafanya short sessions za News analysis ambazo zitaitwa "PPR News Analysis".

Analysis ya leo ni kitendo cha Mama kumwangukia mwanae Janu, ila pia nimeikubali Tanga!, Tanga sio mchezo!, kama una
jambo lako lolote, akatokea mtu akakuambia akupeleke Tanga, nenda, hutajutia!.

Sasa kabla sijasema ya Janu, anzia kwanza hapa
If you're good, you are good!, yaani mtu ukiwa ni mzuri, ni mzuri, Janu is dam good!.

Kuna viburi vingi, kiburi cha kupendwa, kiburi cha urembo, kiburi cha utajiri, kiburi cha usomi, kiburi cha u supper star, kiburi cha madaraka, kiburi cha mamlaka, kiburi cha male chauvanism, kiburi cha feminism, kiburi cha superiority complex etc na viburi vingine kibao ila for the sake of bandiko hili, nitajikita kwenye viburi fulani viwili, kiburi cha pesa, jeuri ya pesa, na kiburi cha madaraka yaani power corrupt.

Kiburi cha pesa au jeuri ya pesa, inaitwa money confidence, mtu akiwa na pesa, tajiri, anajisikia sana akiamini money can buy everything, ukiwa na pesa unaweza kufanya chochote!. Kiongozi ukipenda pesa na kuzungukwa na watu wenye pesa, then, watu wenye pesa watakuambia kufanya chochote na wewe you can't say no! kama Trumpu na Eloni Muski.

Kiburi cha madaraka, mamlaka na power ni kuzisikia unaweza kufanya jambo lolote kwa yeyote na kuona no one is indispensable, hivyo unaweza kumteua yeyote na kumtengua
yeyote kwa sababu yoyote au bila sababu yoyote!.

Kwasababu mteuzi anateua at her pleasures pia anatumbua as she please, kuna watu wametenguliwa kwa vikosa vidogo kama yule waziri mchonga vinyago na msemo wake ule wa kinyago ukichonge mwenyewe, hakiwezi kukutisha, akiita watu vinyago!, si akaja kuteleza na kujikwaa ulimi, akajikuta ameiropoka ile well guarded top secret ya siri ya ushindi wa chama kubwa!, bila kujua kuwa alikuwa anarekodiwa!, kama ilivyo tokea kwa yule andunje wa mjengo!.

By the time anashituka, ngoma ameisha panda na kwenda viral!, ikambidi ajibaraguze kwa kuzuga, kuwa it was a joke!, it was too late!, Maza akaamua kusafisha nyumba kwa kufagia takataka zote! hadi yule waziri kijana kosa lake ni lipi?!.

Kiburi cha madaraka na mamlaka kinamfanya kiongozi kuwa too blind to see, individual leadership talents akiamini you can make anyone to be anything and fit in any post!.

Ni baada ya muda amegundua
kuna watu wamepwaya!, viatu vya Janu, Nepi na Konda Boy bado havijapata watu vikawafiti barabara, hivyo kwa kazi iliyopo mbele yetu, ame realize baadhi ya watu are really good na wamemsaidia, hivyo mzazi amemwangukia mtoto!.

Hivyo soon tutashuhudia cabinet reshuffle, yule diplomat Mzenji atatafutiwa mahali pazuri tuu pa kuwekwa sio pale, pale anarejeshwa Barack Obama wetu, baadaye pia atagusa chama, ukilinganisha uenezi wa Konda Boy na aliyepo sasa ni mbingu na nchi!. Kwa vile huu ni mwaka wa uchaguzi, lazima twende na good ones!.

What does this mean? Maza is getting better and better!, kufikia October, she'll be the best!, akifika tuu ile tarehe ni mtu ....
unachukua....
unaweka....
.... malizia!.

Big Up Sana Mama!.

Paskali
Hakuna tija yoyote ile kwenye suala hili.
Tatizo hapa lipo pande zote: Manahodha wa Meli ni Wabovu na hata Meli yenyewe pia ni mbovu, imetoboka. Hata wabadilishwe Manahodha mara nyingi kiasi gani Meli hiyo lazima itazama tu.
Meli kuzama ni Jambo ambalo haliepukiki.
La kuvunda halina ubani!
 
Wanabodi

Mimi ni story teller, from time to time, nitakuwa nafanya short sessions za News analysis ambazo zitaitwa "PPR News Analysis".

Analysis ya leo ni kitendo cha Mama kumwangukia mwanae Janu, ila pia nimeikubali Tanga!, Tanga sio mchezo!, kama una jambo lako lolote, akatokea mtu akakuambia akupeleke Tanga, were nenda, hutajutia!, kunaonekana kuna wataalam na watalamuna!, mtu anatumbuliwa once, mtumbuaji anachomoka!, aliyeingia akamrejesha!, akapigwa majungu top down, left, right and center, akapigwa kibao na kufichiwa chakula alale njaa!. Leo Maza kamkumbuka, kamsamehe!, hi sio kawaida!.

Sasa kabla sijasema ya Janu, anzia kwanza hapa
If you're good, you are good!, yaani mtu ukiwa ni mzuri, ni mzuri, Janu is dam good!.

Kuna viburi vingi, kiburi cha kupendwa, kiburi cha urembo, kiburi cha utajiri, kiburi cha usomi, kiburi cha u supper star, kiburi cha madaraka, kiburi cha mamlaka, kiburi cha male chauvanism, kiburi cha feminism, kiburi cha superiority complex etc na viburi vingine kibao ila for the sake of bandiko hili, nitajikita kwenye viburi fulani viwili, kiburi cha pesa, jeuri ya pesa, na kiburi cha madaraka yaani power corrupt.

Kiburi cha pesa au jeuri ya pesa, inaitwa money confidence, mtu akiwa na pesa, tajiri, anajisikia sana akiamini money can buy everything, ukiwa na pesa unaweza kufanya chochote!. Kiongozi ukipenda pesa na kuzungukwa na watu wenye pesa, then, watu wenye pesa watakuambia kufanya chochote na wewe you can't say no! kama Trumpu na Eloni Muski.

Kiburi cha madaraka, mamlaka na power ni kuzisikia unaweza kufanya jambo lolote kwa yeyote na kuona no one is indispensable, hivyo unaweza kumteua yeyote na kumtengua
yeyote kwa sababu yoyote au bila sababu yoyote!.

Kwasababu mteuzi anateua at her pleasures pia anatumbua as she please, kuna watu wametenguliwa kwa vikosa vidogo kama yule waziri mchonga vinyago na msemo wake ule wa kinyago ukichonge mwenyewe, hakiwezi kukutisha, akiita watu vinyago!, si akaja kuteleza na kujikwaa ulimi, akajikuta ameiropoka ile well guarded top secret ya siri ya ushindi wa chama kubwa!, bila kujua kuwa alikuwa anarekodiwa!, kama ilivyo tokea kwa yule andunje wa mjengo!.

By the time anashituka, ngoma ameisha panda na kwenda viral!, ikambidi ajibaraguze kwa kuzuga, kuwa it was a joke!, it was too late!, Maza akaamua kusafisha nyumba kwa kufagia takataka zote! hadi yule waziri kijana kosa lake ni lipi?!.

Kiburi cha madaraka na mamlaka kinamfanya kiongozi kuwa too blind to see, individual leadership talents akiamini you can make anyone to be anything and fit in any post!.

Ni baada ya muda amegundua
kuna watu wamepwaya!, viatu vya Janu, Nepi na Konda Boy bado havijapata watu vikawafiti barabara, hivyo kwa kazi iliyopo mbele yetu, ame realize baadhi ya watu are really good na wamemsaidia, hivyo mzazi amemwangukia mtoto!.

Hivyo soon tutashuhudia cabinet reshuffle, yule diplomat Mzenji atatafutiwa mahali pazuri tuu pa kuwekwa sio pale, pale anarejeshwa Barack Obama wetu, baadaye pia atagusa chama, ukilinganisha uenezi wa Konda Boy na aliyepo sasa ni mbingu na nchi!. Kwa vile huu ni mwaka wa uchaguzi, lazima twende na good ones!.

What does this mean? Maza is getting better and better!, kufikia October, she'll be the best!, akifika tuu ile tarehe ni mtu ....
unachukua....
unaweka....
.... malizia!.

Big Up Sana Mama!.

Paskali
Mkuu Mayalla wewe ni professional journalist. Hizi mambo za kutumia muda mwingi kupiga ramli tuachie sisi amateurs, bhana!
 
Wanabodi

Mimi ni story teller, from time to time, nitakuwa nafanya short sessions za News analysis ambazo zitaitwa "PPR News Analysis".

Analysis ya leo ni kitendo cha Mama kumwangukia mwanae Janu, ila pia nimeikubali Tanga!, Tanga sio mchezo!, kama una jambo lako lolote, akatokea mtu akakuambia akupeleke Tanga, were nenda, hutajutia!, kunaonekana kuna wataalam na watalamuna!, mtu anatumbuliwa once, mtumbuaji anachomoka!, aliyeingia akamrejesha!, akapigwa majungu top down, left, right and center, akapigwa kibao na kufichiwa chakula alale njaa!. Leo Maza kamkumbuka, kamsamehe!, hi sio kawaida!.

Sasa kabla sijasema ya Janu, anzia kwanza hapa
If you're good, you are good!, yaani mtu ukiwa ni mzuri, ni mzuri, Janu is dam good!.

Kuna viburi vingi, kiburi cha kupendwa, kiburi cha urembo, kiburi cha utajiri, kiburi cha usomi, kiburi cha u supper star, kiburi cha madaraka, kiburi cha mamlaka, kiburi cha male chauvanism, kiburi cha feminism, kiburi cha superiority complex etc na viburi vingine kibao ila for the sake of bandiko hili, nitajikita kwenye viburi fulani viwili, kiburi cha pesa, jeuri ya pesa, na kiburi cha madaraka yaani power corrupt.

Kiburi cha pesa au jeuri ya pesa, inaitwa money confidence, mtu akiwa na pesa, tajiri, anajisikia sana akiamini money can buy everything, ukiwa na pesa unaweza kufanya chochote!. Kiongozi ukipenda pesa na kuzungukwa na watu wenye pesa, then, watu wenye pesa watakuambia kufanya chochote na wewe you can't say no! kama Trumpu na Eloni Muski.

Kiburi cha madaraka, mamlaka na power ni kuzisikia unaweza kufanya jambo lolote kwa yeyote na kuona no one is indispensable, hivyo unaweza kumteua yeyote na kumtengua
yeyote kwa sababu yoyote au bila sababu yoyote!.

Kwasababu mteuzi anateua at her pleasures pia anatumbua as she please, kuna watu wametenguliwa kwa vikosa vidogo kama yule waziri mchonga vinyago na msemo wake ule wa kinyago ukichonge mwenyewe, hakiwezi kukutisha, akiita watu vinyago!, si akaja kuteleza na kujikwaa ulimi, akajikuta ameiropoka ile well guarded top secret ya siri ya ushindi wa chama kubwa!, bila kujua kuwa alikuwa anarekodiwa!, kama ilivyo tokea kwa yule andunje wa mjengo!.

By the time anashituka, ngoma ameisha panda na kwenda viral!, ikambidi ajibaraguze kwa kuzuga, kuwa it was a joke!, it was too late!, Maza akaamua kusafisha nyumba kwa kufagia takataka zote! hadi yule waziri kijana kosa lake ni lipi?!.

Kiburi cha madaraka na mamlaka kinamfanya kiongozi kuwa too blind to see, individual leadership talents akiamini you can make anyone to be anything and fit in any post!.

Ni baada ya muda amegundua
kuna watu wamepwaya!, viatu vya Janu, Nepi na Konda Boy bado havijapata watu vikawafiti barabara, hivyo kwa kazi iliyopo mbele yetu, ame realize baadhi ya watu are really good na wamemsaidia, hivyo mzazi amemwangukia mtoto!.

Hivyo soon tutashuhudia cabinet reshuffle, yule diplomat Mzenji atatafutiwa mahali pazuri tuu pa kuwekwa sio pale, pale anarejeshwa Barack Obama wetu, baadaye pia atagusa chama, ukilinganisha uenezi wa Konda Boy na aliyepo sasa ni mbingu na nchi!. Kwa vile huu ni mwaka wa uchaguzi, lazima twende na good ones!.

What does this mean? Maza is getting better and better!, kufikia October, she'll be the best!, akifika tuu ile tarehe ni mtu ....
unachukua....
unaweka....
.... malizia!.

Big Up Sana Mama!.

Paskali
Hizo sifa zote unazotoa, mbeleko ya vyombo vya dola ndio nguzo halisi. Ila kwa kuwa unamwaga sifa hizi kwa maslahi binafsi, mtego wako tunauheshimu maana ndio mbinu ya kuishi mjini.
 
Nje ya mada, hivi hakunaga viongozi wapya huko ccm hadi kurudishwa wale walee tu wakati walishakosea tena zaidi ya mara 1...hii nini maana yake?!.
Wengine hawako kwenye cycle ya wizi, hivyo hakuna imani wataweza kutunza siri vizuri.
 
Hizo sifa zote unazotoa,
Kitu muhimu Je ni sifa za kweli?.
Huyu ndie PM wa awamu ya kwanza ya Rais Dr. Emanuel Nchimbi!
mbeleko ya vyombo vya dola ndio nguzo halisi.
Sip mbeleko ni mtu wa ukwee
Ila kwa kuwa unamwaga sifa hizi kwa maslahi binafsi,
Mimi sip mtu wa maslahi binafsi, mimi ni mtu wa maslahi ya taifa mbele.
mtego wako tunauheshimu maana ndio mbinu ya kuishi mjini.
Utakuwa unanionea bure, wenye mbinu hizo ni machawa, mimi sio chawa!.
P
 
Makamba ni kiongozi mzuri sema ni mpigaji.
Kuna kitu wengi hawakijui, deals wanadhani ni wizi, sip kila deals ni wizi, wapiga deals wazuri ni ma negotiators wazuri, imejitokeza fursa ya kutatua mgogoro wa DRC, MFA waliopo wote ni weupe!, empty kwasababu hawana jicho la kuangazia fursa kwasababu sio watu wa ma dili.

Huyu dogo angekuwepo ungeona tofauti.
P
 
Back
Top Bottom