Pre GE2025 PPR News Analysis : Kurejeshwa kwa Makamba ina maana kuna watu wamepwaya! Bado Nepi na Konda Boy!

Pre GE2025 PPR News Analysis : Kurejeshwa kwa Makamba ina maana kuna watu wamepwaya! Bado Nepi na Konda Boy!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kaka yangu Mayalla majuzi umenikoea sana , maandiko yako nimeanza kuyachukia mkuu
Nilikusoma comments zako kwenye yale mabandiko yangu mawili, kwa vile ni mwandishi wa habari wa ukweli, wajibu wetu ni kwa jamii, nchi na maslahi ya taifa mbele, hatuandiki kumfurahisha mtu au kuumuudhi mtu, hivyo pole sana kukereka, sisi wengine kalamu zetu zina ncha kali, hivyo baadhi ya maandiko yetu yanachoma kama dose kumdunga mtu sindano, ila yanawaingia!, na baadhi dose ni kali, zimewaingia mpaka wanapata kiwewe na kuanza kuitana kwenye kamati za Bunge, kuhojiana kwasababu tuu mtu umeandika kitu mtu hajakipenda!
P
 
Wachambuzi na waandishi
Manguri mmoja wapo ni ww

Sema tu wandishi na wachambuzi wengi apa kwetu ni njaa lakin pia wana mapenzi binafsi badala ya kusimamia elimu yao

Tz imebarikiwa wandishi,watangazaji na wachambuzi wabobezi weng sana ila shida njaaax100
 
Mimi sijui ni nini cha kumpongeza mama
Mkuu Fazili, umesema vizuri, wewe hujui cha kumpongeza Mama, watu hatufanani, na hakuna ajuaye kila kitu, hivyo kama wewe hujui cha kumpongeza Mama, kisome hicho wanachompongezea wanaojua.
isipokuwa kumlaumu kwa kutokuwa na principles za kufanya maamuzi na kujikuta unateua, unatengua, halafu unateua tena na kutangua tena. Haya mambo sio ya kupongezwa kwa mtu yeyote aliye na ukweli katika matendo yake. Tunapaswa kumlaani mama kwa udhaifu huu mkubwa.
Kwenye hili la uteuzi, wakulaumiwa sio yeye bali ni wasaidizi wake wale jamaa zetu wa vetting, wanamchomekea makorokocho yao! Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
Waandishi "nguli" kama nyie mlipaswa kuwaelewesha watu vizuri na pia kulisemea kwa kweli yake
Hili tumelifanya
Kwanza tumewaelimisha watu kuhusu powers rais za uteuzi Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!
Kisha tukasaidia kumulika tatizo niwapi, Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority? na
flips flops zilipoendelea, hatukunyamaza, Hizi pangua pangua za Rais Samia kwa wateule wake kila uchao zote zina maslahi kwa taifa au kuna flip-flops?
ila badala yake mnatumia ujinga juu wa rais kumpongeza na kujipendekeza kwake.
Sio kila kumpongeza rais ni kujipendekeza
Trump yupo sahihi sana.
Yes, yuko very right.
P.
 
Back
Top Bottom