Pre birthday present ya Auntie Ezekiel kwa Wema Sepetu

Una uhakika gani kuwa Aunty ndiye kanunua hilo gari ili ampe, hao ni wasanii usiwafikirie sana, kuna mtu nyuma hapo hakutaka aonekane.
Na kideo chote kile plus kushangilia awe ana mfanyia mtu
 
Ile nyumba ya k/nyama mmiliki halali ni DR NGOMA.Na pink harrier alinunuliwa na Haidary Kavira aliyekuwa bf wa Penny
 
Miaka yote uliyokua humu hujajua tu ku upload video
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…