Una majungu wewe mwanamkeyani wakuu mnawaamini wasinii du wasanii ni kama wana siasa akikwambia huko nje ni mchana toka nje nenda kahakikishe. wema huyu huyu alijifanya ile nyumba ya makumbusho ni yake kumbe alipewa akae na yule muhasibu wa Air Tanzania ya kibarua kilivyoota nyasi wema akamkimbia jamaa nakumbuka alifulia hadi akawa anauza mishkaki pale mitaa ya leaders ha ha ha ha ikabidi amfukuze wema kwenye ile nyumba akampola na ile harrier ya pink wema akaenda kupanga kunduchi pale uswahilini anakokaa na wale mapunga wakina aggrey
Nyie mnafunga pm na makufuli makubwa kabisa iyo piipi hatuezi kugawa apaaa...Dunia INA upendeleo sana yani birthday yangu imepita hata zawadi ya pipi sijapata.
Nakumbuka enzi za Liyumba!Aaaaaah weeee mchuma Ule tumeuona una rangi ya red brad ni toyota val.. ..sijui???? Ni kweli bhanaaa.....siwez amini eti ni fix
Acheni uchoyoNyie mnafunga pm na makufuli makubwa kabisa iyo piipi hatuezi kugawa apaaa...
Kwenye siredi
2019 -25= 1994 ....amezaliwa 1994 hivyo mwaka 1996 alikuwa miss Tanzania akiwa na miaka miwili ...safi sana!
Enzi anakuwa miss TZ zawadi ilikuwa gari mkuu sio nyumbaNyumba aliyopewa baada ya kushinda umis ipo wapi
BD yako lini?Wadau nimeona Jana Insta kumechafuka. Wema kapewa gari jipya kabisa na Autie Ezekiel zawadi yake ya birthday.
Nimejiuliza maswali mengi sana hivi kumbe Wema na Auntie wana urafiki wa kujaliana kiasi hiki?
Pia zawadi anazopewaga Wema kwenye birthday ni magari tu. Jamani nani yuko naye karibu amwambie aniuzie moja kama second-hand.
Mimi sijui ninakwama wapi rafiki hata wa kunimwagia maji tu sina loh!
Mwisho ingieni wenyewe Insta mjionee msinidai video wakati sijui hata kuiupload JF.
Baadae leo huko elements kuna birthday party theme ni makitu gani sijui. May be warumi anaweza kutupa jina la theme
Wee auntie ana mawe balaa huon anamiliki the luxe?
Wema huyu anayekamatwaga na vipisi vya bangi?wema mwenyew ndio kampa hela ant akamnunulie gari hawana lolote, #lovekick
Acheni mafekeche bana....Utoto gani kiongozi? Watu wako serious na zawadi mchuma mkali kabisa ule
Chukua connection zetu tukutandike magari....Dunia INA upendeleo sana yani birthday yangu imepita hata zawadi ya pipi sijapata.
KwakweliiChukua connection zetu tukutandike magari....
usijifiche sana ndani...
Hivi yupo hai huyu jamaa?Nakumbuka enzi za Liyumba!