Pre entry kwa Technical College's

Joined
Jan 18, 2014
Posts
79
Reaction score
12
Natarajia kuingia diploma lakini inabidi nianze na pre entry, je ni masomo gani ntaenda kusoma nipo electrical?
 
Utasoma hesabu physics ya adv lakini pia na lugha na computer ila utapelekwa umeme kulingana na ufaulu na si kulingana na matakwa yako
 
Umeme ni mgumu sana haswa wale wanaosoma dit wanalielewa hili inaezekana kwenye coz za engeneering umeme ukaongoza kwa ugumu ikifatiwa na mecha na civil
 
Mkuu tayari nina certificate level Two ya umeme kutoka VETA kwann nisipelekwe?

Kaka unapoenda kuanza diploma unaanza nta level 4 na huwez soma bila kuwa na ufaulu wa hesabu na ndomana ni lazima usome pre entry
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…