Watafiti tusaidieni hi miaka mitatu ya baby prep 1 prep 2 inao tumika na shule nyingi za mjini hususani private zenye gharama kubwa mpaka 1m kwa mtoto kuanzia 3- 6yrs kuanzia miaka ya 90s imeleta matokeo chanya katika makuzi na malezi ya watoto wetu ukiangalia performance ya hao watoto au ni kuongeza mzigo na umasikini kwa mzazi?
Kuanzia miaka ya 80s kurudi nyuma hayo madarasa ya prep hayakuepo mtoto alivokua na miaka 5 au sita alianza darasa la kwanza, au akianza kung"oa meno ya mbele au kushika sikio lake kwa kupitisha mkono, alianzishwa shule, kwa sasa hao wengi ndo wana siasa wetu na watumushi wa ummah walio wengi.
Suali langu je ukili nganisha utendaji wao hao ambao hawakusoma chekechea na hawa wahitimu wa miaka kuanzia 2000 kuna tofauti? Yupi ni imara zaidi?
Nisihukumiwe vibaya kwamba madarasa ya chekechea hayana umuhimu ila yanachosha wazazi kusomesha nakutumia pesa nyingi kama haina mchango bora mtoto anze darasa la kwanza moja kwa moja hizo pesa ununue kiwanja uanze maisha mdogo mdogo kuliko kipanga nyumba ya 1.2m kwa mwaka na ada ya chekechea ni 1 2m kwa mwaka wastage of resources.
Kuanzia miaka ya 80s kurudi nyuma hayo madarasa ya prep hayakuepo mtoto alivokua na miaka 5 au sita alianza darasa la kwanza, au akianza kung"oa meno ya mbele au kushika sikio lake kwa kupitisha mkono, alianzishwa shule, kwa sasa hao wengi ndo wana siasa wetu na watumushi wa ummah walio wengi.
Suali langu je ukili nganisha utendaji wao hao ambao hawakusoma chekechea na hawa wahitimu wa miaka kuanzia 2000 kuna tofauti? Yupi ni imara zaidi?
Nisihukumiwe vibaya kwamba madarasa ya chekechea hayana umuhimu ila yanachosha wazazi kusomesha nakutumia pesa nyingi kama haina mchango bora mtoto anze darasa la kwanza moja kwa moja hizo pesa ununue kiwanja uanze maisha mdogo mdogo kuliko kipanga nyumba ya 1.2m kwa mwaka na ada ya chekechea ni 1 2m kwa mwaka wastage of resources.