Pre Season | International Friendly Match | Ismailia SC 1-1 Simba SC

Pre Season | International Friendly Match | Ismailia SC 1-1 Simba SC

Muue huyo[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawa utopwiseee ni wa kuwahurumia tyuuh, wameshavurugwaa, shangwe zote za kumpokea DOMOLEPE zimeyeyuka yeyuuuuuuu.

Byuti byuti.
 
Okrah ameanza kufungua kitabu Cha magoli mechi ya kirafiki na Ismailia yenye wachezaji ambao waliachwa baada ya wachezaji nguli kusafiri na timu kwenye mechi ya ligi. Hii mechi sio kipimo kizuri kwa mchezaji ambae anatarajiwa kwenda kucheza mashindano ya Caf muda mchache ujao, hata kama timu yetu imetoka nayo sare ya 1-1.

Simba walipaswa kuishindilia magoli 4 hadi 6 ingekuwa afadhali
 
Okrah ameanza kufungua kitabu Cha magoli mechi ya kirafiki na Ismailia yenye wachezaji ambao waliachwa baada ya wachezaji nguli kusafiri na timu kwenye mechi ya ligi. Hii mechi sio kipimo kizuri kwa mchezaji ambae anatarajiwa kwenda kucheza mashindano ya Caf muda mchache ujao, hata kama timu yetu imetoka nayo sare ya 1-1.

Simba walipaswa kuishindilia magoli 4 hadi 6 ingekuwa afadhali
Shida yetu Watanzania iko hapo, kwenye pre season unapofanya training lazima uanze kujipima na timu dhaifu.

Simba na kocha wao wapo sahihi kucheza na timu dhaifu, huwezi kuugusa mziki wa Ally ahaly au Zamaleki mapema, timu za ushindani unajipima nazo mwishoni.

Mechi za awali huwa matokeo hayana maana yoyote kwa kocha ndio maana kuna mechi hazihitaji watazamaji wala kutangaziwa wenye timu yenu.
 
Shida yetu Watanzania iko hapo, kwenye pre season unapofanya training lazima uanze kujipima na timu dhaifu.

Simba na kocha wao wapo sahihi kucheza na timu dhaifu, huwezi kuugusa mziki wa Ally ahaly au Zamaleki mapema, timu za ushindani unajipima nazo mwishoni.

Mechi za awali huwa matokeo hayana maana yoyote kwa kocha ndio maana kuna mechi hazihitaji watazamaji wala kutangaziwa wenye timu yenu.
Yaani kama hajakuelewa hapo basi tena. Wao wanaiangalia PRE-SEASON kwa mtazamo mingine kabisa.

Wao wanawaza kushinda tu, ilhali kushinda kwenye PRE-SEASON huenda usifanye vizuri Ligi au Kimataifa, kwa kujiona umemaliza mapungufu yote kwenye timu.
 
Back
Top Bottom