Pre- Season: Singida Big Stars tunaenda kuweka kambi Geneva ya Afrika

Pre- Season: Singida Big Stars tunaenda kuweka kambi Geneva ya Afrika

Hussein Massanza

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
1,016
Reaction score
2,195
Watu wa Soka,

Tumechagua Jiji la Arusha liwe kambi yetu maalum kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa Ligi Kuu 2022/23 (Pre-Season).

Arusha patatufaa sana kwa sababu ni Jiji Tulivu, Hali ya Hewa nzuri, pia mazingira yake yanavutia, hivyo itasaidia wachezaji wetu kuwa focused.

Timu itaweka kambi kwa mwezi mmoja na tutaangalia uwezekano wa kucheza mechi za kirafiki na timu kadhaa za jijini humo au tutakazozitangaza baadae.

Hodi Arusha - The Geneva of Afrika!

pre season1.jpg
 
Mmepanda daraja kwa mbwembwe hata lipuli walikujaga hivyo hivyo, ndanda Fc, mbeya kwanza, Cha msingi komaeni mechi zote msije mkakomaa kwa Simba na yanga pekee wengine wakajipigia
 
Mmepanda daraja kwa mbwembwe hata lipuli walikujaga hivyo hivyo, ndanda Fc, mbeya kwanza, Cha msingi komaeni mechi zote msije mkakomaa kwa Simba na yanga pekee wengine wakajipigia

Tuombeane kheri mkuu Daudi. Malengo yetu ni kufanya vizuri. Asante kwa tahadhari, tutapambana kwenye mechi zote.
 
Hongereni Sana,Lakini mwambieni bosi wenu hata siku akiwa sio waziri hii timu iendelee isiwe kama yale ya Singida United.
 
Arusha kubwa bashwee..mtakua sehemu ipi exactly...mtafanyia wapi mazoezi? Nataka nije nicheki mazoezi.
 
Mmepanda daraja kwa mbwembwe hata lipuli walikujaga hivyo hivyo, ndanda Fc, mbeya kwanza, Cha msingi komaeni mechi zote msije mkakomaa kwa Simba na yanga pekee wengine wakajipigia
At least wanaonekana kusajili wazoefu wengi. Kila la kheri kwao...
 
Back
Top Bottom