Pre season ya Simba hawatapata kipimo sahihi cha kujipima

Pre season ya Simba hawatapata kipimo sahihi cha kujipima

Uongozi wa simba kuna mda unashangaza sana
Unaenda kufanya pre season kwenye nchi ambayo unajua kabisa ni ngumu sana kupata timu ya maana ya kujipima kwa sababu kubwa ligi haijaisha

Kwanini wasingeenda moroco ambako nako ligi imeisha na wananafasi kubwa sana ya kupata kipimo kizuri kuliko ilivyo misri ambapo ligi inaendelea na ni ngumu kupata kipimo kizuri

Wanaoendesha timu ya simba wakiongozwa na dewji wajifunze kufanya mambo professional waache ujanja ujanja
Inter Milan jana kacheza mechi ya kirafiki na timu ambayo haichezi Daraja lolote na ni Mabingwa wa Seria A msimu uliopita unaisemaje?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom