Pre Season: Yanga 5-1 Transit Camp

Kitambi chakufutia tachi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
1,063
Reaction score
2,566
Klabu ya Yanga imecheza mechi ya kujipima nguvu ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya dhidi ya timu ngumu ya Transit Camp na kuibuka na ushindi wa mabao 5 kwa 1.


Magoli ya Yanga yamefungwa na Mayele aliyefunga hat trick ikiwa na hat trick yake ya kwanza katika soka la Tanganyika huku akitetema kwenye mchezo huo uliokuwa na upinzani mkali huku mengine yakifungwa na KI Aziz na Makambo.

NB: HIZI NDIO TIMU NGUMU ZA KUCHEZA NAZO SIO WALE MAKOLO WANAOCHEZA NA WAUZA MAANDAZI KULE MISRI.

YANGA AFIRIKA MBELE MWIKO NYUMA KUNA MWIKO.
 
Ndizo level za Yanga hizi.Timu za nje huwa wanaziogopa Sana. Mwenye kumbukumbu atujuze kwa mara ya mwisho Yanga kuifunga timu ya nje ilikuwa ni mwaka gani?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Endeleeni kujipima na trans, mje mkutanishwe na petro athletico au mamelody wawapasue mkafie avic
 
mechi mmecheza na timu ngumu ya transit camp si ndio?,haya subirini.
 
Yanga wafanye majaribio na timu za maana waache mtindo huu wa kucheza na timu zinazolenga kuipa taswira feki kuonyesha kwamba wako vizuri. Kwanza hii Transit Camp ni timu ya wapi. πŸ˜› πŸ˜›
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…