Mshiiri
JF-Expert Member
- Jun 16, 2008
- 2,012
- 512
Wadau kwa tathmini huru ya mwenendo wa siasa kuanzia 2014 hadi tukielekea 2020 tunaona yafuatayo
1. Wananchi are not elastic towards politics na hii imechangiwa na kazi nyingi -- hapa kazi tu na hivyo kutokuwa na mvuto kwenye siasa. Hii imeathiri sana kuona ushabiki na undakindaki dhidi ya siasa kwa wananchi wa kawaida. Siasa imebaki kwa viongozi na wale wote wenye mahusiano moja kwa moja na vyama kwa maana ya kwamba aidha vyama vinawahitaji katika shughuli zake za kila siku. Madhara yake yamedhihirika kwenye chaguzi ndogo ambapo the wananchi hawakujiandikisha wala kupiga kura kwa idadi inayoridhisha na wala hakukuwa na mshawasha wowote. Kibaya zaidi wala the wananchi hawajutii suala hili. Sasa tukienda 2020 uchaguzi mkuu je, wanasiasa watawezaje kuamsha ari ya the wananchi washiriki siasa?
2. Hatua kubwa kiuchumi imepigwa BUT the wananchi bado hawajaona effect yake katika maisha yao ya kawaida kwa kuwa bado ROI haijafikiwa na miradi mingi ipo katika utekelezaji na sasa wanatafsiri kuwa pengine maisha yanazidi na yatazidi kuwa magumu ingawaje wanafanya kazi kweli kweli. Siasa inakuwa kwao kama stori za kijiweni na kuwapotezea muda kuzalisha kwa ajili ya maisha yao ya kila siku.
Mbinu gani itachezwa ili kuwafanya wananchi wacheze siasa kama 2015?
1. Wananchi are not elastic towards politics na hii imechangiwa na kazi nyingi -- hapa kazi tu na hivyo kutokuwa na mvuto kwenye siasa. Hii imeathiri sana kuona ushabiki na undakindaki dhidi ya siasa kwa wananchi wa kawaida. Siasa imebaki kwa viongozi na wale wote wenye mahusiano moja kwa moja na vyama kwa maana ya kwamba aidha vyama vinawahitaji katika shughuli zake za kila siku. Madhara yake yamedhihirika kwenye chaguzi ndogo ambapo the wananchi hawakujiandikisha wala kupiga kura kwa idadi inayoridhisha na wala hakukuwa na mshawasha wowote. Kibaya zaidi wala the wananchi hawajutii suala hili. Sasa tukienda 2020 uchaguzi mkuu je, wanasiasa watawezaje kuamsha ari ya the wananchi washiriki siasa?
2. Hatua kubwa kiuchumi imepigwa BUT the wananchi bado hawajaona effect yake katika maisha yao ya kawaida kwa kuwa bado ROI haijafikiwa na miradi mingi ipo katika utekelezaji na sasa wanatafsiri kuwa pengine maisha yanazidi na yatazidi kuwa magumu ingawaje wanafanya kazi kweli kweli. Siasa inakuwa kwao kama stori za kijiweni na kuwapotezea muda kuzalisha kwa ajili ya maisha yao ya kila siku.
Mbinu gani itachezwa ili kuwafanya wananchi wacheze siasa kama 2015?