Precious Christopher kavaa skin tight ndefu

Yani upo kuangalia mademu tuu kuangalia mechi aaahπŸ˜‡πŸ˜‡πŸ€£πŸ€£
Kwangu hili limekuwa sugu sana yani ni mapaja mwanzo mwisho imagine precious dk za mwisho kakosa goli akalala kifo Cha mende si makusudi hayo!
 
Kwangu hili limekuwa sugu sana yani ni mapaja mwanzo mwisho imagine precious dk za mwisho kakosa goli akalala kifo Cha mende si makusudi hayo!
Hamia Simba tukuozeshe binti yetu...
πŸ˜„πŸ˜„
 
umeshamuona Elizabeth? She is byutiful..ako na smile nzuri
 
Mpira wa wanawake bongo ni hauvutii kabisa aisee.
Usiangalie sana mpira changanya na vidude dude hapa najiandaa kuangalia final upande wa Jkt namuangalia stumai ni ka beauty sana upande wa Yanga Sylivia japo huwa anatoa Boko kiasi
 
umeshamuona Elizabeth? She is byutiful..ako na smile nzuri
Sana na ana strength pia rangi yake inavutia shida za Elizabeth ni jina la mother Sasa huwa naishia kuwaheshimu tu
 
Ni time Sasa final wanawake Jkt vs yanga ila karata yangu naweka sana kwa Jkt Wana vitoto wamevipa ajira vina moto hatari
 
Ngoja tuone...mwaka jana jkt walisema walipokwa ushindi wao...
Game imebalance ila bado nawapa Jkt ingawa yanga wakijitahidi kupata set piece wanaweza Kutumia kupata goli
 
Kuna kitu kinatokea hapa uwanjani mashabiki wa Jkt wameweka kambi kwenye goli la yanga na WA yanga wameona isiwe tabu wameenda kuweka kilinge kwenye goli la Jkt ni mwendo wa kuimba TU fujo zisizo umiza
 
Wale Yanga sio princess, yale ni majangili, maharamia, magaidi.

Kuna mmoja alikuwa fundi mechanic pale Mabibo, unamkuta kachafuka oil chafu
Kama huu ni utani basi nadhani umepitiliza. Tuwe na heshima kwa haiba ya watu wengine hawa unaowaita hayo majina ni dada, wadogo wa watu wengine kama wewe.

Tustaarabike aseeh. Hii haiko sawa mkuu
 
Umekaa na bikini yako kimoja tu chalii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…