Precision Air again

Ulukolokwitanga

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2010
Posts
8,397
Reaction score
7,974
"Tunapenda kuwatangazia abiria wote waendao Mwanza kuwa ndege yetu itaondoka saa moja kamili. Hii Ni kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu"

Ndo tulivyotangaziwa hapa airport sasa hivi wakati safari Ni saa 12 kamili. Hebu fikiria umelazimika kukodi taxi ya fastrack na umelipa zaidi ili ufike airport 11 kamili unakutana na huu ujinga. Sauda Rajabu Ni hangs la kitaifa
 
Kama kawa kama dawa ndo bongo hiyo ubabaishaji mtindo mmoja na wanajua hatuna tabia ya kuwadai fidia kwa usumbufu wanaotusababishia...
 
Madhara ya kuchelewesha ndege ya asubuhi Ni makubwa kuliko mnavyodhani, na dharau zenu hizo hamtoi taarifa kabla ya safari. Haya bana time will tell.
 
Kama kawa kama dawa ndo bongo hiyo ubabaishaji mtindo mmoja na wanajua hatuna tabia ya kuwadai fidia kwa usumbufu wanaotusababishia...

Hawa jamaa operations dept Yao inahitaji overhaul. Hovyo kabisa
 
Hawa jamaa operations dept Yao inahitaji overhaul. Hovyo kabisa

Tunachotakiwa kufanya sasa ni kuwa watata, ukiwafungulia mashtaka ya kukuchelewesha na kukuingízia hasara kutokana na kukuchelewesha akili zitaanza kuwakaa sawa..
 
Don't blame them much, s.africa na kenya huwa wanafanya jitihada zt 2ensure dat tz haipat shirika kubwa la ndege
 
...sure. TIME WILL BE OUR BEST JUDGE.
 
Tunachotakiwa kufanya sasa ni kuwa watata, ukiwafungulia mashtaka ya kukuchelewesha na kukuingízia hasara kutokana na kukuchelewesha akili zitaanza kuwakaa sawa..

Uwafungulie mashtaka nchi gani tz si itakua miyeyusho tu kama hizo ndege
 
Hili shirika kazi hipo. Binafsi leo nimeharibikiwa siku nzima, ilikuwa nisafiri na ndege ya saa nane mchana wakatuma taarifa kwamba itaondoka saa 10, kufika wanasema imesogezwa saa 4 na dk:40 usiku. Sasa sijui nayo itakuwa!!!?

Pia huduma kwa wateja wakati wa kucheck-in, wanaoneka kuwa si wastaarabu wanasahau kwamba kusafiri kwetu ndo kunaweka shirika barabarani na wao kupata mishahara.

Kuna haja ya wao kujiangalia na kujipanga upya. Huduma zao bado ni Muhimu kwa watanzania. Lakini kwa mwendo huu, wenye share kwenye shirika kuna walakini!
 
Hawa Precision bila kuahirisha flight zao huwa hawajisikii vizuri..
 
Kama kawa kama dawa ndo bongo hiyo ubabaishaji mtindo mmoja na wanajua hatuna tabia ya kuwadai fidia kwa usumbufu wanaotusababishia...

Sheria zipo wazi ni kutokujua tufanye nini. Let me go through the law of tort!
 
Sasa mi nishawazoea,kuna siku toka Mwz-JRO Tulitakiwa kuondoka saa 7,watu tumefika saa 5 mpaka hiyo saa 7 kimya,tukawauliza kulikoni hamtangazi chochote,wakadai subirini.Tukasubiri til saa 8 kasorobo wakatangaza tutaondoka saa 8 na nusu,ikapita no tangazo no apology,saa kumi na nusu ndo tunatangaziwa kuingia kwenye ndege,hatukupewa hata maji wala kuombwa samahani.
 
Hata fast jet nao leo wamezingua.. Wame cancel flight ya mwanza kesho mchana bila sababu za msingi,,,,

Yaani Airline zetu hazijali kabisa wateja
 
Bora hiyo hao jamaa ni wa ajabu sana kuna siku naikumbuka ndege haikuwepo kabisaa then no apology no what hadi kesho yake yaani hizi local carrier zina matatizo sana,
 
Bora fastjet they are always on time ikitokea ni bahati mbaya na huwa lazima wawajulishe wateja wao. Hamieni fastjet.
 
Nina shemeji huko ni pilot ngoja nimuulize kulikoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…