Precision Air: Dar Mwanza sh. 150,000 kwenda na kurudi+kodi Zote!

Precision Air: Dar Mwanza sh. 150,000 kwenda na kurudi+kodi Zote!

Idimi

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2007
Posts
15,328
Reaction score
11,192
Ndugu wana jamvi,
Kwa mujibu wa tangazo la Precisionair walilotoa katika gazeti la Nipashe la tarehe 10/03/2011, ukurasa wa kwanza, nauli za Dar Mwanza ni shilingi 100,000 (laki moja) kwa ndege zao, kwenda na kurudi pamoja na kodi. Ila pembeni wameandika "Masharti na Vigezo Kuzingatiwa". Sijajua masharti yao ni yapi.
Je mliosafiri na PA kwa wiki jana kwenda na kurudi Mwanza, hii ndo nauli yao mpya kweli kama ilivyotangazwa?
 
kwa kawaida ni kwa viti vichache,e.g viti 10 tu,so wale watakaowahi kupata ndo wanalipa hiyo laki 1.
 
Mh, kuna mtu atapanda basi kweli? Hivi mafita ya ndege yenyewe hayapandi bei?
 
kwa kawaida ni kwa viti vichache,e.g viti 10 tu,so wale watakaowahi kupata ndo wanalipa hiyo laki 1.

Alas!
Kumbe hivyo ndio 'vigezo na masharti'? Wizi mtupu, na hivyo kumi ukute wamewekea ndugu na jamaa zao
 
alas!
kumbe hivyo ndio 'vigezo na masharti'? Wizi mtupu, na hivyo kumi ukute wamewekea ndugu na jamaa zao

umejuaje
hivyo viti vinauzwa na wauza tkt.ukifika wankwambia vimeshauzwa hasa wale mabinti wa airport..baada ya muda ukijifanya kuondoka wanakufwata vijana fulan wanakwambia umekosa siti..ukiwaeleza wanakwambia subiri kwenye hiyo 100,000 wanaongeza 25,000-30,000..wizi mtupu panden 540 kwa raha zao....na gudnyuzi kuna kampuni ya jet link kutoka kenya imeshasajiliwa dar inaanza april mwanzon ama mwishon inaleta f28-3 mbili kwa mwanza jro,na nyingine kwa kigooma tabora.....tunaitaj kuwa na kampuni nyingi kupunguza uhuni wa bei kama tunaenda loliondo
 
Asante kwa habari hizo njema man. Inatakiwa kampuni ziwe nyingi ili zishindane na zipunguze bei, kama ilivyo kwa kampuni za simu!
 
Hivi gharama ya ndege za kawaida kama hizo za PA inaweza kufika shilingi ngapi mpaka kuiweka 'angani'?
 
umejuaje
hivyo viti vinauzwa na wauza tkt.ukifika wankwambia vimeshauzwa hasa wale mabinti wa airport..baada ya muda ukijifanya kuondoka wanakufwata vijana fulan wanakwambia umekosa siti..ukiwaeleza wanakwambia subiri kwenye hiyo 100,000 wanaongeza 25,000-30,000..wizi mtupu panden 540 kwa raha zao....na gudnyuzi kuna kampuni ya jet link kutoka kenya imeshasajiliwa dar inaanza april mwanzon ama mwishon inaleta f28-3 mbili kwa mwanza jro,na nyingine kwa kigooma tabora.....tunaitaj kuwa na kampuni nyingi kupunguza uhuni wa bei kama tunaenda loliondo

Ulilonena ni la maana sana kwanza 540 wana ndege nzuri sana kuliko PA na huduma bomba mno, ila wamezidi kupiga vimini wale wahudumu wao
 
Hawa jamaa wametuibia muda mrefu na wamechaigia kuifisadi ATCL ili wabaki peke yao, labda kwa bei hii wataturudishia ka-faida kidogo.
 
Haaa! eti bomba? Hawa presicion Air ndege yao moja ya kwenda Nairobi nilipanda ndiyo nzuri walau wanaushirikiano na KQ lakini kwa hapa Tanzania ndege za PA......samahani '''worse"" siku moja iliwahi kurudi DSM mara tatu na ndani inapaa na engineer. ni mbovu waletye mpya wasituitie hofu kwa kushusha gharama zao tu.
 
Hayo makanyaboya ya PA hayafai, utadhani hulipi au umepanda la JW!

540 ndo nzuri kwa sasa ingawa huduma za Local flight TZ bado kabisa, kuna ubwanyenye mwingi sana.

But this is a big opportunity for opportunists, the problem ukianzisha huduma ya usafiri wa ndege, utapigwa vita hadi ukimbie kama Community Airline ilivyohujumiwa.
 
Asante kwa habari hizo njema man. Inatakiwa kampuni ziwe nyingi ili zishindane na zipunguze bei, kama ilivyo kwa kampuni za simu!

kwa kweli huyu waziri tunampongeza sana ana malengo mazuri pengine wachche waamchukia..ilipokuja kusajiliwa nilihusika kukimbizana na process kama kawaida wale jamaa zetu wakaanza kuzungusha huku kule tukapata mzee mmoja alietumwa na bwana mh waziri akaamuru wapewe kibali maramoja
 
Ulilonena ni la maana sana kwanza 540 wana ndege nzuri sana kuliko PA na huduma bomba mno, ila wamezidi kupiga vimini wale wahudumu wao

si ndio maana mnajaa ukujua sababu
 
Hayo makanyaboya ya PA hayafai, utadhani hulipi au umepanda la JW!

540 ndo nzuri kwa sasa ingawa huduma za Local flight TZ bado kabisa, kuna ubwanyenye mwingi sana.

But this is a big opportunity for opportunists, the problem ukianzisha huduma ya usafiri wa ndege, utapigwa vita hadi ukimbie kama Community Airline ilivyohujumiwa.

Ho 540 mnaowatetea mimi sijaona unafuu wowote.
Wanatangaza bei ya ticket go and Return 200,000/ lakini hawaweki wazi kuwa hiyo bei bila kodi.
ukija kujumlisha na kodi. Loh!
Community air ndio ilikuwa poa.
 
Ndugu wana jamvi,
Kwa mujibu wa tangazo la Precisionair walilotoa katika gazeti la Nipashe la tarehe 10/03/2011, ukurasa wa kwanza, nauli za Dar Mwanza ni shilingi 100,000 (laki moja) kwa ndege zao, kwenda na kurudi pamoja na kodi. Ila pembeni wameandika "Masharti na Vigezo Kuzingatiwa". Sijajua masharti yao ni yapi.
Je mliosafiri na PA kwa wiki jana kwenda na kurudi Mwanza, hii ndo nauli yao mpya kweli kama ilivyotangazwa?
Mimi niliwahi kusafiria kwa Tsh 98,000 one way ilikuwa promo,
 
where the competition bites. Hawa jamaa hawajakaa sawa kimahesabu kwani wameshindwa hata kulist share zao DSE kutokana na madeni.. this is the "HOT COMPANY" tukae chonjo.. ina madeni kibao na KQ walitaka kununua ATCL kuiua kabisa:embarassed2:
 
Hivi gharama ya ndege za kawaida kama hizo za PA inaweza kufika shilingi ngapi mpaka kuiweka 'angani'?
Kama una maana kuinunua ndege hiyo si gharama ni bei. Gharama ni za uendeshaji wa ndege (nikiwa na maana ya kuihudumia ndege na siyo kuwa rubani).
 
Back
Top Bottom