Precision Air: Dar Mwanza sh. 150,000 kwenda na kurudi+kodi Zote!

Precision Air: Dar Mwanza sh. 150,000 kwenda na kurudi+kodi Zote!

Hawa jamaa wametuibia muda mrefu na wamechaigia kuifisadi ATCL ili wabaki peke yao, labda kwa bei hii wataturudishia ka-faida kidogo.
ATCL ni mfu wa siku nyingi hata kabla ya kuwepo Precision. Iliuawa na stupid management na political interference. Yupo mtu anaitwa Dr. Kaunda ndiye alishinikiza kuingia "ubia" na South African Airways ambayo iliifyonza kabisa ATCL na kuiacha kasha tupu. Siku hizi simsikii huenda yuko SAA anakula bakhshishi yake.
 
Kama una maana kuinunua ndege hiyo si gharama ni bei. Gharama ni za uendeshaji wa ndege (nikiwa na maana ya kuihudumia ndege na siyo kuwa rubani).

Bei (price) ni kwa muuzaji, gharama (cost) ni kwa mnunuzi!

Anyway, labda niseme bei na gharama za mwanzo (kwa mantiki yako!). Kama nataka kufanya biashara hiyo ya ndege (kwa kuanzia na ndege moja tu), nitatakiwa kuwa na pesa kiasi gani hadi ninapoanza kufanya safari ya kwanza ya kusafirisha abiria?
 
Kuna mhudumu mmoja alinivutia nilikuwa natoka Mwanza kuja Dar nikaona safari fupi!
 
Hayo makanyaboya ya PA hayafai, utadhani hulipi au umepanda la JW!

540 ndo nzuri kwa sasa ingawa huduma za Local flight TZ bado kabisa, kuna ubwanyenye mwingi sana.

But this is a big opportunity for opportunists, the problem ukianzisha huduma ya usafiri wa ndege, utapigwa vita hadi ukimbie kama Community Airline ilivyohujumiwa.
Community Airline ilihujumiwa vipi? Mwenyewe aliianzisha akiwa waziri akitegemea kutumia influence yake. Baada ya kutupwa nje ya Baraza na kampuni ikawa kwenye mawe. Nasikia neno "Ufisadi"?????
 
Bei (price) ni kwa muuzaji, gharama (cost) ni kwa mnunuzi!

Anyway, labda niseme bei na gharama za mwanzo (kwa mantiki yako!). Kama nataka kufanya biashara hiyo ya ndege (kwa kuanzia na ndege moja tu), nitatakiwa kuwa na pesa kiasi gani hadi ninapoanza kufanya safari ya kwanza ya kusafirisha abiria?
Bei za ndege (mpya, zilizotumika au kukopdishwa (leasing)) unaweza kupata kutoka kwa watengenezaji au mawakala wao kutegemea aina ya ndege unayoitaka. Kwa hali ya kawaida unahitaji pia uwe na mtaji wa uendeshaji (operating capital) wa kama miezi sita hivi kwa ajili ya kulipa mishahara, mafuta, landing fees, n.k. Kuna gharama za ukaguzi na usajili wa ndani na kimataifa. Ni watu wachache wanaoweza kuanzisha kampuni ya usafirishaji wa ndege kwa mitaji binafsi. Vinginevyo lazima utafute external financing kwa kupata mkopo, kukodisha ndege au hata kuuza hisa za kampuni. Kazi kwako.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Its about time mashirika mengine yaje manake precision wameanza kulewa mafanikio,
 
Bei za ndege (mpya, zilizotumika au kukopdishwa (leasing)) unaweza kupata kutoka kwa watengenezaji au mawakala wao kutegemea aina ya ndege unayoitaka. Kwa hali ya kawaida unahitaji pia uwe na mtaji wa uendeshaji (operating capital) wa kama miezi sita hivi kwa ajili ya kulipa mishahara, mafuta, landing fees, n.k. Kuna gharama za ukaguzi na usajili wa ndani na kimataifa. Ni watu wachache wanaoweza kuanzisha kampuni ya usafirishaji wa ndege kwa mitaji binafsi. Vinginevyo lazima utafute external financing kwa kupata mkopo, kukodisha ndege au hata kuuza hisa za kampuni. Kazi kwako.

Sio lazima kukopa, 'tunaweza' kuunganisha nguvu na ikawezekana. Umezungumzia kukodi, nadhani kwa kujipanga vizuri inawezekana ndio njia rahisi zaidi kwa kuanzia. Kwa sasa ni kama ndoto tu kwangu lakini naliona linawezekana ndio sababu ninaanza kudadisi.
 
Hilo nalo neno!
Si ndo biashara yenyewe? Mambo ya customer care!
Mimi ni member wa PAA. Lakini nilituma e mail kwenye web zao lakini hawakunijibu!
Sijui ndio taeatibu zao?
Waliniboa kweli hata sina hamu nao japo walinipa umember wao vile ndio co hua naitumia kwa safari zangu!
 
Kama ni kweli naona hayo ni matokea ya ushindani wa kibiashara ila haitasaidia sana kama wanashusha nauli lakini hawawafundishi watumishi wao costumer care nzuri.Kunawatumishi hapo hasa ofisi ya mwanza wanaharibu kampuni kabisa huduma kwa wateja ni zero.
 
umejuaje
hivyo viti vinauzwa na wauza tkt.ukifika wankwambia vimeshauzwa hasa wale mabinti wa airport..baada ya muda ukijifanya kuondoka wanakufwata vijana fulan wanakwambia umekosa siti..ukiwaeleza wanakwambia subiri kwenye hiyo 100,000 wanaongeza 25,000-30,000..wizi mtupu panden 540 kwa raha zao....na gudnyuzi kuna kampuni ya jet link kutoka kenya imeshasajiliwa dar inaanza april mwanzon ama mwishon inaleta f28-3 mbili kwa mwanza jro,na nyingine kwa kigooma tabora.....tunaitaj kuwa na kampuni nyingi kupunguza uhuni wa bei kama tunaenda loliondo


naona wamerudi na bei mpya shayo leee nkikise????
 
Bei za ndege (mpya, zilizotumika au kukopdishwa (leasing)) unaweza kupata kutoka kwa watengenezaji au mawakala wao kutegemea aina ya ndege unayoitaka. Kwa hali ya kawaida unahitaji pia uwe na mtaji wa uendeshaji (operating capital) wa kama miezi sita hivi kwa ajili ya kulipa mishahara, mafuta, landing fees, n.k. Kuna gharama za ukaguzi na usajili wa ndani na kimataifa. Ni watu wachache wanaoweza kuanzisha kampuni ya usafirishaji wa ndege kwa mitaji binafsi. Vinginevyo lazima utafute external financing kwa kupata mkopo, kukodisha ndege au hata kuuza hisa za kampuni. Kazi kwako.


precission air wanadaiwa na city bank..na sasa ninapoongea kila sehemu ya mauzo kuna mtu wa citybank na mbaya zaidi mpaka sehemu ya excess bge ni city bank amekaa pembeni kujuangapi inaingia
biashara ya ndege ni sawa na iman ya thomaso..mpaka uone iko juu else unawezavua nguo ukiwa huna nguo hope u know warra i mean ""man""
 
.....samahani '''worse"" siku moja iliwahi kurudi DSM mara tatu na ndani inapaa na engineer. ni mbovu waletye mpya wasituitie hofu kwa kushusha gharama zao tu.

Acha kunichekesha. Yaani wanategemea ikiharibika huko juu waitengenezee huko huko?
 
Back
Top Bottom