M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Kampuni ya Ndege ya Precision Air imesitisha safari za Dar-Mbeya kutokana na route hiyo kuwa ya hasara, na pia kutokana na kutokupatikana mafuta ya ndege katika mji wa mbeya. Hayo yamesemwa Afisa Masoko wa Precision Ndg. Hillary Mremi. Wale wenye tiketi za Precisionza kuanzia mweiwa 6 wanapaswa kwenda ofisi za Precision warudishiwe pesa zao
Source: Daily News ( 30.05.2014)
Hakika Fastjet wamewapa ja.mba jam.ba hawa PW
Source: Daily News ( 30.05.2014)
Hakika Fastjet wamewapa ja.mba jam.ba hawa PW