Mkuu get your facts straight. Dont get it all mixed up.
Mramba hana uhusiano wowote na Precision Air. Michael Shirima ambaye ndo muasisi wa hilo shirika akiwa na asilimia 35 ya shares kwa sasa, watoto wao wameoana. Mtoto wa Shirima na mtoto wa Mramba. Kwa hiyo wale ni wakwe tu.
Tatizo watu wakionekana wawili wanaanza ku associate vitu visivyokuwepo na kuvifanya vipo.
We ukimtembelea mkweo kwani ni lazima uwe una biashara nae?
Get the facts.
Na precision kwa sasa sio private company tena. Its a PLC. Find out more the difference between private limited companies and PLC.