View attachment 919957
Ni pale prefect wa shule ya Dodo alipoomba majina ya wanafunzi wote wanaoachia hewa chafu darasani. Anasema amechoshwa na tabia ya wachache wanao haribu hali ya hewa darasani.
Kuna wengi hasa wale ambao wanaomba mwalimu atoke waendelee kucheza. Wao shuleni wanakuja ku social ndiyo hao walikuwa front line kumpa prefect majina. Prefect anasema hata mwenyewe yamemshangaza ma confi waliyokuja nayo jamaa.
Huku nyuma tuna list yetu, hawa ni watu wanaokaa na prefect upande mmoja. Wanasema mbona prefect pia huwa anachafua hali ya hewa? Sasa nani atamfunga paka kengele? Hii list yetu tuipeleke wapi?