Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Uuuh thts super flexible,na heels juu,..
Mmh jamani hawa wenzetu vp jamani,kama hela ya ugali tayar anayo si basi apumzike kuliko ivyo anavyohatarisha na hayo maisha ya mtt!!!
kwa mtu ambae ni mchezaji wa muda mrefu mwili wake ushazoea haina tatizo kwa mtoto,
Baba wa mtoto anaitwa FUTURE ni mwanamziki naeHivi bb wa mtt yupo kweli na anaangalia hiyo show?