Salt Bae
Senior Member
- Jan 9, 2019
- 140
- 196
Jumanne nilishinda mkeka ambazo match zilikuwa ni za saa sita na saa saba lakini cha ajabu mpaka usiku wa jumanne wakawa bado hawajanilipa pesa yangu.
Juzi jumatano nikaingia kwenye web ili niangalie nibet nikakuta wameweka tangazo kuwa kuna marekebisho wanafanya mpaka jioni watakuwa wamemaliza.
Usiku wa jana nikafungua tena web yao nikakuta wamefanya marekebisho yao lakini cha ajabu sijakuta ela niliyokuwa nimeshinda wala hakuna bet history nikakuta tu wameweka bonas ya 1000.
Nahisi wanataka wanitapeli pesa yangu je nifanyaje niweze kupata pesa yangu?
Msaada wenu
Juzi jumatano nikaingia kwenye web ili niangalie nibet nikakuta wameweka tangazo kuwa kuna marekebisho wanafanya mpaka jioni watakuwa wamemaliza.
Usiku wa jana nikafungua tena web yao nikakuta wamefanya marekebisho yao lakini cha ajabu sijakuta ela niliyokuwa nimeshinda wala hakuna bet history nikakuta tu wameweka bonas ya 1000.
Nahisi wanataka wanitapeli pesa yangu je nifanyaje niweze kupata pesa yangu?
Msaada wenu