premier betting nini maana ya handicap 4, 5 na 6

premier betting nini maana ya handicap 4, 5 na 6

Mii mwenyewe hata huko ku bett sijui wanaanzaje na wana kulaje sielewi ila na imanii ntapata somo thru this thread!
Tusaidie wazee wa kuweka mzigo premium betting.
 
4,means wa nyumbani anashinda kuanzia tofauti ya goal mbili.......2-0;3-1;4-2;5-3;
5,nikwa wa ugenini.....
6,nisuluhu ya cap kama 2-1;3-2;5-4; kama nimekosea nasubiri kusahihishwa
 
Wengine hatujawahi kufanya hiyo premium betting ingekuwa vizuri mngetoa darasa jinsi ya kushiriki hiyo bet, na kila hatua moja moja inamaanisha nini
 
Kwa mfano ukikuta mechi yanga vs mikia fc. Then mikia akepewa hand cap 4. Maana yake ni kuwa mikia fc kapewa goli 4 hata kabla mechi hajaanza. Hivyo mechi ikiisha ndroo, au yanga kushinda chini ya goli 4 inamaana mikia atakuwa ameshinda!! Akizidi zaid ya goli NNE yanga atakuwa ameshinda
 
Kwa mfano ukikuta mechi yanga vs mikia fc. Then mikia akepewa hand cap 4. Maana yake ni kuwa mikia fc kapewa goli 4 hata kabla mechi hajaanza. Hivyo mechi ikiisha ndroo, au yanga kushinda chini ya goli 4 inamaana mikia atakuwa ameshinda!! Akizidi zaid ya goli NNE yanga atakuwa ameshinda
duuuh umetisha kijana
 
Back
Top Bottom