Pres Obama's Trip to the Muslim World: A New Partnership

Pres Obama's Trip to the Muslim World: A New Partnership

inaonekana bongo uliondoka kitambo!
'kusepa' ni KUKIMBIA,AU KUONDOKA

Ahahahahahahaa...mweee...ni uzee na majukumu kuwa mengi yanakufanya mtu ushindwe ku keep up na misamiati....ila atarudi tu maana ktk akili kani crush
 
Unajua kumbe kusoma hoja za watu ukiwa kama observer ni vizuri sana. Nimefuatilia majibizano ya Mtoto na Nyani Ngabu kwa makini zaidi. Ila kilichonisikitisha ni kwamba mtoto ameshindwa kuelewa kuwa Nyani alikuwa akijaribu kuanalyse hoja anayoona ni sahihi anasema ok, ile ambayo si sahihi anatoa criticism.

Hata hivyo nilichokiona, Mtoto was too general; worse still he/she could'nt manage to give out convising arguments instead appealed into emotion!.....

.....kujenga hoja si mchezo kunahitaji moyo........
 
nafurahi kuona wengi wanajumuika,

To Nyani,
1. Umesema racism is a two way street. "Racism is a two way street. You can't confine me to discussing only white people's racism. Failure!"
Can u please expand on that? Maana at the moment sidhani kama inaleta maana yeyote. Mimi naweza kuwa a racist towards a certain group of people without requiring the same outlook from them towards me. Kwa mfano hapa, utasema Obama ni racist towards wayahudi kwa sababu hawa wayahudi wako racist towards him? If not, what do u mean by a two way street?

2. I said this:
Au nikuandikie kiswahili uelewa kitu ninachojaribu kusema? Maana kwanza hujaelewa kwa nini kufanya mtu awe mtumwa, ni moja ya njia za kuwa-supress kutokana na kuwaogopa. Nadhani ukasoma kwa nini falme katika vita zilikuwa zinachukua watumwa, hasa vijana walio katika stage ya production. Kasome biblia, kuna ample examples za hata wanawake walio katika prime production period kuuwawa au kuchukuliwa utumwani kwa sababu ya kuzuia reproduction. Au wewe kwa sababu uliambiwa wazungu walichukua waafrika kwa kusudi la kulima mashamba ya miwa ndo unaamini....hahahaha! Na ni nani ndo alikwambia hivyo? Sio mzungu huyo? Wacha kuongea pumba!
Ukajibu:
Good Lord Almighty. How about starting with the man in the mirror coz surely I need a translation to understand what you're talking about.Kasome kasome nyiiingi....kama wewe umesoma yote hayo kwa nini usimwage utirio hapa?
kama umeshinda kuelewa, sijui tena. Sidhani kama kuna mtu mwingine aliyepata shida kuelewa. Ask for specific explanation kama hujaelewa nikusaidie, na sio kujifanya mjanja bure!

3.
"
All those African immigrant communities in Europe and North America, haven't they been welcomed by the Wazungu society?"

Naona wamekaribishwa vizuri sana kwa kupewa haki sawa toka mwanzo na hawakuhitaji civil right movements kwa kusudi la kupata haki sawa.

The rest of what u said ni kuzunguka mbuyu tu!

Nakurudisha katika kiini cha hii debate...Wazungu are racists, as evident in the video kwa kumwita Obama 'nigger'. Swali ni kwa nini? Sababu niliyotoa ni kwa sababu ya a deep lying racist seed inside them. When u leave in fear, u use racism as a form of defence. Wazungu wengi wanatumia hii. Na ndo maana nimesema most are racists.
Hii inatokeaje? Hii inatokana na distrust. Distrust is a form of racism. Unapoonyesha distrust towards a certain group of people that is plain 'cream and vanilla' racism. Unaelewa hilo?
How is this evident katika behaviour ya wazungu? Kwanza kabisa wao wanaonyesha distrust kubwa kwa Waafrika. Umeshasikia kitu kinaitwa 'Bradly effect"? That is an example of the deep lying distrust.
Wao kwenda mwezini, doesn't remove that element of distrust.
Lakini labda tatizo liko kwetu kwa kuwa very trusting. Hii inanirudisha kwenye the point niliyotoa ya wao kuja na kujiita expert bila qualifications. Wazungu wangapi wanazunguka bongo kwa kufanya kazi ambazo hawako qualified? I know quite a few! Hii inatokana na trust kubwa tuliyowapa. Je inatubidi na sisi tujenge hii element ya distrust/racism? Sina jibu ya hilo.
But the fact remains, wewe unapoonyesha distrust towards me, because of my colour, huo ni ubaguzi. Tena wahitaji kupingwa vibaya sana. Na sasa ivi unajengwa wa dini pia. There is a lot of distrust towards Islams. Tukiangalia huu wa waislamu, tunaona unavyojengeka. Je na sisi tulijenga huu wa kwetu na wazungu? Ni sisi ndo tunawafanya wawe racist against us?

to MwanaFalsafa1:
Nasema ni haki yetu kwenda kwao kutafuta maisha kwa sababu tunaishi katika ulimwengu wa globalisation. Obama juzi Cairo alisema "the currency of the 21st century ni elimu na innovation". Kwa hiyo kama wewe una elimu, basi u should be tradable au usable anywhere. Kama currency aka $ ilivyo tradable na usable? Au sio? Usifanye kuogopa ubaguzi. Ni element yao, part of them. Mimi naweza kukaa hapa na nisione mwaafrika yeyote wiki. Hainipi shida. Its part of what i have to deal with. Au sio?

to Geoff:
mimi siwezi kusepa debate yeyote bwana. Tupo hapa kubadilishana mawazo. Au sio?


Kama hamuamini mzungu ni racist, google kitu kinaitwa "the lost generation". Kitu walichowatenda aboriginals nchini Australia. Chekeni nao tu!
 
Unajua kumbe kusoma hoja za watu ukiwa kama observer ni vizuri sana. Nimefuatilia majibizano ya Mtoto na Nyani Ngabu kwa makini zaidi. Ila kilichonisikitisha ni kwamba mtoto ameshindwa kuelewa kuwa Nyani alikuwa akijaribu kuanalyse hoja anayoona ni sahihi anasema ok, ile ambayo si sahihi anatoa criticism.

Hata hivyo nilichokiona, Mtoto was too general; worse still he/she could'nt manage to give out convising arguments instead appealed into emotion!.....

.....kujenga hoja si mchezo kunahitaji moyo........

Ntatumia hii as a constructive criticism! There is no hate here, but pure exchange of ideas!
 
"......When u leave in fear, u use racism as a form of defence."

mmmh hii nayo imetulia. Psycologists mnasemaje hapo?
 
mtoto safi sana the ngabuz umemchana chana na point zako mpaka kasepa......sijawahi ona shori JF anakata issue kama mtoto.....

.....waisraeli ni wateule wa Mungu......kama uteule nwenyewe ndio huu.....
 
mtoto safi sana the ngabuz umemchana chana na point zako mpaka kasepa......sijawahi ona shori JF anakata issue kama mtoto.....

.....waisraeli ni wateule wa Mungu......kama uteule nwenyewe ndio huu.....

Hahahahahaaa...na wewe huchoki tu kununua mbuzi kwenye gunia au unabahatisha tu? Nani kakwambia Mtoto ni shori?
 
Hahahahahaaa...na wewe huchoki tu kununua mbuzi kwenye gunia au unabahatisha tu? Nani kakwambia Mtoto ni shori?

aaah nakuaminia mzee wa AKA umeshindwa kujua tune za kishori....ila kapangua pangua poit zako....
 
yaani huyo demu anasoma political sayansi hamui netanyau? ni muisraeli huyo?
 
aaah nakuaminia mzee wa AKA umeshindwa kujua tune za kishori....ila kapangua pangua poit zako....

Kama kweli ni shori basi no wonder kaingiza hisia badala ya hoja. Na unajua kabisa hana hoja ila unamsifia kwa sababu una ajenda yako...kwikwikwiiiii....

Kui yuko wapi leo?
 
Kama kweli ni shori basi no wonder kaingiza hisia badala ya hoja. Na unajua kabisa hana hoja ila unamsifia kwa sababu una ajenda yako...kwikwikwiiiii....

Kui yuko wapi leo?
mtoto kajenga hoja vizuri labda humuelewa na kasema ukweli.....
And deep down, most wazungu ni racists sana! I see it everyday! Especially wazungu wakilewa wanaanza kuropoka the things they hold deep down inside their hearts. Nadhani ni waoga sana wa races nyingine! - yea...got that one out of my chest!
lakini tujilize kwanini so called wazungu ni wabaguzi wa rangi? sijaona waafrika wakiwabagua wazungu.....why wazungu tu?
kui kimeo kiko janta kinasanya....
 
mtoto kajenga hoja vizuri labda humuelewa na kasema ukweli.....

lakini tujilize kwanini so called wazungu ni wabaguzi wa rangi? sijaona waafrika wakiwabagua wazungu.....why wazungu tu?
kui kimeo kiko janta kinasanya....

Wabaguzi wa rangi sio wazungu tu! Kuna wahindi walio wabaguzi wa rangi. Kuna Walatino walio wabaguzi wa rangi. Kuna Waafrika weusi walio wabaguzi wa rangi. Labda wewe mwenzangu huna exposure ya kutosha lakini mimi nimeshaona Weusi wakiwabagua wazungu. Kibaya zaidi nimeshashuhudia na ku experience weusi wakiwabagua weusi wenzao. Ubaguzi ni ubaguzi tu uwe wa kikabila, kijinsia, ki mwelekeo wa kijinsia, kidini, kimaumbile, n.k.

Hivi unataka kunambia Mtikila alivyowaita Watanzania wenye asili ya Kihindi ma********* haikuwa lugha ya kibaguzi hiyo? Hebu acheni zenu hizo. Tatizo watu wengi wenye hisia za ubaguzi huwa wepesi sana wa kuwaita wengine wabaguzi.
 
Kuna watu wanaongoza kwa kuudhi wenzao dunia?Yaani kukera.
 
Wapo watu weusi ni wabaguzi. Kama Marekani nimeona blacks who hate Hispanics or whites ect. Kuna blacks who discriminate against fellow blacks because una kuta ni mixed kama Obama au ni mweupe sana au mweusi anaye toka Africa(kwa maana hiyo siyo mmarekani mweusi).
 
mmekimbilia kusema mimi ni shori, sijui watu weusi wabaguzi, nk. Mbona hoja mnaikimbia? Wazungu wana asili ya ubaguzi kutokana na fear waliojenga mioyoni mwao. Changia hoja. Kama hujui hacha kuleta mambo mengine.
Kama unadhani mimi ni shori mlete dada yako uone....hahahaha!
Dont hate the player, hate the game! Kama huwezi kutoa hoja za maana kubali yaishe. Kwanza Nyani ni nduli! Eti umejaribu kuleta point ya Obama kushinga uchaguzi ukidhani hatujui system ya uchaguzi marekani! Alafu unajibu...okay...umeshatoa point! Ungetakiwa kusema mimi ni mjinga na nilijaribu kupotosha mada kwa kusingizia Obama kachaguliwa na Wazungu kwa kishindo kizito....hahahaha!
Mnaosema Mtikila ni mbaguzi, na BA (black americans), hapa jamani tunaongelea wazungu. Na maovu waliyoyafanya. We kwa nini wadhani wazungu wanampenda sana Mandela. Ishu za SA zingeenda ICJ wangapi wangepona. Eti badala yake wakaunda kamati ya 'reconsilation'. hahhahahaha! Unajua kitu kinaitwa lynching? Waulize watu weusi marekani walikuwa wanafanyiwa nini? Hapa sio tunaongelea emotions, tunaongea FACTS. Lets talk about FACTS kama mzee Rafa wa liverpool alivyosemaga!
Katika races zote hapa duniani, ipi imetenda maovu mengi kupita wote kwa wengine? Na ubaguzi unaondelea mpaka leo, nani anauendeleza?
 
mmekimbilia kusema mimi ni shori, sijui watu weusi wabaguzi, nk. Mbona hoja mnaikimbia? Wazungu wana asili ya ubaguzi kutokana na fear waliojenga mioyoni mwao. Changia hoja. Kama hujui hacha kuleta mambo mengine.
Kama unadhani mimi ni shori mlete dada yako uone....hahahaha!
Dont hate the player, hate the game! Kama huwezi kutoa hoja za maana kubali yaishe. Kwanza Nyani ni nduli! Eti umejaribu kuleta point ya Obama kushinga uchaguzi ukidhani hatujui system ya uchaguzi marekani! Alafu unajibu...okay...umeshatoa point! Ungetakiwa kusema mimi ni mjinga na nilijaribu kupotosha mada kwa kusingizia Obama kachaguliwa na Wazungu kwa kishindo kizito....hahahaha!
Mnaosema Mtikila ni mbaguzi, na BA (black americans), hapa jamani tunaongelea wazungu. Na maovu waliyoyafanya. We kwa nini wadhani wazungu wanampenda sana Mandela. Ishu za SA zingeenda ICJ wangapi wangepona. Eti badala yake wakaunda kamati ya 'reconsilation'. hahhahahaha! Unajua kitu kinaitwa lynching? Waulize watu weusi marekani walikuwa wanafanyiwa nini? Hapa sio tunaongelea emotions, tunaongea FACTS. Lets talk about FACTS kama mzee Rafa wa liverpool alivyosemaga!
Katika races zote hapa duniani, ipi imetenda maovu mengi kupita wote kwa wengine? Na ubaguzi unaondelea mpaka leo, nani anauendeleza?

Kajifunze kwanza kuandika na ku spell.
 
Back
Top Bottom