Shabby kng
Member
- Jul 4, 2013
- 41
- 6
Habarini wana jamvi. Mimi mwaka jana nilifanya mtihani wa form six matokeo yangu yakawa hivi GS=S HIST=F GEO=F LANG= E. Lakini mwaka huu niliporudia history na geography matokeo yangu yalikuwa hivi HIST=E GEO=C sasa kuna baadhi wananiambia siwezi pata chuo kikuu sasa wana jf nishaurini ni kweli chuo naweza kupata au hamna maana nina pesha kwelikweli