Presha ya Macho chanzo na tiba yake ni nini?

Culture Me

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2017
Posts
10,490
Reaction score
21,398
Madaktari na Wauguzi naomba mnipe elimu juu ya huu ugonjwa wa presha ya macho,
na je inatokana na nini hiyo presha na jinsi ya kujilinda nayo ni vipi?

Mama yangu kaambiwa jicho lake moja presha imezidi hivyo kunusuru afanyiwe upasuaji, sasa nawaza hakuna tiba nyingine zaidi ya upasuaji? tiba lishe je?
 
Afanyiwe upasuaji baraka kabla haijafika tertiary stage na kuwa kipofu.Sorry for your mama.
Hivi inakuaje hii eye pressure dalili zkae ni zipi hasa,maana kuna mtu nishawah muona macho kama yamevimba kwa juu kidogo ya kope inamsababishia sometime macho kuwa kama ya mchina au si hiyo
 
Hivi inakuaje hii eye pressure dalili zkae ni zipi hasa,maana kuna mtu nishawah muona macho kama yamevimba kwa juu kidogo ya kope inamsababishia sometime macho kuwa kama ya mchina au si hiyo
Kizungu zungu macho yanapoteza mwanga kama taa ya gari inayozima kwenye giza kali na kuweka wakati huo huo.
 
Afanyiwe upasuaji baraka kabla haijafika tertiary stage na kuwa kipofu.Sorry for your mama.
[emoji24][emoji24]
Lakini bado sijajua chanzo ni nini na vipi kuiepuka.
 
Wagonjwa wa Kisukari huwa linawatokea sana hili tatizo na wasipopata matibabu ya mapema Jicho huwa linapata ukungu na kupelekea upofu. Huwa wanafanyiwa upasuaji mdogo wa kukwangua utandu wa jicho kisha jicho linaona vizuri.
 
Wagonjwa wa Kisukari huwa linawatokea sana hili tatizo na wasipopata matibabu ya mapema Jicho huwa linapata ukungu na kupelekea upofu. Huwa wanafanyiwa upasuaji mdogo wa kukwangua utandu wa jicho kisha jicho linaona vizuri.
hapo kwenye upofu hapoooo,
uzuri yeye hana sukari labda ni ugonjwa wa kurithi na umri pia.
 
hapo kwenye upofu hapoooo,
uzuri yeye hana sukari labda ni ugonjwa wa kurithi na umri pia.
Umri mkubwa nao ni moja ya sababu. Ila kama ana umri mkubwa huwa anaweza kupewa dawa ya maji ya kudondoshea kwenye macho kwa miezi 3. Itamsaidia sana badala ya kufanyiwa operation.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…