Presha zinazowapata wazee wa kubet

MAGO

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
2,278
Reaction score
3,023
Ukiwa mzee wa mikeka hakika hakuna magumu yatakayokushangaza maana huku ndiko kuna supprise za kutosha mfano maajabu niliyowai kutana nayo..

Umeweka 2+ ndani ya dkk 5 limepigwa goli moja.. hapa unanyoosha miguu juu kwamba huu nishapiga. Mpk dkk 90 zinaisha mechi 1-0

Umeweka Under 2.5 first half mpk dakk ya 10, mechi ina goli mbili tayari.. presha yake si ya kitoto...

Umeweka team A kupata over 0.5, anakuja kupata goli dkk ya 90 unashangilia mara paap flashscore notification "correction" goli limekataliwa na VAR.

Yapi yaliyokufanya uone maisha chochote ni possible kupitia betting..
 
Ukibet namna hii hutapata presha.

Hii ilikuwa AFCON2019. Mkeka hukuchanika kuanzia robo fainali, nusu fainali, mshindi wa 3 na fainali.

Ila hapo ilikuwa for fun, sikuweka hela.
 
Umeweka Leonel Messi to Score halafu hayuko hata kwenye Sub mamaye zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…