Presha zinazowapata wazee wa kubet

Presha zinazowapata wazee wa kubet

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi siku hizi hata roho ya utu ishaondoka...nimebaki kama mnyama tu,sina hisia wala nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kamari mbaya sana
 
Au timu unayoiaminia inakuwa inaongoza na timu pinzani inapigwa kadi nyekundu 2 harafu mwisho wa siku hiyo hiyo timu inashindwa kupata matokeo mazuri na kukuchania hela nyingi.

View attachment 1176276View attachment 1176277
unakuta unatukana timu bila kutarajia..na game kama hyo jitu linaongoza had dk81 na mpinzani ana red kadi..ujue hapo ilikua fixed..na yenyewe yanacheza kamari
 
Nilisuka Mkeka wa mechi 20 kwa option ya Double Chance na Over 0.5.mechi 19 zikakubali ikabaki mechi 1 ambayo inatakiwa lipatikane goli 1 tu..nikaanza kupga na bajeti ya hela...mechi ikaanza...kipindi cha kwanza 0-0 nikajipa moyo muda bado...dakika ya 65 bado 0-0 ahahaahhaha dakika ya 80 bado 0-0. nikaangalia head to head. Hakuna kechi iliwah kuisha kwa 0-0. Ila hadi dakika ya 90+4 hakuna goli....kijasho chembamba kikatirirka
 
Mimi siku hizi hata roho ya utu ishaondoka...nimebaki kama mnyama tu,sina hisia wala nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kamari mbaya sana

Sio mbaya sana imekusaidia kwa upande mmoja au mwingine.

You can handle any disappointment in life.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wazee wa ku bet hawafi moyo. Akiliwa mkeka huu anajipa matumaini nikitengeneza mkeka mwingine nitakula, Akiliwa anajipa Tena moyo wa kuendelea kutengeneza.

Kuna jamaa aliniambia siku ya mkosi, mpaka demu anae jiuza atakukatalia. Kama siku sio nzuri acha kubeti.
 
Ïtapeñdeza sana kama tukiunda group whtsap kwaajili ya mikeka aliye tayar tuwasiliane 0758285786
 
Back
Top Bottom