TANZIA President Bingu wa Mutharika of Malawi is dead!

TANZIA President Bingu wa Mutharika of Malawi is dead!

bwana alitoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.
source; first lady Callista.
 
kumbe hata wewe umeipata hiyo? Huku malawi hawajatangaza
 
Vyanzo vyangu vya habari malawi vimethibitisha Dr Bingu wa Mutharika amefariki wanapeleka mwili wake south africa ili kuandaa mazingira ya utawala nchi hiyo.....utabiri wa TB Joshua umetimia
 
alitabiri mtawala wa afrika atafariki lowassa sio mtawala wala hastahili kuwa mtawala
 
alitabiri mtawala wa afrika atafariki lowassa sio mtawala wala hastahili kuwa mtawala

that is funny
wewe unamheshimu TB JOSHUA...
na humheshimu Lowassa
while wenzako wanadai Joshua katabiri Lowassa atakuwa Rais wa TZ
 
kesho akija mtu akitabiri waziri mmoja wapo africa atakufa watu watakurupuka kumuamini,

biblia na utabiri wapi na wapi.....
 
Unacheza na wanasiasa wa Afrika wewe. Marehemu Mwanawasa ilichukua muda wa kutosha kutangaza kifo chake. Kwa politics za Malawi zilivyo, wanaweza kuwa wanavuta subira ili kuweka mazingira vizuri kabla hawajatangaza.

Kwa katiba ya Malawi, Rais akifariki hawaitishi Uchaguzi mkuu mpaka mwaka wa uchaguzi ufike ambayo ni 2014. Tayari huyo Makamu wa Rais alikuwa amejitenga na chama tawala na kuanzisha chama chake. Baada ya kuanzisha chama chake, Mutharika akataka kumuondoa Umakamu, Mama akagoma maana Katiba inamlinda maana alipata umakamu kama mgombea mwenza na Katiba haisemi kitu iwapo Makamu akihama Chama kama anaweza kuvuliwa nafasi ya Umakamu.

Baraza la Mawaziri lililokuwa chini Mutharika lilikuwa linamuona huyo mama kama mpinzani, na sijui itakuwaje, maana mama ana chama chake, je ataendelea kufanya kazi hao mawaziri wa Bingu? Je, atateua mawaziri wapya kutoka vyama vya upinzani? Ni Mkorogo kwa kwenda mbele!

Interesting.
 
that is funny
wewe unamheshimu TB JOSHUA...
na humheshimu Lowassa
while wenzako wanadai Joshua katabiri Lowassa atakuwa Rais wa TZ

we ***** kweli headline yangu inasemaje imemtaja huyo bwana(master) wenu lowassa?
 

Katika kusisitiza hoja yake, Beatrice anasema, "Nimezungumza na TB Joshua wa Emmanuel TV Nigeria aliyenipa unabii kuwa rais ajaye Tanzania ni Edward Lowassa, nikamuambia haiwezekani kwani amechafuka sana."


Nakuheshimu mno king of MMU ...ila judgement zako zisizo na hoja ndizo zitafanya nisikuheshimu.U r more than that the Boss.
Nimekopy hiyo statement hapo juu kutoka hiyo link umetoa.
Kwanza hebu jiulize...kwa nini kichwa cha habari kimeanza na kiulizo(hii inaonyesha sio habari ya uhakika).
Pili unauhakika gani kama huyo mama hajapika hayo maneno?Umewahi kumsikia Tb Joshua akitamka?
Na tatu kwa nini unapenda kuhukumu?wewe ni Mungu? au malaika? Wewe ndio msafi sana au mtakatifu wa kuanza kusema Lowasa ana dhambi isiyopasa kusameheka?
U never know in this life.Kama wewe huna imani na utabiri/prophesy basi usipike mambo yasiyo na uhakika kujaribu kuweka ubaya wa kitu bila sababu.Wala huna sababu ya kumchukia mwenzio anayeabudu ngo'ombe kama wewe unaabudu jiwe.
Muhimu.....mie sio muumini wa huyo TB joshua wala huyo Lowasa lakn najaribu kuangalia ukweli.
 
Katika kusisitiza hoja yake, Beatrice anasema, "Nimezungumza na TB Joshua wa Emmanuel TV Nigeria aliyenipa unabii kuwa rais ajaye Tanzania ni Edward Lowassa, nikamuambia haiwezekani kwani amechafuka sana."


Nakuheshimu mno king of MMU ...ila judgement zako zisizo na hoja ndizo zitafanya nisikuheshimu.U r more than that the Boss.
Nimekopy hiyo statement hapo juu kutoka hiyo link umetoa.
Kwanza hebu jiulize...kwa nini kichwa cha habari kimeanza na kiulizo(hii inaonyesha sio habari ya uhakika).
Pili unauhakika gani kama huyo mama hajapika hayo maneno?Umewahi kumsikia Tb Joshua akitamka?
Na tatu kwa nini unapenda kuhukumu?wewe ni Mungu? au malaika? Wewe ndio msafi sana au mtakatifu wa kuanza kusema Lowasa ana dhambi isiyopasa kusameheka?
U never know in this life.Kama wewe huna imani na utabiri/prophesy basi usipike mambo yasiyo na uhakika kujaribu kuweka ubaya wa kitu bila sababu.Wala huna sababu ya kumchukia mwenzio anayeabudu ngo'ombe kama wewe unaabudu jiwe.
Muhimu.....mie sio muumini wa huyo TB joshua wala huyo Lowasa lakn najaribu kuangalia ukweli.


big up mtoto wa kike wa sayuni
 
Katika kusisitiza hoja yake, Beatrice anasema, "Nimezungumza na TB Joshua wa Emmanuel TV Nigeria aliyenipa unabii kuwa rais ajaye Tanzania ni Edward Lowassa, nikamuambia haiwezekani kwani amechafuka sana."


Nakuheshimu mno king of MMU ...ila judgement zako zisizo na hoja ndizo zitafanya nisikuheshimu.U r more than that the Boss.
Nimekopy hiyo statement hapo juu kutoka hiyo link umetoa.
Kwanza hebu jiulize...kwa nini kichwa cha habari kimeanza na kiulizo(hii inaonyesha sio habari ya uhakika).
Pili unauhakika gani kama huyo mama hajapika hayo maneno?Umewahi kumsikia Tb Joshua akitamka?
Na tatu kwa nini unapenda kuhukumu?wewe ni Mungu? au malaika? Wewe ndio msafi sana au mtakatifu wa kuanza kusema Lowasa ana dhambi isiyopasa kusameheka?
U never know in this life.Kama wewe huna imani na utabiri/prophesy basi usipike mambo yasiyo na uhakika kujaribu kuweka ubaya wa kitu bila sababu.Wala huna sababu ya kumchukia mwenzio anayeabudu ngo'ombe kama wewe unaabudu jiwe.
Muhimu.....mie sio muumini wa huyo TB joshua wala huyo Lowasa lakn najaribu kuangalia ukweli.


first sio lazima kuniheshim
haina umuhimu saana kwangu
but tumia 'logic' na uelewe maandishi na sio kumvamia mtu na kumponda....tena huku
ume panic na kuongea vingine visivyokuwepo.....
jifunze kuelewa kinachoandikwa kwanza....

ni wapi mimi kama mimi nimesema Joshua kasema Lowassa atakuwa Rais?

hivi unaelewa maana ya neno 'wanadai'???????

na hiyo link si umeiona 'ina madai'?
weather 'madai' na ya kubuni ya Shelukindo au ni ya mhariri....mimi inanihusu vipi?
mimi i simply 'refer' to hayo madai...na link nikaiweka.....na hayo madai yameongelewa mno humu

sasa wewe unatoa wapi ujasiri wa kuniambia 'no research no right to speak'??????

mimi nimesema wapi hiyo ni 'confirmed news'??????

nilichosema ni ku refer 'madai'....ya watu akiwemo Shelukindo........na magazetini imeandikwa

sasa ni vipi mimi nakuwa 'hater??????

tuheshimiane aiseee
 
Back
Top Bottom