President Kenyatta and Museveni humiliated at Somali conference in London.

President Kenyatta and Museveni humiliated at Somali conference in London.

Hapo mwanzoni kuna wabunge walitaka muyamalize hapo hapo kenya,bila kwenda icc lakini mliona na kusimama na kusema tuacheni twende kwa ocampo,leo hii mnalia na kusaga meno eti mnaonewa..leo hii ndio mnajua dhamani ya mahakama zetu baada ya sc kumfavour uhuru..kuhusu niss na vyombo vingine vya kitaifa,kwa nini wakuu wote wamejazana kabila moja tu..? ina maana kenya makabila mengine hayafai? Kwa nini kusiwe na balancing kulingana na makabila yote yaliyomo nchini kwenu? Uhuru kwenye kampeni zake alikuwa akiwatukana usa na uk,leo hii trip yake ya kwanza abroad kaenda uk,anakula matapishi yake,kama kweli mnajiamini na mmekamilika angegoma kwenda ili aonyeshe kwamba ana maanisha alichokuwa akiyaubiri kwenye kampeni? Nyie walala hoi mnadanganywa huku yeye akienda kinyume na matamshi yake.kweli nimeamini wajinga ndio waliwao..tambua kwamba hata hao wana cord ni wakenya wenzenu,chuki zenu na ukabila wenu haitawabadilisha kuwa waTanzania au waganda..nchi ni yenu wote nyie mzaniao kwamba you are choosen from God mnajidanganya..mwalimu nyerere aliwai sema.MUOGOPE MTU YOYOTE ANAEONGOZA NCHI KWA KUPENDELEA KABILA LAKE...PIA MUOGOPE KAMA UKOMA MTU ANAYENUNUA UONGOZI..muulize huyu master wako uhuru alitumia kiasi gani kuingia ikulu..ikulu kuna nini ni biashara gani anaenda kufanya ikulu? Kamwe siwezi kubaliana na utawala wa kibaguzi hata angekuwa babangu.nchi yenu imegawanyika umoja wa kitaifa uko wapi? Mnabaguana kikabila poor kenyans alafu mnataka tuwaeshimu..kaeni huko huko msije mkatuletea ukabila wenu huku.watu mnauwana kama gunguruwe leo bila aibu na kutetea wauwaji eti kwa kuwa ni kabila lako.hamna lotote nyie.

wakati huu mataifa ya kigeni ndio yanahitaji matiafa ya bara afrika kwa sababu ya rasilimali na sio vingine....hii ishu yya ukabila hutmiwa kama silaha lakini maadam wanasiasa wangemakinika na kuerevuka kama wakenya, wangepaswa kuelewa msimu umebadilika. huu sio ule msimu wa fujo na kueneza sera za ujinga kwenye kampeini na msimu huo umekwisha. !!!!!!KIMSINGI KUINGIA MADARAKANI KWA MISINGI YA UJINGA MSIMU WAKE UMEKWISHA!!!!!!. lazima kenya kama kiongozi wa kiuchumi maendeleo afrika mashariki na ya kati ionekane ikipiga hatua kutokana na ujinga wa wanasiasa. madaraka itapatikana kwa sera endelvu..Rais nyerere aliiona ujinga huu wa wanasiasa mwanzo, na akaifanya hio pamoja na umaskini na maradhi kuwa adui ya TZ na kutangaza vita dhidi yake kweli aliona picha ya kenya. vile vile kenya imefikia huo wakati..
..kilichowasaidia jubilee ni kwamba mbali na kutusiwa walisalia kuuza sera zao na ndio zilikuwa msingi wa wakenya kuchagua viongozi. bado unajidanganya ni kdf nsis na vikosi vya usalama ndio huamua uchaguzi pole sana, utaendelea kubaki kwenye tundu la giza. kenya ni nchi iliondelea mfumo wake ni wa kisasa sheria zake ni za kimataifa..nk. hii sio nchi ya king mswati inayoendeshwa kwa sera za vijijini.
....historia huandikwa mara moja tu. watu wanatakiwa kukaa chini na kufikiria na kujihoji wenyewe matokeo ya kazi za vitendo vyao. kufurahia tu kuingiza katiba huku watu wakipoteza maisha yao pia ni mithili ya ujinga. maana ikiwa jambo ni zuri halifai liambatane na vifo vya wananchi wasio na hatia.
...hitimisho ya kufunga huu mjadala..
...wakenya walitaka uongozi na sio kero za fujo na kuboreshwa kwa hali yao ya kiuchumi. huyo kigogo unayemsifu raila amekuwa mbunge wa langata miaka hii yote na bado kuna mamilioni ambao wamekaa katika vitongoji???? hii si kusema hakuna umaskini sehemu zingine kenya. bali matunda ya kazi ya huyu bana ni maafa na umwagaji damu Aisee!!!:laugh::laugh:
leta mengine........
 
After the failure of what was once the world's only super power, the United States of America (USA) to bring order to a battle-ridden Somalia, and after the failure of Ethiopia under the leadership of the late Prime Minister Zenawi to do the same, in came Uganda under the leadership of President Yoweri Museveni who sent in Ugandan soldiers to take on the Somali fighting tribes, especially the al Qaeda-leaning Al Shabaab.While other countries like Burundi have also played their part in stabilising Somalia, Ugandan's leading role is unmistakeable. And less than two years ago, Kenya joined in when former President Mwai Kibaki ordered his troops to take on the Al Shabaab.

quite intruiging, so who do you give the credit for restoring peace in somalia, does britain now come in to take the credit for somalia peace?? at least the US tried but failed with their humanitarian aid. We have an intrusive opportunist (britain) with his grant fund offers, that after AMISOM soldiers have paid the painful price of securing somalia, with almost 2/3rds of their soldiers fallen in a period of five years from 2009. Yet even amisom did not bear the burden of insecurity and hosting of refugees. The other question is who watched over the just concluded somali presidential elections?

just concluding that UG should recieve credit, it is museveni that made it possible for his soldiers to play the biggest part of AMISOM and succeed in changing the landscape in somalia. just because he was snubbed by Mr cameron at 'downing street' lacks merit with regards to the somalia reconstruction. typical colonial arrogance at play............... For 20 years the so called big powers and the surbodinated BRICS watched as somalia disintegrated. right now it is more of tongue-wagging from the BRICS in the media. otherwise the solution is with the somalis themselves to return to their country and start reconstruction.
 


quite intruiging, so who do you give the credit for restoring peace in somalia, does britain now come in to take the credit for somalia peace?? at least the US tried but failed with their humanitarian aid. We have an intrusive opportunist (britain) with his grant fund offers, that after AMISOM soldiers have paid the painful price of securing somalia, with almost 2/3rds of their soldiers fallen in a period of five years from 2009. Yet even amisom did not bear the burden of insecurity and hosting of refugees. The other question is who watched over the just concluded somali presidential elections?

just concluding that UG should recieve credit, it is museveni that made it possible for his soldiers to play the biggest part of AMISOM and succeed in changing the landscape in somalia. just because he was snubbed by Mr cameron at 'downing street' lacks merit with regards to the somalia reconstruction. typical colonial arrogance at play............... For 20 years the so called big powers and the surbodinated BRICS watched as somalia disintegrated. right now it is more of tongue-wagging from the BRICS in the media. otherwise the solution is with the somalis themselves to return to their country and start reconstruction.
If this report is true,which I doubt, then peace in Somalia which even now is in the hands of Kenya and Uganda, will depend on whether these two superpowers in Africa choose to support it or not. If they refuse no amount of support will succeed.But reports from more credible sources suggest that the Picture was taken but the Briton who feel slighted by Kenyans opted not to publish the pix.
 
I did not really understand how the election of uhuru would make a general photographer in the UK slighted. It really underpins how the losers of the just concluded election and its leader was a darling to them.
 
Until,, when they discovered mt Kilimanjaro,,,,there was no Kilimanjaro and
the same with mt Kenya,,,lake Victoria,,river Nile,,,it is them who
discovered all these,,,, and because of the size of our funny brains,,
we agreed with them.


Before any one makes any intelligent judgment to any matter,,,one has to
go deep into the matter and see what happened.

But these foolish westerners never does that,,,,most of the times,,sends
a drugged and drunk specialist,,like that Argentinian,,Ocampo.
This so called specialist,,,mostly on African affairs🙂 will just seats in some
expensive hotels,,,like Ocampo at Serena,,,writes his foolish reports
while drinking liquor,,young and beautiful ones besides them,,,
singling out Uhuru Kenyatta,,,on this side and Ruto,,on the other
side and expect people like Museveni,,,Nzuma,,Goodwill, Kagame
and all the other intelligent Africans to take them,,,, serious.

All these African leaders did endorse the Uhuru presidency
and left the western country in a cross road.


We Kenyans,,,i mean,,majority,,, knows what happened in Kenya,,
in 2007 and that is why we refused to listen to that other
discoverer and African specialist,,,,mr Carson.

That is why Kenya voted the way it did,,,,for we do not need
no more discoverers,,,telling us how they discovered us.

How can't they discover first,,,that they are the greatest
killers,,in this world ,,,,,,daily rolling out,,killing machines
and bobby traps,,,,maiming innocent human beings,,around
the worlds????

And to make it even,,so funny,,these guys are not signatory
to this ICC things,,,,that is why they can put human
beings in Guantanamo bay,,for decades while preaching
to others,,,,about human rights????:yell:

You can fool some people some time,,, but not all the people,,
all the people, all the time and that is why we have refused,,
most of us,,Kenyans,,, to be fooled.
 
Back
Top Bottom