President Kenyatta and Museveni humiliated at Somali conference in London.


wakati huu mataifa ya kigeni ndio yanahitaji matiafa ya bara afrika kwa sababu ya rasilimali na sio vingine....hii ishu yya ukabila hutmiwa kama silaha lakini maadam wanasiasa wangemakinika na kuerevuka kama wakenya, wangepaswa kuelewa msimu umebadilika. huu sio ule msimu wa fujo na kueneza sera za ujinga kwenye kampeini na msimu huo umekwisha. !!!!!!KIMSINGI KUINGIA MADARAKANI KWA MISINGI YA UJINGA MSIMU WAKE UMEKWISHA!!!!!!. lazima kenya kama kiongozi wa kiuchumi maendeleo afrika mashariki na ya kati ionekane ikipiga hatua kutokana na ujinga wa wanasiasa. madaraka itapatikana kwa sera endelvu..Rais nyerere aliiona ujinga huu wa wanasiasa mwanzo, na akaifanya hio pamoja na umaskini na maradhi kuwa adui ya TZ na kutangaza vita dhidi yake kweli aliona picha ya kenya. vile vile kenya imefikia huo wakati..
..kilichowasaidia jubilee ni kwamba mbali na kutusiwa walisalia kuuza sera zao na ndio zilikuwa msingi wa wakenya kuchagua viongozi. bado unajidanganya ni kdf nsis na vikosi vya usalama ndio huamua uchaguzi pole sana, utaendelea kubaki kwenye tundu la giza. kenya ni nchi iliondelea mfumo wake ni wa kisasa sheria zake ni za kimataifa..nk. hii sio nchi ya king mswati inayoendeshwa kwa sera za vijijini.
....historia huandikwa mara moja tu. watu wanatakiwa kukaa chini na kufikiria na kujihoji wenyewe matokeo ya kazi za vitendo vyao. kufurahia tu kuingiza katiba huku watu wakipoteza maisha yao pia ni mithili ya ujinga. maana ikiwa jambo ni zuri halifai liambatane na vifo vya wananchi wasio na hatia.
...hitimisho ya kufunga huu mjadala..
...wakenya walitaka uongozi na sio kero za fujo na kuboreshwa kwa hali yao ya kiuchumi. huyo kigogo unayemsifu raila amekuwa mbunge wa langata miaka hii yote na bado kuna mamilioni ambao wamekaa katika vitongoji???? hii si kusema hakuna umaskini sehemu zingine kenya. bali matunda ya kazi ya huyu bana ni maafa na umwagaji damu Aisee!!!:laugh::laugh:
leta mengine........
 

quite intruiging, so who do you give the credit for restoring peace in somalia, does britain now come in to take the credit for somalia peace?? at least the US tried but failed with their humanitarian aid. We have an intrusive opportunist (britain) with his grant fund offers, that after AMISOM soldiers have paid the painful price of securing somalia, with almost 2/3rds of their soldiers fallen in a period of five years from 2009. Yet even amisom did not bear the burden of insecurity and hosting of refugees. The other question is who watched over the just concluded somali presidential elections?

just concluding that UG should recieve credit, it is museveni that made it possible for his soldiers to play the biggest part of AMISOM and succeed in changing the landscape in somalia. just because he was snubbed by Mr cameron at 'downing street' lacks merit with regards to the somalia reconstruction. typical colonial arrogance at play............... For 20 years the so called big powers and the surbodinated BRICS watched as somalia disintegrated. right now it is more of tongue-wagging from the BRICS in the media. otherwise the solution is with the somalis themselves to return to their country and start reconstruction.
 
If this report is true,which I doubt, then peace in Somalia which even now is in the hands of Kenya and Uganda, will depend on whether these two superpowers in Africa choose to support it or not. If they refuse no amount of support will succeed.But reports from more credible sources suggest that the Picture was taken but the Briton who feel slighted by Kenyans opted not to publish the pix.
 
I did not really understand how the election of uhuru would make a general photographer in the UK slighted. It really underpins how the losers of the just concluded election and its leader was a darling to them.
 
Until,, when they discovered mt Kilimanjaro,,,,there was no Kilimanjaro and
the same with mt Kenya,,,lake Victoria,,river Nile,,,it is them who
discovered all these,,,, and because of the size of our funny brains,,
we agreed with them.


Before any one makes any intelligent judgment to any matter,,,one has to
go deep into the matter and see what happened.

But these foolish westerners never does that,,,,most of the times,,sends
a drugged and drunk specialist,,like that Argentinian,,Ocampo.
This so called specialist,,,mostly on African affairs🙂 will just seats in some
expensive hotels,,,like Ocampo at Serena,,,writes his foolish reports
while drinking liquor,,young and beautiful ones besides them,,,
singling out Uhuru Kenyatta,,,on this side and Ruto,,on the other
side and expect people like Museveni,,,Nzuma,,Goodwill, Kagame
and all the other intelligent Africans to take them,,,, serious.

All these African leaders did endorse the Uhuru presidency
and left the western country in a cross road.


We Kenyans,,,i mean,,majority,,, knows what happened in Kenya,,
in 2007 and that is why we refused to listen to that other
discoverer and African specialist,,,,mr Carson.

That is why Kenya voted the way it did,,,,for we do not need
no more discoverers,,,telling us how they discovered us.

How can't they discover first,,,that they are the greatest
killers,,in this world ,,,,,,daily rolling out,,killing machines
and bobby traps,,,,maiming innocent human beings,,around
the worlds????

And to make it even,,so funny,,these guys are not signatory
to this ICC things,,,,that is why they can put human
beings in Guantanamo bay,,for decades while preaching
to others,,,,about human rights????:yell:

You can fool some people some time,,, but not all the people,,
all the people, all the time and that is why we have refused,,
most of us,,Kenyans,,, to be fooled.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…