President Kenyatta to hold talks with Botswana leader

Jammu Africa

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2010
Posts
530
Reaction score
59




'President Uhuru Kenyatta is set to visit Botswana on Wednesday following an invitation from President
Seretse Khama Ian Khama.

President Kenyatta will fly to Gaborone for the one day official visit after his two day trip to South Africa
and is to hold talks with President Khama on bilateral, regional and international issues of mutual interest.'

http://www.nation.co.ke/news/politi...a-Visit/-/1064/2059064/-/27vq1cz/-/index.html
 
Haiyaaaai,,,,so the prezzo of Botwana is a,,Mzungu??????:smiling:

That is why he was,,,shrubbing like that,,,,but now,,,he
seems to have,,woken up,,realizing that all brothers,,in
the leadership,,in Africa had been speaking in one
voice.

I hear that he does not have a wife,,,,an African
leader without a wife,,,,,:confused2:,,,,his father,,Tse tse
khama married a white woman,,,,,,,,,,,,,

Now Uhuru will be visiting Botswana,,,you know
what,,,,it is easier to say things with these,,
damning mouths of ours,,,but very different,
when doing the actions.

Even,,these Britons and those,,,French,,
they are just shouting,,,with their mouths,
but when it comes into the reality,,,,you
will see them with their tails behind
their damned legs.
 
Tukiweka maanani kwamba Botswana ilikataa kuhungana wa nchi nyingine za Africa kuishambulia ICC, nina uhakika Rais wa Botswana anataka kumpa ushauri Uhuru asishindane na an Internationa Community - akubali kwenda the Hague kujibu mashtaka yanayo mkabiri atamwambia mbinu za kukwepa kwepa kwenda huko hakutamsaidia zaidi ya kuingiza Taifa lake katika matatizo makubwa ya kuwekewa vikwazo vya kiuchumi. Anaweza kumpa ushauri vile vile kuhusu EAC kwamba si rahisi kupuuzia nchi kama Tanzania wakafanikiwa katika harakati zao.
 
binafs
huwa simuamini hata kidogo rais uhuru linapokuja suala uchumi, sisi tulihangaika
kuzikomboa nchi za kusini mwa africa leo yeye atapeleka pua yake afanye biashara very selfshiness kikuyu
 

Sidhani kama rais wa Botwana anaweza kumpa Uhuru ushauri wa aina,,yeyote.

Kile kimefanyika ni kwamba,,,,Botswana ilijikuta,,,wakiwa wapweke,,,baada
ya kuropokwa.

1. Wamekuja kugundua,,kwamba,,Uhuru ni jambali na Kenya si Sierra leon
ama,,Madagascar.

2. Kisha,,,viongozi wote wa kiafrika wako nyuma ya Uhuru.

Lakini cha kushangaza ni kwamba,,,nusu ya civil service
yake katika serikali,,,,ni waafrika kutoka nchi zingine
za kiafrika wengi wakiwa kutoka Kenya.


Sasa,,,ninani wakushauri mwingine???????????:smiling:
 
binafs
huwa simuamini hata kidogo rais uhuru linapokuja suala uchumi, sisi tulihangaika
kuzikomboa nchi za kusini mwa africa leo yeye atapeleka pua yake afanye biashara very selfshiness kikuyu

ujinga wenu ndo uliwafanya mpiganie uhuru wa watu wasiowahusu...mitanzania mijitu ya hovyo sana yaani ni kama wapagazi tupo tupo tu ...
 
binafs
huwa simuamini hata kidogo rais uhuru linapokuja suala uchumi, sisi tulihangaika
kuzikomboa nchi za kusini mwa africa leo yeye atapeleka pua yake afanye biashara very selfshiness kikuyu

Brother men,,,:smiling:,,,sikuelewi hata kidogo,,,yaani,,wamaanisha kwamba,,ni inchi kama
Tanzania ambazo tuu,,zilizoweza kusaidia katika ukombozi wa watu wa South Afrika
sababu iko,,, TZ wakati mwingine hua inajumulishwa na nchi za
Southern Africa??????


Katika ile famous tour,,ambako Nelson Mandela aliyoifanya baada tuu,,kutoka ngerezani,,,ile
aliyoifanya katika dunia ya kuwashukuru zile inchi ambazo ziliweza kusaidia South Africa,,,
moja ilikua ni Kenya,,pale aliweza kuwahutubia wa Kenya wote na kuwashukuru kwa
support Kenya ilikua ikiwape watu wa South Africa.

Kama Kenya haikusaidia South Africa,,,basi Nelson Mandela alikua
hana habari.


Pili,,kule ninapoishi,,Ngong,,kabla ya kufika katika town,,,iko
mahali panapojulikana kama Zambia,,,hapa ndipo wakimbizi
wa South Africa walikua wanaishi lakini wakenya wengi
walikua wanadhani ni wa Zambia.

Baba yangu mwenyewe ndie aliweza kuwalete hawa wa South
Africans, ambako aliwahi kukutana na viongozi wao huko Moshi
Tanzania,,na wakamuuliza eti awaongoze hadi Kenya.

Aliwalete Kenya,,,1972,,akawapeleka hadi Katundu kuonana
na rais Jomo Kenyatta,,,Kenyatta akatoa amri kwamba hawa
watu waruhusiwe kuishi Kenya bila ya kusumbuliwa na mtu
yeyote.

Hawa watu walikua wamechanganyika na watu kutoka
Zimbabwe walio kua wametoroka uongozi wa Ian Smith
wa Rhodesia.

Tuliwahi kuishi na wa South Africans hata katika
manyumba zetu,,tukajifunza lugha zao.

Hata tulipo sikia ya kwamba,,,watu kutoka ichi zingine
za kiafrika katika S Afrika walikua wakiuliwa,,hivi juzi,,
sababu ikiwa wao wamekwenda kuchukua kazi zao,,tukawaona
wa S Africans kama watu ambao husahau viraisi sana,,,tukikumbuka
vile tuliwahi kuwakubali na hatukujali wao kuchua
kazi zeti.

Hebu kuja Kenya,,,enda mahali kunako julikana kama
Zambezi,,in Kikuyuland,,,,,utawapata wa South Africans,
Zimbabweans and Zambians.

Kwenda Muguga,,,,utawakuta hawa watu wamejaa kwote
na hakuna mtuu anawabangua.

Hawa watu wanaongea Kikuyu safi na Headquarter ya
kanisa lao,,la kipekee iko,,,opposite Nairobi hospital.

Kusema eti Kenya haikusaidia katika ukombozi wa
South Africa,,,hiyo ni na laumu tuu,,,kutokua na
habari ya kutosha.

Libya haikua katika frontline states,,lakini ilifanya
zaidi ya vile those front line countries contribited
to,,,ukombozi wa Soth Africa.
 
yeye atapeleka pua yake afanye biashara very selfshiness kikuyu


Ha ha ha ha,,,,,,:smiling::smiling:,,,KIZURI CHA JIUZA NA KIBAYA CHA JITEMBEZA.

Ukweli ni kwamba,,mtu hufanya biashara na watu wenye biashara,,lakini
hauwezi kufanya biashara kama hakuna biashara.

Sasa ni wao,,wenyewe walio mualika rais Uhuru katika southern Africa.

Why,,simply because,,,Uhuru Kenyatta is the NEW KID on the BLOCK.

Kila mtu anataka kumuona,,kumsalimia na kuzungumza naye.

Sababu yeye ni Alexander the great.

Hivi karibuni,,,utawaona hawa wajinga kutoka western countries,,
wakimtunuku na NOBEL PRIZE.

Waliwahi kumueka Nelson Mandela katika ile list ya terrorists lakini
baadaye,,wakalamba matapiko yao,,,na,,ku mtunuku peace nobel
prize.


WATU,,,,,,,,,,,,BURE KABISA.:smiling:
 
Heshima yako mkuu, kwanza nataka nikusahihishe kidogo sio kweli kwamba wafanyakazi wengi wa nje wanao fanya kazi Botswana wanatoka Kenya, nakuomba ufatilie Botswana au Wa Botswana waliwahi kutoa comments gani kuhusu tabia za raia wa Kenya wanao fanya kazi Botswana - hivi ujui kwamba kuna walio ambiwa warudi makwao (Kenya) kwa nini? Kitu kingine, mtu kukupa ushauri hauna maana kwamba ni lazima ufuate, una hiari ya kuhukubali au ku-ignore i.e mwenye huamuzi wa mwisho ni msikilizaji/anaye pewa ushauri, na hii aina maana kwamba ukipewa ushauri basi utakuwa umedharauliwa, la hasha. Mkuu tusije tukajidanganya hapa kwamba Rais wa Botswana hawezi kunzungumzia chochote kuhusu ICC na kumshauri Uhuru nini cha kufanya, kinacho nishangaza mimi sijui kwa nini mnachukulia suala la Rift Valley lightly badala yake mnakomalia suala la Westgate as if walio kufa 2008/9 sio binadamu na wakiwa Wakenya wenzenu 4 that matter - why DOUBLE standard!!!
 

Mwaka 2009 wakenya wengi sana mikataba yao ilikatishwa, mimi ninajua zaidi ya wakenya 12 ambao mikataba yao ilikatishwa kwa sababu ya rushwa, wengine walipewa 48hrs kuondoka Botswana. Nakumbuka mwaka huo Rais Kibaki aliingilia kati kutaka kujua kulikoni. Serikal ya Seretse ikamwambia wazi wamekuwa wala-rushwa na wanaweza kuwa-poison Batswana. Hii kitu iko wazi. halafu nikuambie kitu kimoja Botswana ilipeleka na bado wamepeleka shule watu wao kwa wingi sana na ni mwaka jana tu walikatiza mikataba ya foreigners kibao including Kenyans hapo Princes Marina Hospital" Kwa ujumla Wazimbabwe ndiyo wengi kuliko watu kutoka mataifa mengine.
 
binafs
huwa simuamini hata kidogo rais uhuru linapokuja suala uchumi, sisi tulihangaika
kuzikomboa nchi za kusini mwa africa leo yeye atapeleka pua yake afanye biashara very selfshiness kikuyu
sijaelewa unamaanisha nini. kama ulisaidia kupigania ukombozi ndio iwe sababu ya yeye kutofanya biashara leo. wewe ndio selfish
 
Si mtu wa kununuliwa na Kenyatta huyo.Ana misimamo thabiti katika kupinga war crimes and crimes against humanity,rapes,murders,attrocities and the likes zinazomkabili UK
 
Rais wa Botwana ndie alie mualika rais Uhuru Kenyatta,,,si Uhuru alie,,
jipeleka huko.

Kweli wa Kenya wengi waliwahi kurudi Kenya,,na iko mmoja mKenya,,ICC witness,,
aliekua amefichwa huko na hawa mabeberu wa ICC,,,baada ya kujihusisha na
mambo ambayo haikufurahisha serikali ya huko,,,akapewa masaa 48 aondoke
na sasa yuko,,,USA.

Kwa ushauri,,Botswana hawana chochote cha kushauri Kenya,,kweli wana
madini mengi lakini hayo ni ya mungu na siwao walio sababisha kua nao.

Sijasho lao,,lakini,,kighafla,,,wakajikuta wamelalia utajiri mwingi,,wako
na reserves tosha ambazo zinawasaidia wazungu ulaya ambako hizo
reserves zimewekwa.:smiling:

Tutamtafutia mke kwanza,,,kabla ya kutushauri,,,huyu,,,,rais wa
kipkee Africa,,rais wa Botswana.:smiling::confused2::smiling:
 

itawezekanaje rais wa botswana kutaka kumpa uhuru ushauri wakati kutoka mwanzo alijitayarisha kuweka kenya vikwazo. inaonyesha wazi mataifa ya kiafrika yanakosa msimamo yao binafsi. niki sema msimamo nina maana ule unaozingatia interests za wananchi wao, sio za wakoloni mambo leo.

tuzungumze tukijua viongozi na wanasiasa waafrika ndio wanatengeneza mazingira haya ya kutofautiana wenyewe.
kwa mfano waathariwa/IDP wangapi wako ICC hivi sasa kutoa ushaidi?? wanaotafutiwa haki ICC hivi sasa ni waliokuwa vibaraka wa PNU na ODM. Kulingana na ICC bado hatujui ni nani alikuwa na the greatest responsibility of the PEV. sijui kama hiyo mahakama itapata ukweli katika decade hii ile ingine. kumekuwa na mapendekezo kuwa na tribunal arusha which is directly answerable under the ICC rome statutes itoe hukumu ambao ni hatari. hafadhali AU iwe na makao ya tribunal isioongozwa na taifa lelote.

hivi leo vikundi kama mau mau na vingine vinakosa uwezo wa kupata haki kwenye mahakama yeyote ya kimataifa. Kesi hii ni ya kuwashtaki waafrika. ninashangazwa hata jeshi la kenya imekuwa ikitoa ushauri rais wa kenya na naibu wake kuenda ICC.

politicization na siasa za kikabila zimeharibu kesi za ICC. nilisema tukilielewa katiba ya kenya, kuwa taifa lina haki ya kujilinda nje na ndani ya mipaka, suala la westgate ni muhimu pia ikizingatiwa.

kenyans have become more awakaned kutoka tukio hilo la ghasia za baada ya uchaguzi, na waliotumia icc mwanzo kushindania vita vya kikabila imekulia kwao. kwa sababu we know ethnicity has been a crucial component in kenyan landscape to safeguard authority and exclusivity. wanasiasa wantumia ukabila kama silaha ya kungangania madaraka na nyadhifa zinginezo.... ndio kufanya hizi tofauti zidumu miaka nenda miaka rudi.

cha kusikitisha ni, majadliano ya ICC na hali ya usalama kenya is ideologically driven (yaani yanazungumziwa in a superficial manner)

tunatafuta wakati ambapo uongozi wa kenya utasimamia interests za wananchi wote na sio imposters wanaotafuta kuzidizha ukabila na temporary narrow interests za jamii yao binafsi.
 
Well said - umeleweka vizuri Mkuu Kabaridi.
 
Mkuu nashukuru sana kwa ufafanuzi wako mulwaa, sina shaka mwenzetu ataupitia na kuhutafakari kwa kina, once again thanks a lot.
 
Jammu Africa,

..Pik Botha na Frederick De Klerk pia walifika Kenya kushukuru kwa kusaidia Apartheid South Africa.

..Mzee Toroitich Arap Moi South Africa during Apartheid era, wakati nchi za Kiafrika zime boycott kushirikiana na wabaguzi hao.
 
Last edited by a moderator:
Jammu Africa,

..Pik Botha na Frederick De Klerk pia walifika Kenya kushukuru kwa kusaidia Apartheid South Africa.

..Mzee Toroitich Arap Moi South Africa during Apartheid era, wakati nchi za Kiafrika zime boycott kushirikiana na wabaguzi hao.

De Clark alizuru Kenya kuwatembelea wazungu ambao roots zao,,nikutoka S Africa.

Hawa wazungu waliwahi kuishi mahali panapo julikana kama Eldoret, na niwao kwa
ukubwa walio anzisha huu mji.

Hakuna ukweli wowote kuhusu Kenya kutembelewa na De Clark,,,nimechukulia
hayo kama,,just a joke,,,kwani inchi ambazo zilikua za support apartheid,,,
zilijulikana,,wazi wazi.

Hakuna mwa Afrika wa kawaida angeliweza kuunga mkono apartheid na
asitengwe na inchi zingine za kiafrika.:smiling::smiling:

Kwahivyo,,ukweli ni,,,ndio De Clark aliwahi kutembelea Kenya,,miaka
ya 90's, akaenda hadi Eldoret kutembelea jamaa wake,,,huko
Eldoret,,,,familia wa De Clark walio hamia Kenya miaka ya hapo
nyuma.

Nitajaribu kutafuta hii,,,,link,,,,kwani,,,,ukweli una gharama.
Mzee Toroitich Arap Moi South Africa during Apartheid era, wakati nchi za Kiafrika zime boycott kushirikiana na wabaguzi hao.

waweza kudhibitisha haya,,,kwani nimeyasikia leo.:confused2:
................................................................................................................................
Tena,,tuangalie mambo yalivyo,,sasa,,,kama Kenya iliwahi ku support apartheid,,,,

Zaidi ya Mandela kuzuru Kenya na kuhutubia wakenya kutoka Uhuru Park,,,kwa hivi
sasa,,,rais wa South Africa ni mmoja wa marais ambao wako nyuma ya Uhuru katika
hii miereka ya ICC,,,kwanini ajihusishe na Kenya ambayo ilienda kinyume na wao???

Walio support apartheid,,,wanajulikana,,haikua siri.

Sasa rais wa Kenya ako South Africa kwa mikutano,,mmjawapo ukiwa wa ,,,SADC,,,,
kisha,,huyo,,,,Botswana kwa ziara ya siku moja.

Wengi walitarajia Kenya kutengwa,,na wenzao wa kia,,,hawa makaburu wa western
countries walikua wamejaribu,,,,,kuchochea,,,,Botswana waingia kwa mtengo na kuanza
kuropkwa wakati tuu,,Uhuru aliposhinda.

Sasa amemuita Uhuru huko kwao,,,kumuambia,,,pole bwana,,,,,kwani,,, ULIMI KATELEZA,,
nielewe bwana,,,,,,,,,,,
 
Jamaa ana sura ya urabu sana ehee!!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…