binafs
huwa simuamini hata kidogo rais uhuru linapokuja suala uchumi, sisi tulihangaika
kuzikomboa nchi za kusini mwa africa leo yeye atapeleka pua yake afanye biashara very selfshiness kikuyu
Brother men,,,:smiling:,,,sikuelewi hata kidogo,,,yaani,,wamaanisha kwamba,,ni inchi kama
Tanzania ambazo tuu,,zilizoweza kusaidia katika ukombozi wa watu wa South Afrika
sababu iko,,, TZ wakati mwingine hua inajumulishwa na nchi za
Southern Africa??????
Katika ile famous tour,,ambako Nelson Mandela aliyoifanya baada tuu,,kutoka ngerezani,,,ile
aliyoifanya katika dunia ya kuwashukuru zile inchi ambazo ziliweza kusaidia South Africa,,,
moja ilikua ni Kenya,,pale aliweza kuwahutubia wa Kenya wote na kuwashukuru kwa
support Kenya ilikua ikiwape watu wa South Africa.
Kama Kenya haikusaidia South Africa,,,basi Nelson Mandela alikua
hana habari.
Pili,,kule ninapoishi,,Ngong,,kabla ya kufika katika town,,,iko
mahali panapojulikana kama Zambia,,,hapa ndipo wakimbizi
wa South Africa walikua wanaishi lakini wakenya wengi
walikua wanadhani ni wa Zambia.
Baba yangu mwenyewe ndie aliweza kuwalete hawa wa South
Africans, ambako aliwahi kukutana na viongozi wao huko Moshi
Tanzania,,na wakamuuliza eti awaongoze hadi Kenya.
Aliwalete Kenya,,,1972,,akawapeleka hadi Katundu kuonana
na rais Jomo Kenyatta,,,Kenyatta akatoa amri kwamba hawa
watu waruhusiwe kuishi Kenya bila ya kusumbuliwa na mtu
yeyote.
Hawa watu walikua wamechanganyika na watu kutoka
Zimbabwe walio kua wametoroka uongozi wa Ian Smith
wa Rhodesia.
Tuliwahi kuishi na wa South Africans hata katika
manyumba zetu,,tukajifunza lugha zao.
Hata tulipo sikia ya kwamba,,,watu kutoka ichi zingine
za kiafrika katika S Afrika walikua wakiuliwa,,hivi juzi,,
sababu ikiwa wao wamekwenda kuchukua kazi zao,,tukawaona
wa S Africans kama watu ambao husahau viraisi sana,,,tukikumbuka
vile tuliwahi kuwakubali na hatukujali wao kuchua
kazi zeti.
Hebu kuja Kenya,,,enda mahali kunako julikana kama
Zambezi,,in Kikuyuland,,,,,utawapata wa South Africans,
Zimbabweans and Zambians.
Kwenda Muguga,,,,utawakuta hawa watu wamejaa kwote
na hakuna mtuu anawabangua.
Hawa watu wanaongea Kikuyu safi na Headquarter ya
kanisa lao,,la kipekee iko,,,opposite Nairobi hospital.
Kusema eti Kenya haikusaidia katika ukombozi wa
South Africa,,,hiyo ni na laumu tuu,,,kutokua na
habari ya kutosha.
Libya haikua katika frontline states,,lakini ilifanya
zaidi ya vile those front line countries contribited
to,,,ukombozi wa Soth Africa.