pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
😀😀😀😀😀 Wape wape.Umetaja LDC joto la jiwe came running and actually went ahead to like your shitty opinion.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀😀 Wape wape.Umetaja LDC joto la jiwe came running and actually went ahead to like your shitty opinion.
🙂 Have a gud niteWewe jamaa ni zaidi ya tikiti maji. Huna msimamo dhabiti. Kazi kubwabwaja bwabwaja tu, bendera fata upepo. Juzi juzi tu ulikuwa umepandwa na nyege kuhusu sijui ziara gani hiyo ya rais Uhuru, eti hadi kule Tanzania akajifunze kuhusu ujamaa. Kwani Tz si LDC kama tu Mozambique?
Funda Wewe! Huu ushamba wako upeleke kule kijijini kwenu Kamahuhia. Au kwenye whatsapp group zenu za Mulang'a.🙂 Have a gud nite
😀 😀 😀Funda Wewe! Huu ushamba wako upeleke kule kijijini kwenu Kamahuhia. Au kwenye whatsapp group zenu za Mulang'a.
Watz tunamfuatilia huyo mvuta bange wenu Kwa makini kama kaenda msumbiji kuanzisha ng'ombe "COW" mwingine ili kuleta choko choko zinginePresident Uhuru Kenyatta will on Thursday start a State visit to Mozambique to promote trade, enhance bilateral relations and especially on the blue economy.![]()
The blue economy has been highlighted as a key sector in manufacturing, which is one of the pillars of President Kenyatta’s Big Four Agenda.
Ahead of the visit, Foreign Affairs CS Monica Juma said discussions in Mozambique will revolve around value addition in a number of areas, top among them being the blue economy – all aimed at benefiting the people of the two countries.
Kenya will in November this year host a High-Level Conference on Sustainable Blue Economy.
Get breaking news on your Mobile as-it-happens. SMS ‘NEWS’ to 22163
The blue economy is the sustainable use of ocean resources for economic growth, improved livelihoods and jobs while preserving the health of marine and coastal ecosystem.
“Mozambique is a sea-facing country as we are. There has been a growing interest in the Indian Ocean Rim, which both Kenya and Mozambique are members. And so some of the discussions that are going to take place will be on how we can connect trade, how we can add value on our ocean, particularly on the blue economy,” said Amb. Juma.
Also Read Renault Kenya unveils Logan, Sandero in the market
Mozambique is part of the Indian Ocean Rim Association, an international organization comprising 21 coastal nations bordering the Indian Ocean. Its objectives include promoting sustainable growth, balanced development and removal of impediments to the free flow of goods, services, investment and technology among member states.
Amb. Juma dubbed the President’s State Visit to Mozambique ‘linking the Swahili Coast from Maputo to Lamu’ and bilateral talks will feature cooperation between the two countries in boosting transport links to promote trade as well as people to people interactions.
Mozambique is officially a Portuguese speaking country but it’s President, Felipe Nyusi, also speaks Swahili.
Trade between Kenya and Mozambique has continued to register steady growth over the years, with Kenya’s total export to Mozambique increasing from $ 6.61 million in 2007 to $ 11.8 million in 2017.
But despite the two countries having signed a Joint Permanent Commission for Co-operation agreement in 1991, trade volumes have remained below potential. It is expected that President Kenyatta’s visit to Mozambique will stimulate new impetus for increased trade between the two countries.
Kenya’s major exports to Mozambique include prefabricated buildings, plastic items, animal and vegetable fats, tableware, kitchenware, fruit and vegetable juices among others.
Also Read Women entrepreneurs join forces to reach innovative business solutions
There is potential for Kenya to export edible oils, tea, pharmaceuticals, beauty care products, packaging products, dairy products, textiles, apparel, leather products, construction materials as well as capacity to export services in general and professional services in particular.
Imports from Mozambique include sugar, molasses and honey, aluminium, coal and non-ferrous base metal among others.
State House Spokesperson Manoah Esipisu highlighted Mozambique’s wealth in terms of natural gas, and offshore wealth, and said it had much to share with Kenya.
Discussions would focus on how to extract resources in a sustainably manner as part of empowering both our economies, Esipisu said.
On the bilateral front, the President’s Visit will seek to deepen an already existing cordial and friendly relations between Kenya and Mozambique as well as enhancing people to people interactions.
“We have a long history with Mozambique. As you may know, even during the Mozambican civil war, Kenya played a key role in terms of helping to negotiate between the Mozambique Liberation Front (FRELIMO) and the Resistência Nacional Moçambicana (RENAMO),” said CS Amb. Juma
Also Read Kenya Power assures manufacturers of adequate power supply
She pointed out that the two countries also enjoy cultural ties with one of the most recent Kenyan tribes, the Makonde, being descendants from Mozambique.
“We will be talking about how we can enhance this people to people diplomacy, people to people interaction but also a friendship that is historically rooted,” Amb. Juma said.
Early last year, President Kenyatta issued members of the Makonde community living in Kenya’s South Coast with national Identity cards and officially declared the community the 43rd Kenyan tribe.
The Makonde have their origins in Mozambique.
Apart from President Kenyatta and his host President Nyusi leading their delegations in bilateral talks, the Kenyan leader is also scheduled to give a public lecture at one of the special institutes of international relations in Mozambique’s capital, Maputo.
President Kenyatta will also visit a number of key installations including the Maputo Port with a view to expanding areas of cooperation between the two countries.
Amb. Juma is optimistic that President Kenyatta’s State Visit to Mozambique will bring significant returns to Kenya in terms of both Government to Government relations and boosting people to people interactions.
Watz tunamfuatilia huyo mvuta bange wenu step to step isije kua kaenda huko kuwafundisha wamsumbiji mbinu za kuiba gesi ya tz chini ya ardhi maana gesi zinapakana na msumbiji huyo kenyata wenu akileta habari za NEW COW atajutaMsumbiji kuna gesi, hongera kwa rais kuendelea kutafuta soko zaidi kwa ajili ya Wakenya. Kwa kweli nchi yetu imetanua, SADC tumeiteka yote.
Asante Kwa kutujulisha ila msije mkalia hapa kua tz inawaujumu pale tutakapo chukua hatua ya kudhibiti Kenya msumbiji some time nyinyi wakenya mnamkwamisha raisi wenu Kwa kutoa siri za serikali yake dhidi ya tz mfano COW tulikuwa atujui chochote Ila siri ilipo fichuka kuwa ni kirusi dhidi ya tz tukakitokomeza kwisha habari yake kwaiyo nakupongeza mk254 Kwa kutufungua macho kuusu mikakati ya mvuta bange wenu mnayemtegeweaNyie mivivu, angalia takwimu za exports kutoka Kenya kwenda Msumbiji, nchi ambayo ipo mbali nasi ila mpo nao mpaka mmoja lakini tunafaulu kuwafikishia exports za 11.8$ mil wakati nyie mivivu mlifaa kutupiga bao hapo kabisa maana huwa mnawaita ndugu zenu, hata enzi zile kiherehere kiliwapeleka mkafia huko 'mkiwakomboa', lakini exports zenu kwao ni 12$mil
Nchi zote zilizowazunguka yaani tunakula sahani moja hilo liSADC..... Iwe Malawi, Zambia, Zimbabwe n.k.
Kautipe na utumbo wa kuku walisemaga wahengaMsumbiji kuna gesi, hongera kwa rais kuendelea kutafuta soko zaidi kwa ajili ya Wakenya. Kwa kweli nchi yetu imetanua, SADC tumeiteka yote.
Unyang'au kitu cha maana sana...nobody in this world gives a shit about you unless you got something on the table to offer.Tanzania ilihangaika weee kuyakomboa hayo mataifa ya kusini mwa Afrika.Ilipoteza watu wake na rasilimali nyingi mpaka ikawa maskini.Wakati huo Kenya ilikuwa ikifanya biashara na makaburu ambao kipindi hicho ndio walikuwa maadui.Sasa hivi hizo nchi zimepata Uhuru ,Kenya tena inaenda kunufaika ikiachia Tanzania kutaka tu urafiki wa mdomoni toka kwa hizo nchi!