President Magufuli's dilemma: Infrastructure or human capital development, which is more important?

President Magufuli's dilemma: Infrastructure or human capital development, which is more important?

Picture this;
You build flyovers and the SGR and buy planes and more roads.
Unaamini kweli kwamba wananchi wa chini wataweza kutumia hiyo miundombinu kujiimarisha kiuchumi kama hawana elimu?

Always, infrasteucture is a single touch with double /or a triple manifestation.

Don't be a kid, open up your mind and think big!!
 
I can some how agree what you have briefly mentioned, What i think' we about to stuck some where with time, It's now a time to separate this thing's Politics and Economy, We need politicians who's matured and who know's how to deals with politics and not to decide about our future economy in such a illiterate way
 
Good to hear that from you.

You're typical Swahiliman! Always complain on every single thing.

When there's no development you complain! When there's development you still find reasons to complain!

I know everyone in this nation had a reason to complain for the rampant corruption of our past government.

But now we have a President, a real President!

Instead of all those pity issues, let's come together and share thoughts and ideas to put an end to corruption and focus on prosperity.

Just for the records: Magufuli is the best President that Tanzania has ever had and he has a clear vision to his people.

This is the President who is the first to make changes and he will be the one who made Tanzania amongst the best countries in the world, if not Africa!
Absolutely right. Let's be patient. We will always have a price to pay for whatever we priotise. One thing is sure, that is JPM and his govt will never eradicate all our problems as some of us think. He will never do miracles. BUT will take us a very promising place in the history of this country at the expence of some price. This is what we wanted. We must support him in anyway possible. Tuache kulialia
 
Good to hear that from you.

You're typical Swahiliman! Always complain on every single thing.

When there's no development you complain! When there's development you still find reasons to complain!

I know everyone in this nation had a reason to complain for the rampant corruption of our past government.

But now we have a President, a real President!

Instead of all those pity issues, let's come together and share thoughts and ideas to put an end to corruption and focus on prosperity.

Just for the records: Magufuli is the best President that Tanzania has ever had and he has a clear vision to his people.

This is the President who is the first to make changes and he will be the one who made Tanzania amongst the best countries in the world, if not Africa!
Nadhani huyu mdau sio kwamba analalamika. Katoa hoja na mtazamo wake. Hakuna ubaya juu ya hilo. Swala sio uzuri au ubaya wa Raisi Magufuli...braza usipanick. Ishu ni kwamba kipi atilie mkazo. Mm nadhani vyote viwili ni muhimu, viendelezwe kwa pamoja. Bila elimu miundombinu haitotumika vizuri, na bila miundombinu elimu nzuri haiwezi kupatikana.
 
It will be wise to wait till you become a President in 2025 so that you can implement your ideas. This is Magufulis term and he has his own priorities. He is right, and you might be right too. Kila mtu anaamua aanzie kipi amalizie kipi. Na wote mko sahihi. Njia za kwenda songea ziko mbili. Kila mtu anaamua apitie wapi. Suala ni kufika na tutafika salama tena na neema kede kede.
Huyu kaanza kwa ku inyoosha nchi japo kwenye uchumi bado sana 'He has a long way to go' Majuzi alikutana na wafanya biashara 'that is a good development'
 
Kwahiyo una suggest miundombinu iwekwe kando kwanza tujikite katika elimu na afya? Sasa utafikaje hospitali bila miundombinu? Wagonjwa wanakufa barabarani due to congestion na miundombinu finyu. Pia, bila miundombinu mizuri si wanafunzi, walimu, wafanyakazi watachelewa mashuleni na makazini? Magufuli anafanya kazi nzuri na priority zake ziko sawa. Bila kuboresha infrastructure hatuwezi kuendelea.
Umenibariki mno. Huyu uliyemjibu sijui level yake ya shule ni ipi. Ila ukiimarisha miundo uchumi na afya vitaimarika. Tazama penye usafiri wa kutegemea dAladala wanafunzi wasivyo na amani na makondakta. Cheki penye mwendo kasi walivyo na furaha na shule. Vivyo hivyo ki afya na kiuzalishaji. Haah! watu bwana!!???***^^^"""...
 
To Noise Makers! Magufuli is doing for the future Generations. SGR haitumiki kwa Miaka 10 tuu hii iatapunguza Mzigo kwa marais wajao watakua wana focus kuboresha vitu Vingine hakutakua na Mtu atakayekua anazungumzia Reli, Barabara au Ndege ndo evolution and developed huwa ilivyo.
 
... and he has his own priorities. He is right, and you might be right too.

True; both of you have valid talking points.

One key fact stands out though: MDGs.
Millennium Development Goals.

Worldwide, we are all time-bound by those quantified targets. Worth taking some time to catch up on the MDGs
 
I argue that the President should prioritize human capital development (health and education) over infrastructure, while not forgetting the agricultural sector.

Hello chief!

My take? Two scenarios...

Take 1 --> Have the infrastructure in place. Generate income/ revenue/ whatnot. Boost the HCD as you put it.

Take 2 --> Empower the HCD. A stronger, healthy and well learned/ knowledgeable/ skilled workforce provide the brains, labour and human capital to ensure that some marvelous infrastructure is in place.

On the flipside, however, what if:-

Scenario 1 --> Infrastructure is in place but doesn't generate enough revenue?
Or is the infrastructure supposed to be a marquee statement for future generations to see?

Scenario 2 --> Brain drain? You have all these healthy and well learned people who suddenly decide to go live and work in other countries out there!

I'd settle for a fine balance between the two; personally.
 
It will be wise to wait till you become a President in 2025 so that you can implement your ideas. This is Magufulis term and he has his own priorities. He is right, and you might be right too. Kila mtu anaamua aanzie kipi amalizie kipi. Na wote mko sahihi. Njia za kwenda songea ziko mbili. Kila mtu anaamua apitie wapi. Suala ni kufika na tutafika salama tena na neema kede kede.
Brother it is wise to keep your mandible shut if you are not sure of something(Bashite), Remember this things goes hand to hand they depend on each other, because you can not develop the nation by having illiterate citizen like you, second you can not also develop the nation by having unhealthy people, this will cost the nation in future, Take this; the main source of any independent country/state is Tax and investment not Begging from donor countries or from poor state like Morroco, Rwanda, Ethiophia, SA or Borrowing from World Bank/International monetary fund this is costly, if you have unhealthy Citizen who will pay Tax? if you will not have well organized education system the country will end providing work permit to foreigners(Experts) what next.. Withdrawal income instead of Injection of income.

Frankly speaking we are currently suffering because of Mwalimu's regime because he did not prioritize education(outcome of vyeti feki) and health(most people prefer waganga wa kienyeji) those days, the only education he provided is primary education in the village level, he use a lot of energy, time and fund to promote Ujamaa which in long run fail as well as fake union of Tanganyika and Zanzibar which is in dilemma.

The peace and unity which persist in Tanzania is by default because 98% of ethical tribe in Tanzania belong to the same group of origin which are Bantu speaking languages as compared to other countries surrounding us, therefore we are closely related(Watani) neither mwalimu or anybody brought it, except that the Green devil are destroying it by segregating people by their Political ideology.

All industries he started fails because of unskilled labor leaving about corruption and political discrimination, this was also seen yesterday in the parliament whereby the ruling part voted for incompetent people to represent the nation in east Africa parliament where there is conflict of interest(Kenya) because of political ideology.leaving about experienced people like Masha and Professor Safari, this is ridiculous.

Remember also what Magufuli is doing will run in vain if we will not have skilled and competent people to run and maintain this big projects, remember when colonies left they gave us the central rail, they did not demolished it, did we managed it? have you ever travel with these rail?, there is only one region in Tanzania who are using these rail Kigoma but they real suffer the consequences. just image how can you construct heavy flyover at Ubungo and Tazara while 80% of drainage system in Dar es salaam is poor, 90% of road are not passable during rain seasons or You build standard gauge rail while there are no medicine in public hospital, who will pass in those rail if all people are sick or death or is it for Tourism attraction? what magufuli is doing is political development(popularity) not subsistence Economic development.
 
It will be wise to wait till you become a President in 2025 so that you can implement your ideas. This is Magufulis term and he has his own priorities. He is right, and you might be right too. Kila mtu anaamua aanzie kipi amalizie kipi. Na wote mko sahihi. Njia za kwenda songea ziko mbili. Kila mtu anaamua apitie wapi. Suala ni kufika na tutafika salama tena na neema kede kede.

This is poor argumentation. Do you think everyone in this country will get a chance to serve as president? Say why do you think prioritizing education + health over infrastructure is a bad idea. Magufuli ni Rais wa Tanzania. Lakini si mmiliki pekee wa Tanzania. Kisa tu alishinda uchaguzi, haina maana kuwa ana haki ya kutekeleza kile tu anachotaka, bila kujali maoni ya watu wengine. Hiyo siyo tafsiri sahihi ya mtu kuchaguliwa kuongoza nchi. Na hiyo siyo tafsiri sahihi ya kiongozi.
 
Investment in infrastructure is key in driving development in any particular country, because good infrastructure attracts investments which creates employment and income. A more participatory approach in the planning and implementation process of the infrastructure projects will create awareness on their importance and why they have to make sacrifices for a better tomorrow.
Huge projects with long payoff period such as SGR, Power generation, roads are usually financed through debt where revenues derived is used to pay off the debt over time and human capital development projects from internal revenue sources.

When these projects are completed and in use the people will see the benefits and will hardly remember the sacrifices they had to bear to have them in place. So it is better that they are put in place now rather than wait for tomorrow.
 
Mmeanza tena! How can you achieve human development without having the basic physical systems of a nation i.e communication, electric systems and transportation.
Umeleta hoja nzuri sana. Thanks mkuu.
 
You are Right and Wrong at the same time!
mark these:
1. wagonjwa wanaofariki barabarani ni wachache ukilinganisha na wale wanaofia kwenye mabaraza na korido za Hospitali; wahudumu wachache with less skills, vifaa tiba shida.
2. Wanafunzi wanaomaliza Shule za msingi hawajui kusoma na kuhesabu ni wengi kuliko wale waliokosa kabisa nafasi ya kujiunga na shule hizo; walimu wako demoralised; mazingira ya kazi hafifu.
3. wafanyakazi wanawahi mahofisini lakin output ni kidogo; maslahi yao yamekaliwa, inservice training zimesimama; ajira hakuna.
4. Wananchi wa kawaida waliofilisiwa mitaji yao kwa kubomolewa sehemu za bihashara na makazi nao wanafanyaje sijui.

My take: JPM endelea kuimarisha miundombinu Baba ili wafanyakazi wawahi makazini, na wagonjwa wawahishwe mahospitalini; watu wasiokuwa na ajira na kukosa mitaji watatumia miundo mbinu kwenda kuomba.

Kwahiyo una suggest miundombinu iwekwe kando kwanza tujikite katika elimu na afya? Sasa utafikaje hospitali bila miundombinu? Wagonjwa wanakufa barabarani due to congestion na miundombinu finyu. Pia, bila miundombinu mizuri si wanafunzi, walimu, wafanyakazi watachelewa mashuleni na makazini? Magufuli anafanya kazi nzuri na priority zake ziko sawa. Bila kuboresha infrastructure hatuwezi kuendelea.
 
Hello chief!

My take? Two scenarios...

Take 1 --> Have the infrastructure in place. Generate income/ revenue/ whatnot. Boost the HCD as you put it.

Take 2 --> Empower the HCD. A stronger, healthy and well learned/ knowledgeable/ skilled workforce provide the brains, labour and human capital to ensure that some marvelous infrastructure is in place.

On the flipside, however, what if:-

Scenario 1 --> Infrastructure is in place but doesn't generate enough revenue?
Or is the infrastructure supposed to be a marquee statement for future generations to see?

Scenario 2 --> Brain drain? You have all these healthy and well learned people who suddenly decide to go live and work in other countries out there!

I'd settle for a fine balance between the two; personally.
Brain drain would be a good thing if you ask me because it will lead to increased financial inflows. Nigeria earns billions from diaspora remittances ($35 billion in 2016 alone).
Anyways, the IMF and World Bank reckon that good infrastructure in a country with very low HCD only serves to widen the gap between the haves and the have-nots.
How did the Asian tigers rise to where they are now? China...Korea.....Singapore etc
I think they did both infrastructure and HCD but first priority by far was HCD.
 
Magu hajali human capital/human resources
Tangu aingie madarakani amekua mtu wa kufrustrate watumishi mf tumbua majipu,vyeti feki, kuhamia Dodoma kwa spidi bila kujali watu wataishi wapi,kubana maslahi ya watumishi nk
 
I think the biggest problem facing us as a nation is the absence of a clear VISION that can lead us, and within this the LONG TERM and SHORT TERM plans being inclusive.

During president Kikwete's reign he tried the KILIMO KWANZA as a vision to transform agriculture into a more modernise sector of the economy and making Morogoro the Agricultural powerhub of the country but to no avail.
I do think Magufuli is on the track but should come~up with a clear implementable vision including the long term and short term plans clearly stating the priorities.

We should learn from our neighbours Kenya who in 2010 if i haven't mistaken came up with their "KENYA TOWARDS VISION 2030" and the fruits of vision 2030 can now be seen ranging from the Thika superhighway to the almost completed standard gauge railway completion, they've lowered subsidies to agricultural products and the likes, they've worked on upgrading slum like kibera etc etc etc.

So as a nation we should come up with an initiative Vision that will be our roadmap to boost our nation's development than going back to the drawing board time after time.
Your remarks have drawn my Attention.To some extent I agree with you.However ,lets not forget what transpired during the year 2015 Presedential campaigns.Most of the aspirant were of the view that the country had been infected wth corruption and had


A leadership vacuum and such everybody came out with either his party strategies or personal strategies. The learder of the 5th phase Gvt ,being himself in the Govt system for more than 20 years observed lazness and corruption were issues to takled first.Along with this during his campaign he had formed a team to advice him on the vital issues to be looked into(I read this in one of the news paper I stand to be corrected).in summary he came out with the Hapa kazi tu slogan .This can be compared with "Uhuru ni kazi." "Siasa ni kilimo""ushirikiano ni maendeleo"ect.with that in mind he chose to stimute the economy by buliding the essential infrastructure like roads,railways and airports .For those who happenned to follow years 1998_2005 parliamentary proceedings there was a big outcry on opening the central corrider as stimulant of economy.Also there was an outcry of boosting the tourisim industry(tourism is one of the major contributer of forex earnings in the govt cofers).Not all that Agriculture as the main employer lacked the necessary infrastructure to act as catalyst to farmers in handling their produce and market..with his Industrialisation drive obviously the country needs the proper infrastructure .Hence probably his choice.
On human capital development the 4th and 3rd phase Government did a lot and this is on going.thats why the 5th phase government chose to offer free education and to enhance proper management of education loans.Thre are many policies approved for human capital development what is required is implementation.with the growth of economy obviously the demand of human capital will increase but its implementation is on going and cannot be taken in isolation.The vision should be hard work for every one towards an Industrialised country.
 
Picture this;
You build flyovers and the SGR and buy planes and more roads.
Unaamini kweli kwamba wananchi wa chini wataweza kutumia hiyo miundombinu kujiimarisha kiuchumi kama hawana elimu?
Wewe panua akili yako usifikirie uchochoro miundo mbinu itawasaidia wananchi indirect kuweka miundombinu mizuri kwanza kutaatract wawekezaji na wawekezaji wakija serikali itapata kodi na huyo mwananchi mdogo unayemlilia atapata ajira pia kwa kubuy planes kutaatract watalii ambao wataingizia kipato Tanzania na kupatia ajira huyo mwananchi wa chini na mapato hayo yatakayopatikana yatajenga hizo zahanati na social development nyingine ujifunze kufikiria nje ya box ucreate namna ya kupata kipato sio kusubiria misaada.Big up our president
 
Wewe panua akili yako usifikirie uchochoro miundo mbinu itawasaidia wananchi indirect kuweka miundombinu mizuri kwanza kutaatract wawekezaji na wawekezaji wakija serikali itapata kodi na huyo mwananchi mdogo unayemlilia atapata ajira pia kwa kubuy planes kutaatract watalii ambao wataingizia kipato Tanzania na kupatia ajira huyo mwananchi wa chini na mapato hayo yatakayopatikana yatajenga hizo zahanati na social development nyingine ujifunze kufikiria nje ya box ucreate namna ya kupata kipato sio kusubiria misaada.Big up our president
Ukweli ndo huo.Raslmali watu ni mhimu lakini kwa kiasi ipo na imeishajengewa miundombinu ya kutosheleza na ni endelevu.Hao watu wa chini ndo wapi ?wale wakulima wa vijijini au au wale wanaoishi mjini bila kazi?.ukweli wakulima wanapata shida ya kuyafikia madoko.pia nchi kwa kutokuwa na miundombinu bora na imara inakosa fursa za wawekezaji na pia biashara na masoko..aEbu chukua mfano wa mkulima toka mkuranga na Nzasa ana matunda ya kufikisha Buguruni asubuhi anachukua muda gani kuvuka Tazara?Hebu fikira biashara kati ya Dar na mwanza ingekuwaje kamareli inafanya kazi kwa kiwango?.hebu wazia fursa ya biadhara kati ya Tanzania na majirani kama Rwanda na Burundi..Hebu wazia saa hizi Kigamboni imefunguka au?.Hebu wazia Malagarasi daraja la kikwete limefungua Tabora na Kigoma.lakini raslimali ipo na inaendelea kuendelezwa..Tumpe nafasi akamilishe vipaummbele vyake..Nakushukuru kwa kunipanua mawazo ila tuelewe Kazi ndo zinazaa mahitaji ya Raslimali watu.Na Raslimali watu inendelezwa kazini aiwekwi akiba.ndo maana ajira.shule na afunzo kwa vitendo ni endelevu
 
Back
Top Bottom