Picture this;
You build flyovers and the SGR and buy planes and more roads.
Unaamini kweli kwamba wananchi wa chini wataweza kutumia hiyo miundombinu kujiimarisha kiuchumi kama hawana elimu?
Absolutely right. Let's be patient. We will always have a price to pay for whatever we priotise. One thing is sure, that is JPM and his govt will never eradicate all our problems as some of us think. He will never do miracles. BUT will take us a very promising place in the history of this country at the expence of some price. This is what we wanted. We must support him in anyway possible. Tuache kulialiaGood to hear that from you.
You're typical Swahiliman! Always complain on every single thing.
When there's no development you complain! When there's development you still find reasons to complain!
I know everyone in this nation had a reason to complain for the rampant corruption of our past government.
But now we have a President, a real President!
Instead of all those pity issues, let's come together and share thoughts and ideas to put an end to corruption and focus on prosperity.
Just for the records: Magufuli is the best President that Tanzania has ever had and he has a clear vision to his people.
This is the President who is the first to make changes and he will be the one who made Tanzania amongst the best countries in the world, if not Africa!
Nadhani huyu mdau sio kwamba analalamika. Katoa hoja na mtazamo wake. Hakuna ubaya juu ya hilo. Swala sio uzuri au ubaya wa Raisi Magufuli...braza usipanick. Ishu ni kwamba kipi atilie mkazo. Mm nadhani vyote viwili ni muhimu, viendelezwe kwa pamoja. Bila elimu miundombinu haitotumika vizuri, na bila miundombinu elimu nzuri haiwezi kupatikana.Good to hear that from you.
You're typical Swahiliman! Always complain on every single thing.
When there's no development you complain! When there's development you still find reasons to complain!
I know everyone in this nation had a reason to complain for the rampant corruption of our past government.
But now we have a President, a real President!
Instead of all those pity issues, let's come together and share thoughts and ideas to put an end to corruption and focus on prosperity.
Just for the records: Magufuli is the best President that Tanzania has ever had and he has a clear vision to his people.
This is the President who is the first to make changes and he will be the one who made Tanzania amongst the best countries in the world, if not Africa!
Huyu kaanza kwa ku inyoosha nchi japo kwenye uchumi bado sana 'He has a long way to go' Majuzi alikutana na wafanya biashara 'that is a good development'It will be wise to wait till you become a President in 2025 so that you can implement your ideas. This is Magufulis term and he has his own priorities. He is right, and you might be right too. Kila mtu anaamua aanzie kipi amalizie kipi. Na wote mko sahihi. Njia za kwenda songea ziko mbili. Kila mtu anaamua apitie wapi. Suala ni kufika na tutafika salama tena na neema kede kede.
Umenibariki mno. Huyu uliyemjibu sijui level yake ya shule ni ipi. Ila ukiimarisha miundo uchumi na afya vitaimarika. Tazama penye usafiri wa kutegemea dAladala wanafunzi wasivyo na amani na makondakta. Cheki penye mwendo kasi walivyo na furaha na shule. Vivyo hivyo ki afya na kiuzalishaji. Haah! watu bwana!!???***^^^"""...Kwahiyo una suggest miundombinu iwekwe kando kwanza tujikite katika elimu na afya? Sasa utafikaje hospitali bila miundombinu? Wagonjwa wanakufa barabarani due to congestion na miundombinu finyu. Pia, bila miundombinu mizuri si wanafunzi, walimu, wafanyakazi watachelewa mashuleni na makazini? Magufuli anafanya kazi nzuri na priority zake ziko sawa. Bila kuboresha infrastructure hatuwezi kuendelea.
... and he has his own priorities. He is right, and you might be right too.
I argue that the President should prioritize human capital development (health and education) over infrastructure, while not forgetting the agricultural sector.
Kama kawaida yenu, mmeanza tena! So what are the best suggestions for running a successful government administration?
Brother it is wise to keep your mandible shut if you are not sure of something(Bashite), Remember this things goes hand to hand they depend on each other, because you can not develop the nation by having illiterate citizen like you, second you can not also develop the nation by having unhealthy people, this will cost the nation in future, Take this; the main source of any independent country/state is Tax and investment not Begging from donor countries or from poor state like Morroco, Rwanda, Ethiophia, SA or Borrowing from World Bank/International monetary fund this is costly, if you have unhealthy Citizen who will pay Tax? if you will not have well organized education system the country will end providing work permit to foreigners(Experts) what next.. Withdrawal income instead of Injection of income.It will be wise to wait till you become a President in 2025 so that you can implement your ideas. This is Magufulis term and he has his own priorities. He is right, and you might be right too. Kila mtu anaamua aanzie kipi amalizie kipi. Na wote mko sahihi. Njia za kwenda songea ziko mbili. Kila mtu anaamua apitie wapi. Suala ni kufika na tutafika salama tena na neema kede kede.
It will be wise to wait till you become a President in 2025 so that you can implement your ideas. This is Magufulis term and he has his own priorities. He is right, and you might be right too. Kila mtu anaamua aanzie kipi amalizie kipi. Na wote mko sahihi. Njia za kwenda songea ziko mbili. Kila mtu anaamua apitie wapi. Suala ni kufika na tutafika salama tena na neema kede kede.
Umeleta hoja nzuri sana. Thanks mkuu.Mmeanza tena! How can you achieve human development without having the basic physical systems of a nation i.e communication, electric systems and transportation.
Kwahiyo una suggest miundombinu iwekwe kando kwanza tujikite katika elimu na afya? Sasa utafikaje hospitali bila miundombinu? Wagonjwa wanakufa barabarani due to congestion na miundombinu finyu. Pia, bila miundombinu mizuri si wanafunzi, walimu, wafanyakazi watachelewa mashuleni na makazini? Magufuli anafanya kazi nzuri na priority zake ziko sawa. Bila kuboresha infrastructure hatuwezi kuendelea.
Brain drain would be a good thing if you ask me because it will lead to increased financial inflows. Nigeria earns billions from diaspora remittances ($35 billion in 2016 alone).Hello chief!
My take? Two scenarios...
Take 1 --> Have the infrastructure in place. Generate income/ revenue/ whatnot. Boost the HCD as you put it.
Take 2 --> Empower the HCD. A stronger, healthy and well learned/ knowledgeable/ skilled workforce provide the brains, labour and human capital to ensure that some marvelous infrastructure is in place.
On the flipside, however, what if:-
Scenario 1 --> Infrastructure is in place but doesn't generate enough revenue?
Or is the infrastructure supposed to be a marquee statement for future generations to see?
Scenario 2 --> Brain drain? You have all these healthy and well learned people who suddenly decide to go live and work in other countries out there!
I'd settle for a fine balance between the two; personally.
Your remarks have drawn my Attention.To some extent I agree with you.However ,lets not forget what transpired during the year 2015 Presedential campaigns.Most of the aspirant were of the view that the country had been infected wth corruption and hadI think the biggest problem facing us as a nation is the absence of a clear VISION that can lead us, and within this the LONG TERM and SHORT TERM plans being inclusive.
During president Kikwete's reign he tried the KILIMO KWANZA as a vision to transform agriculture into a more modernise sector of the economy and making Morogoro the Agricultural powerhub of the country but to no avail.
I do think Magufuli is on the track but should come~up with a clear implementable vision including the long term and short term plans clearly stating the priorities.
We should learn from our neighbours Kenya who in 2010 if i haven't mistaken came up with their "KENYA TOWARDS VISION 2030" and the fruits of vision 2030 can now be seen ranging from the Thika superhighway to the almost completed standard gauge railway completion, they've lowered subsidies to agricultural products and the likes, they've worked on upgrading slum like kibera etc etc etc.
So as a nation we should come up with an initiative Vision that will be our roadmap to boost our nation's development than going back to the drawing board time after time.
Wewe panua akili yako usifikirie uchochoro miundo mbinu itawasaidia wananchi indirect kuweka miundombinu mizuri kwanza kutaatract wawekezaji na wawekezaji wakija serikali itapata kodi na huyo mwananchi mdogo unayemlilia atapata ajira pia kwa kubuy planes kutaatract watalii ambao wataingizia kipato Tanzania na kupatia ajira huyo mwananchi wa chini na mapato hayo yatakayopatikana yatajenga hizo zahanati na social development nyingine ujifunze kufikiria nje ya box ucreate namna ya kupata kipato sio kusubiria misaada.Big up our presidentPicture this;
You build flyovers and the SGR and buy planes and more roads.
Unaamini kweli kwamba wananchi wa chini wataweza kutumia hiyo miundombinu kujiimarisha kiuchumi kama hawana elimu?
Ukweli ndo huo.Raslmali watu ni mhimu lakini kwa kiasi ipo na imeishajengewa miundombinu ya kutosheleza na ni endelevu.Hao watu wa chini ndo wapi ?wale wakulima wa vijijini au au wale wanaoishi mjini bila kazi?.ukweli wakulima wanapata shida ya kuyafikia madoko.pia nchi kwa kutokuwa na miundombinu bora na imara inakosa fursa za wawekezaji na pia biashara na masoko..aEbu chukua mfano wa mkulima toka mkuranga na Nzasa ana matunda ya kufikisha Buguruni asubuhi anachukua muda gani kuvuka Tazara?Hebu fikira biashara kati ya Dar na mwanza ingekuwaje kamareli inafanya kazi kwa kiwango?.hebu wazia fursa ya biadhara kati ya Tanzania na majirani kama Rwanda na Burundi..Hebu wazia saa hizi Kigamboni imefunguka au?.Hebu wazia Malagarasi daraja la kikwete limefungua Tabora na Kigoma.lakini raslimali ipo na inaendelea kuendelezwa..Tumpe nafasi akamilishe vipaummbele vyake..Nakushukuru kwa kunipanua mawazo ila tuelewe Kazi ndo zinazaa mahitaji ya Raslimali watu.Na Raslimali watu inendelezwa kazini aiwekwi akiba.ndo maana ajira.shule na afunzo kwa vitendo ni endelevuWewe panua akili yako usifikirie uchochoro miundo mbinu itawasaidia wananchi indirect kuweka miundombinu mizuri kwanza kutaatract wawekezaji na wawekezaji wakija serikali itapata kodi na huyo mwananchi mdogo unayemlilia atapata ajira pia kwa kubuy planes kutaatract watalii ambao wataingizia kipato Tanzania na kupatia ajira huyo mwananchi wa chini na mapato hayo yatakayopatikana yatajenga hizo zahanati na social development nyingine ujifunze kufikiria nje ya box ucreate namna ya kupata kipato sio kusubiria misaada.Big up our president