Huyo hata kwenye top 10 hawezi kuingia kwenye possibles.Soma uzi taratibu uone dharau zimeanzia wapi, mada imeletwa kuhusu Uhuru kunukuliwa akiimba wimbo wa Sauti Sol. Halafu kama kawaida yenu, msharogwa, mkaleta picha ya Uhuru ambayo haihusiani. Na mimi nikawaletea ya rais wenu mtarajiwa.
kama tukianzisha shindano la wanasiasa wenye sura mbaya kati ya kenya na tz,bila shaka kenya itaibuka kidedea.:biggrin::biggrin:
eugene wamalwa
Mmeshaondoka kwenye topic.
Chezea msuba weye!!
Nadhani pande zote mbili zitarudi kwenye topic wakishajuwa nani apendezae. Natumai wanaume walio hapa sio mashoga, sio kawaida wanaume kubandika picha za wanaume wengine kuona ni mwaume yupi kavutia sura kuliko mwengi, hiyo huwa ni kazi ya wanawake. Tungoje tuone kutaendaje. 😛oa:ranger:
Kupuliza nini?Endelea kupuliza kama mkuu wako
Kupuliza nini?
bangi..
kama tukianzisha shindano la wanasiasa wenye sura mbaya kati ya kenya na tz,bila shaka kenya itaibuka kidedea.:biggrin::biggrin:
eugene wamalwa
unikome kama makoma yaliyo juu ya mti, @#$%%%