kizaizai
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 5,651
- 6,966
Upuuzi gani tena?Upuuzi mtupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi gani tena?Upuuzi mtupu.
Na anawanyosha sio kidogo
😂😂😂🤝🤝"We are busy producing wealth… and you here want to disturb us. You are playing with fire because we cannot allow you to disturb us," he said.
I think so 😲😲M7 has nothing to lose, is ready to kill thousands after all is clocking 90yrs soon.
Kwa hiyo na wewe unajiona una matatizo ya akili?
Mfano ni Kama pale Libya baada ya nguvu ya uma kuishinda serikali na vikosi vyake hivi sasa wanaishi kwa amani na upendo si ndio mkuu...,😎😎😎Mkuu umechelewa mno kujua nguvu ya umma haijawahi kushindwa popote pale ulimwenguni pale inapoamua jambo lake.
Hata usambaze vikosi vyote mitaani na mabunduki bado askari watasalimu amri.
Kama hao walibya eti wanaishi kwa upendo na amani shauri yao😎Mfano ni Kama pale Libya baada ya nguvu ya uma kuishinda serikali na vikosi vyake hivi sasa wanaishi kwa amani na upendo si ndio mkuu...,😎😎😎