Nicolas J Clinton Gabone
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 879
- 491
Kura yako ni kati ya zile mil.6, haiwapi shida CCM.Niko sahihi na nitaendelea kuwa sahihi kutoipigia kura CCM.
Wafunge ofisi za vyama vya upinzani? Mfano Chadema wafungiwe ofisi ipi? Baba mwenye nyumba anatosha kuwamaliza nyie.Hata wakizuia, wacha wazuie tu. Ila muda na nyakati zinasonga mbele kwa kasi ya Ajabu sana. Mabadiliko ni lazima hata kama niko kifungoni tu muda ukifika umefika hakuna kikalagosi atakaye furukuta. Tena wamechelewa wakafunge na afisi ya vyema vya Upinzani ili wapumue. CCM ukitaja UKAWA, CHADEMA ukitaka kuwavuruga zaidi mtaje Lowassa yaani wanatamani waingie uvunguni. Waacheni wabweke tu we gonna see.
Habari za uhakika, pesa zilikuwa zitoke kwa ma-mvi, familia imegoma zisitoke.Wameshindwa kulipia, wamekuja huku kuzusha kuna figisu figisu.
Mods unganisheni na ule uzi unaoijibu hii Product Mpya kutoka katika kiwanda cha uongo. UZUSHI HUU
Naona kenge wote mmekimbilia hapa, CCM bhanaKura yako ni kati ya zile mil.6, haiwapi shida CCM.
CHADEMA wakosa fedha za kurusha Live Mkutano wao na Waandishi wa Habari.
CHADEMA walitoa taarifa kuwa wangerusha moja kwa moja mkutano wao na waandishi wa Habari ambao ulipangwa kufanyika leo kuanzia saa tano Asubuhi. Taarifa zinasema kuwa chama hicho kilialika vyombo vya Habari vya Azam, ITV, Channel Ten na Radio kadhaa kurusha hewani mkutano huo.
Hata hivyo, mpaka leo saa mbili Asubuhi, CHADEMA wamekosa fedha za kurusha hewani Mkutano huo. Inaelezwa kuwa Freeman Mbowe amesema kuwa chama hakina fedha kwa vile walitumia fedha nyingi kugharamia Mkutano wa Kamati kuu kutokana na kuongezeka kwa siku za mkutano huo kutoka siku mbili zilizopangwa awali hadi siku nne. Naye kiongozi wa heshima wa CHADEMA, Edward Lowasa alipofuatwa kuokoa jahazi alijinu kuwa imekuwa ninghafla mno na kwamba wangemwambia mapema, angewasiliana na maswahiba wake wangemsaidia.
Ka hali hiyo, Mkutano huo umeshindikana kuwa Live na sasa rusubiri recorded au clips zilizoeditiwa.
Mbaazi zikikosa maua. Tkiseni basi tuone?CHADEMA 'live' huwa ni mtikisiko na kishindo kikuu upande wa pili yaani huwa hawalali.
Acha ushabiki wako, walizuia ni vibaraka wako haoHabari za uhakika, pesa zilikuwa zitoke kwa ma-mvi, familia imegoma zisitoke.
Mkuu wewe unatafuta cheo CHADEMA?Wewe hata ukatibu kata hupati, na hicho kitengo chenu cha umbea na uzushi kitafyekwa siku si nyingi.
Kuna taarifa nimekutana nazo mahali kuwa ingawa ITV na AZAM wali-confirm jana kuwa watarusha LIVE (Mubashara) Press Conference ya Chadema leo hii wametoa sababu kuwa hawataweza kufanya hivyo kama walivyokuwa wameahidi, ITV kwa upande wao wamedai mitambo yao ina matatizo kidogo kwahio hawataweza wakati AZAM wamesema wamepeleka mitambo yao Zanzibar (huenda kuna shughuli nyingine).
Bas tunaendelea kushukuru kwa kila figisufigisu! Tunachukulia majibu hayo positively kama ni kweli au ni uongo! Huenda kesho na baadhi ya magazeti yasiripoti kabisa, tusishangae
Wanawafanya Watanzania wajinga hawa, alafu baadhi ya watu wanakurupuka na kuamini uzushi kama huu. Hawakukosea waliowaita Nyumbu kwakweli.Habari za uhakika, pesa zilikuwa zitoke kwa ma-mvi, familia imegoma zisitoke.
Mkuu wewe uko vizuri endelea tu na mawazo yako. Siyo mbaya nimekusikia kiongozi.Wafunge ofisi za vyama vya upinzani? Mfano Chadema wafungiwe ofisi ipi? Baba mwenye nyumba anatosha kuwamaliza nyie.
Kiwanda cha uongo ni kipi?Wameshindwa kulipia, wamekuja huku kuzusha kuna figisu figisu.
Mods unganisheni na ule uzi unaoijibu hii Product Mpya kutoka katika kiwanda cha uongo. UZUSHI HUU
Wakiitwa Watanzania na wewe utakwenda? Labda wana Nzi wa KijaniKwani maazimio gani mnataka kutwambia wananchi....watanzania tupo makazin nyinyi mnatusumbua na maazimio bora mpigwe ban tuu tena hata kweny magazet nisisikie
Mbaazi zikikosa maua. Tkiseni basi tuone?
Ndiyoooooooooooo....!!!Kwani maazimio gani mnataka kutwambia wananchi....watanzania tupo makazin nyinyi mnatusumbua na maazimio bora mpigwe ban tuu tena hata kweny magazet nisisikie