Press conference ya Mbunge Selasini leo: Intelejesia haina wasiwasi na mkusanyiko

Press conference ya Mbunge Selasini leo: Intelejesia haina wasiwasi na mkusanyiko

Daaah like really!!
Hayati Mwl. JK Nyerere alikuwa sahihi kabisa kujumuisha "Ujinga" miongoni mwa maadui wakuu wa Taifa letu!
Sanaa.. hata kama kuna 'so called uhuru wa kuongea' hii ni too much.. kwanza kipindi hiki hatarishi. Utashangaa polisi wanamuangalia tu..
Kama alikua anataka kutuelezea kuhusu kutolewa whatsapp angetoa press release au angejirekodi yeye mwenyewe akapost youtube.
 
Wanachama na wapenzi wa ccm duniani kote na wandishi wa habari macho na masikio leo yapo dodoma ambapo katika hotel ya st gasper bwana selasini atakuwa na mkutano KUELEZEA JINSI CHADEMA WALIVYOKATAA KUMUUNGA GROUP LA WHATSAPP

Mkutano huo ni wa muhimu sana haswa UKICHUKULIA INTELEJENSIA YA POLISI ishagundua kwamba hakutakuwa na maambukizi ya corona tofauti na ule wa last week wa bwana mbowe ambapo jeshi hilo mahiri kabisa linalofanya kazi kwa weledi bila upendeleo lilibidi livunje press conference yake ili kumuokoa na corona
Ikumbukwe ya kwamba Tanzania ni mojawapo ya nchi zinazofanya vizuri kudhibiti corona na inasemekana ni ywa kwanza duniani kwani kuna vifo 10 tu huku Rais Jpm akipongezwa duniani kote kwa kutowek alockdown na kuhimiza vapour steaming ili KULIUA FUTA LA CORONA ndani ya degree 100,hata wansayansi wakubwa duniani wote wamempigia saluti kwa ubunifu wake huo

kwa leo hatutaki story za corona wala PPE wala sijui uchumi umefanya ninimwaalimu shule binafsi na malalamiko memngine yasiyo na maana,MACHO NA MASIKIO DODOMA TUJUE HILO GROUP LA WHATSAPP KUNANI?NANI ADMIN?

Hata kama selasini alishatangaza ataondoka chadema mwezi june kujiunga na mwanabadiliko ,nguli liitwalo Mbatia zee laa mama Tanzania haimaanishi asiunge whatsapp
Imewasikitisha sana watanzania,mimi mwenyewe nimekesha usiku mzima nalia machozi ya kutosha kw akitendo hicho
Kwa hiyo Admin akikataa kukuunga group la whatsapp unaetisha press? Basi ma-admin wanayo kazi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sanaa.. hata kama kuna 'so called uhuru wa kuongea' hii ni too much.. kwanza kipindi hiki hatarishi. Utashangaa polisi wanamuangalia tu..
Kama alikua anataka kutuelezea kuhusu kutolewa whatsapp angetoa press release au angejirekodi yeye mwenyewe akapost youtube.

Aiseee!!
Hizi siasa za kipuuzi zinathibitisha kuwa tunashindwa kutumia vichwa vyetu kikamilifu!
 
Wanachama na wapenzi wa CCM duniani kote na wandishi wa habari macho na masikio leo yapo Dodoma ambapo katika hotel ya St. Gasper bwana Selasini atakuwa na mkutano KUELEZEA JINSI CHADEMA WALIVYOKATAA KUMUUNGA GROUP LA WHATSAPP.

Mkutano huo ni wa muhimu sana haswa UKICHUKULIA INTELEJENSIA YA POLISI ishagundua kwamba hakutakuwa na maambukizi ya corona tofauti na ule wa last week wa Bw. Mbowe ambapo jeshi hilo mahiri kabisa linalofanya kazi kwa weledi bila upendeleo lilibidi livunje press conference yake ili kumuokoa na corona.

Ikumbukwe ya kwamba Tanzania ni mojawapo ya nchi zinazofanya vizuri kudhibiti corona na inasemekana ni ya kwanza duniani kwani kuna vifo 10 tu huku Rais JPM akipongezwa duniani kote kwa kutoweka lockdown na kuhimiza vapour steaming ili KULIUA FUTA LA CORONA ndani ya degree 100, hata wansayansi wakubwa duniani wote wamempigia saluti kwa ubunifu wake huo.

Kwa leo hatutaki story za corona wala PPE wala sijui uchumi umefanya ninimwaalimu shule binafsi na malalamiko memngine yasiyo na maana,MACHO NA MASIKIO DODOMA TUJUE HILO GROUP LA WHATSAPP KUNANI? NANI ADMIN?

Hata kama Selasini alishatangaza ataondoka Chadema mwezi June kujiunga na mwanabadiliko, nguli liitwalo Mbatia zee laa mama Tanzania haimaanishi asiunge WhatsApp.

Imewasikitisha sana Watanzania, mimi mwenyewe nimekesha usiku mzima nalia machozi ya kutosha kwa kitendo hicho.
Mkutano gani wakati mikusanyiko hairuhusiwi mkuu?
 
Wanachama na wapenzi wa CCM duniani kote na wandishi wa habari macho na masikio leo yapo Dodoma ambapo katika hotel ya St. Gasper bwana Selasini atakuwa na mkutano KUELEZEA JINSI CHADEMA WALIVYOKATAA KUMUUNGA GROUP LA WHATSAPP.

Mkutano huo ni wa muhimu sana haswa UKICHUKULIA INTELEJENSIA YA POLISI ishagundua kwamba hakutakuwa na maambukizi ya corona tofauti na ule wa last week wa Bw. Mbowe ambapo jeshi hilo mahiri kabisa linalofanya kazi kwa weledi bila upendeleo lilibidi livunje press conference yake ili kumuokoa na corona.

Ikumbukwe ya kwamba Tanzania ni mojawapo ya nchi zinazofanya vizuri kudhibiti corona na inasemekana ni ya kwanza duniani kwani kuna vifo 10 tu huku Rais JPM akipongezwa duniani kote kwa kutoweka lockdown na kuhimiza vapour steaming ili KULIUA FUTA LA CORONA ndani ya degree 100, hata wansayansi wakubwa duniani wote wamempigia saluti kwa ubunifu wake huo.

Kwa leo hatutaki story za corona wala PPE wala sijui uchumi umefanya ninimwaalimu shule binafsi na malalamiko memngine yasiyo na maana,MACHO NA MASIKIO DODOMA TUJUE HILO GROUP LA WHATSAPP KUNANI? NANI ADMIN?

Hata kama Selasini alishatangaza ataondoka Chadema mwezi June kujiunga na mwanabadiliko, nguli liitwalo Mbatia zee laa mama Tanzania haimaanishi asiunge WhatsApp.

Imewasikitisha sana Watanzania, mimi mwenyewe nimekesha usiku mzima nalia machozi ya kutosha kwa kitendo hicho.
Dunia au uvccm, mkutano wa nini tena anapingana na serekali mikutano imepigwa marufuku au amepenyezewa kibali
 
Retired Chief Justice AUGUSTINO RAMADHANI of TANZANIA has passed on at AGA KHAN Hospital Dar es Salaam a few minutes ago. I will keep you updated.

Ibrahim H. JUMA
Chief Justice TANZANIA
 
Aondoke tu!!
Ni kweli aondoke, lkn pia ifike mahali, Lazima ifahamike kwenye makusanyiko ya watu wengi, ni vigumu Ku control mawazo ya kila mmoja Kwa kutumia nguvu na kulazimisha watu waseme ndio hata kama si mahali pa kuitikia ndiyo

Vyama vyetu virudishe utaratibu wa mazungumzo, kukaa mezani kutatua mikinzani ya mawazo na tofauti zao, si vizuri kila mwenye kuona dosari mahali badara ya kumsikiliza mnasema Tu aondoke, katika kuondoka Kwa mwanachama mmoja, hataondoka peke yake, naye anawatu nyuma yake,

Sina Chama, Ila Vyama vya Upinzani vikikosa nguvu, CCM watalala zaidi, Upinzani ulindwe Kwa Hali na Mali, napinga kauli ya kusema aondoke tu
 
ndo maana hawa wazungu wa hapa Amsterdam wako busy na tiviii
 
Hio dunia labda ni ya makalio yako
Wanachama na wapenzi wa CCM duniani kote na wandishi wa habari macho na masikio leo yapo Dodoma ambapo katika hotel ya St. Gasper bwana Selasini atakuwa na mkutano KUELEZEA JINSI CHADEMA WALIVYOKATAA KUMUUNGA GROUP LA WHATSAPP.

Mkutano huo ni wa muhimu sana haswa UKICHUKULIA INTELEJENSIA YA POLISI ishagundua kwamba hakutakuwa na maambukizi ya corona tofauti na ule wa last week wa Bw. Mbowe ambapo jeshi hilo mahiri kabisa linalofanya kazi kwa weledi bila upendeleo lilibidi livunje press conference yake ili kumuokoa na corona.

Ikumbukwe ya kwamba Tanzania ni mojawapo ya nchi zinazofanya vizuri kudhibiti corona na inasemekana ni ya kwanza duniani kwani kuna vifo 10 tu huku Rais JPM akipongezwa duniani kote kwa kutoweka lockdown na kuhimiza vapour steaming ili KULIUA FUTA LA CORONA ndani ya degree 100, hata wansayansi wakubwa duniani wote wamempigia saluti kwa ubunifu wake huo.

Kwa leo hatutaki story za corona wala PPE wala sijui uchumi umefanya ninimwaalimu shule binafsi na malalamiko memngine yasiyo na maana,MACHO NA MASIKIO DODOMA TUJUE HILO GROUP LA WHATSAPP KUNANI? NANI ADMIN?

Hata kama Selasini alishatangaza ataondoka Chadema mwezi June kujiunga na mwanabadiliko, nguli liitwalo Mbatia zee laa mama Tanzania haimaanishi asiunge WhatsApp.

Imewasikitisha sana Watanzania, mimi mwenyewe nimekesha usiku mzima nalia machozi ya kutosha kwa kitendo hicho.
 
Back
Top Bottom