Press Conference ya Mwigulu ilikuwa ni ya kimkakati

Inafikirisha, ngoja nitafakari kdg.
 
Kiongozi tuliyenaye hatoshi kwenye nafasi aliyopo.
Halafu eti wanampigia chapuo aendelee mpaka 2030!! Kuna mambo yanastaajabisha sana. Si ataidumbukiza kabisa nchi shimoni!!!
 
Hamna kitu kibaya kama kumuamini mtu ambaye hakuamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…