Hapo hatoboi. Mizizi imeelemewa time hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo hatoboi. Mizizi imeelemewa time hii.
Inafikirisha, ngoja nitafakari kdg.Nawasalimu sana wakuu,
Nimemsikiliza Mwigulu kwa umakini sana juu ya kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo. Kwanza amerudia kauli zilezile alizozoea kuzitoa lakini ukichunguza kwa undani zaidi, yeye alikuja kimkakati kuweka geresha kwa watz juu ya uagizaji wa mabasi 60 kampuni ya Ester Luxury.
Na Kuhusu mawaziri aliowaalika kwa kile alichokiita ufafanuzi wa serikali juu ya tozo, nao ulikuwa mkakati tu. Kwanza, ni nani alisema ameagiza hayo mabasi kwa tozo? Tumsaidie Rais.
Kusema na kutenda ni tofauti.🤣🤣🤣🤣 amesema yeye hamiliki ata Bajaj!
Hivi hayupo mwenye ushahidi wa kumuhusisha na mabasi hayo uwekwe hapa??Kusema na kutenda ni tofauti.
Halafu eti wanampigia chapuo aendelee mpaka 2030!! Kuna mambo yanastaajabisha sana. Si ataidumbukiza kabisa nchi shimoni!!!Kiongozi tuliyenaye hatoshi kwenye nafasi aliyopo.