Press ya Roma inaanza saa ngapi?

kila kitu kiko wazi iyo press nibkupotezeana mda tu
 
Utasubiri sana,ni kama kusubiri ujio wa pili wa Messiah.
 
Mtu aliyetekwa,watu wamemlilia na kumtafuta,anapata ukombozi anapatikana halafu anaulizwa ilikuaje anasema ntaongea wiki ijayo..!
Kweli watanzania tumefanywa wajinga hasa
Mkuu huyo Roma anapitia kwenye kipindi kigumu sana usimlaumu wewe hujui madhira na maumivu alopitia huko alikotekwa.
Kitu cha msingi ni usalama kwanza.
 
Roma ukweli wote kashamwambia mkewe. Wengine tusubiri taarifa ambayo iko edited
 
Chuki zako kwa wasafi ziskufanye kuwa mjinga kiasi icho
 
Hakuna siri ya watu wawil au zaidi ya mtu mmoja..walitekwa 4 lazima kuna mmoja atakuja ongea ukweli wote. Tujipe mda....
 
Yani wote mnaosema Roma kajifanyisha sijui kutengenezesha script wote ni ma fa fa fa fa fa fa
 
Yani wote mnaosema Roma kajifanyisha sijui kutengenezesha script wote ni ma fa fa fa fa fa fa
Ww pia kama unaamini roma alitekwa yaaan ww ni fe fe fe fe fe fe feliyaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…