JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Kwanza wamefanya press kwa kukurupuka tu. Hatujaelewa jambo lolote.
Pili, wamepunguza kodi ya madini toka 6% hadi 3%. Wakatutwisha mizigo hadi kwenye tumishahara ambato tusharipia kodi. Huu ni wizi na kukosa usimamizi wa rasilimali.
Kwa nini sasa tozo zinafanya kazi kubwa kuliko hata PAYE?. Kuliko hata kodi zingine zote?
Kwamba kabla ya tozo nchi ilikuwa haiendi?
Wanalamba asali na kutunyonya sisi tulioko chini?.
Rais mtoe kwanza huyu waziri wa fedha na mipango. Analeta siasa kwenye maisha yetu. Hayuko serious.
Anafabya kazi zake kivivu sana bila kutumia akili, ni kama kupiga bomi mortuary afu anajisifu kuwa na shabaha.
Kumbe Hata rudhuku ya mafuta mmehamihishia kwenye Tozo?
Kwanini lakini mnaishi maisha ya anasa huku wananchi wakilia?, Why? Mnatia hasira.
Pili, wamepunguza kodi ya madini toka 6% hadi 3%. Wakatutwisha mizigo hadi kwenye tumishahara ambato tusharipia kodi. Huu ni wizi na kukosa usimamizi wa rasilimali.
Kwa nini sasa tozo zinafanya kazi kubwa kuliko hata PAYE?. Kuliko hata kodi zingine zote?
Kwamba kabla ya tozo nchi ilikuwa haiendi?
Wanalamba asali na kutunyonya sisi tulioko chini?.
Rais mtoe kwanza huyu waziri wa fedha na mipango. Analeta siasa kwenye maisha yetu. Hayuko serious.
Anafabya kazi zake kivivu sana bila kutumia akili, ni kama kupiga bomi mortuary afu anajisifu kuwa na shabaha.
Kumbe Hata rudhuku ya mafuta mmehamihishia kwenye Tozo?
Kwanini lakini mnaishi maisha ya anasa huku wananchi wakilia?, Why? Mnatia hasira.