Presss ya Mawaziri leo, wanamaanisha nchi inajengwa na tozo tu?

Presss ya Mawaziri leo, wanamaanisha nchi inajengwa na tozo tu?

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Kwanza wamefanya press kwa kukurupuka tu. Hatujaelewa jambo lolote.

Pili, wamepunguza kodi ya madini toka 6% hadi 3%. Wakatutwisha mizigo hadi kwenye tumishahara ambato tusharipia kodi. Huu ni wizi na kukosa usimamizi wa rasilimali.

Kwa nini sasa tozo zinafanya kazi kubwa kuliko hata PAYE?. Kuliko hata kodi zingine zote?

Kwamba kabla ya tozo nchi ilikuwa haiendi?

Wanalamba asali na kutunyonya sisi tulioko chini?.

Rais mtoe kwanza huyu waziri wa fedha na mipango. Analeta siasa kwenye maisha yetu. Hayuko serious.

Anafabya kazi zake kivivu sana bila kutumia akili, ni kama kupiga bomi mortuary afu anajisifu kuwa na shabaha.


Kumbe Hata rudhuku ya mafuta mmehamihishia kwenye Tozo?

Kwanini lakini mnaishi maisha ya anasa huku wananchi wakilia?, Why? Mnatia hasira.
 
Kwanza wamefanya press kwa kukurupuka tu. Hatujaelewa jambo lolote.

Pili, wamepunguza kodi ya madini toka 6% hadi 3%. Wakatutwisha mizigo hadi kwenye tumishahara ambato tusharipia kodi. Huu ni wizi na kukosa usimamizi wa rasilimali.

Kwa nini sasa tozo zinafanya kazi kubwa kuliko hata PAYE?. Kuliko hata kodi zingine zote?

Kwamba kabla ya tozo nchi ilikuwa haiendi?

Wanalamba asali na kutunyonya sisi tulioko chini?.

Rais mtoe kwanza huyu waziri wa fedha na mipango. Analeta siasa kwenye maisha yetu. Hayuko serious.

Anafabya kazi zake kivivu sana bila kutumia akili, ni kama kupiga bomi mortuary afu anajisifu kuwa na shabaha.


Kumbe Hata rudhuku ya mafuta mmehamihishia kwenye Tozo?

Kwanini lakini mnaishi maisha ya anasa huku wananchi wakilia?, Why? Mnatia hasira.
kodi zingine ni ajili ya kununulia V8
 
Wale watu wanakula neema ya hii nchi usiombe

Niliwahi kuwa karibu na jamaa yangu mwenye kibarua huko karibu na hao jamaa aisee ni kufuru, huwezi kuamini hii nchi ni maskini kwa bata zile wanazokula waheshimiwa.

Kwanza wakipandishwa ndenge lazima iwe business class ukikata economy ujue litakukuta jambo baya
 
Kwanza wamefanya press kwa kukurupuka tu. Hatujaelewa jambo lolote.

Pili, wamepunguza kodi ya madini toka 6% hadi 3%. Wakatutwisha mizigo hadi kwenye tumishahara ambato tusharipia kodi. Huu ni wizi na kukosa usimamizi wa rasilimali.

Kwa nini sasa tozo zinafanya kazi kubwa kuliko hata PAYE?. Kuliko hata kodi zingine zote?

Kwamba kabla ya tozo nchi ilikuwa haiendi?

Wanalamba asali na kutunyonya sisi tulioko chini?.

Rais mtoe kwanza huyu waziri wa fedha na mipango. Analeta siasa kwenye maisha yetu. Hayuko serious.

Anafabya kazi zake kivivu sana bila kutumia akili, ni kama kupiga bomi mortuary afu anajisifu kuwa na shabaha.


Kumbe Hata rudhuku ya mafuta mmehamihishia kwenye Tozo?

Kwanini lakini mnaishi maisha ya anasa huku wananchi wakilia?, Why? Mnatia hasira.
Mawaziri mizigo.
Hawatumii akili kabisa.
 
Kwanza wamefanya press kwa kukurupuka tu. Hatujaelewa jambo lolote.

Pili, wamepunguza kodi ya madini toka 6% hadi 3%. Wakatutwisha mizigo hadi kwenye tumishahara ambato tusharipia kodi. Huu ni wizi na kukosa usimamizi wa rasilimali.

Kwa nini sasa tozo zinafanya kazi kubwa kuliko hata PAYE?. Kuliko hata kodi zingine zote?

Kwamba kabla ya tozo nchi ilikuwa haiendi?

Wanalamba asali na kutunyonya sisi tulioko chini?.

Rais mtoe kwanza huyu waziri wa fedha na mipango. Analeta siasa kwenye maisha yetu. Hayuko serious.

Anafabya kazi zake kivivu sana bila kutumia akili, ni kama kupiga bomi mortuary afu anajisifu kuwa na shabaha.


Kumbe Hata rudhuku ya mafuta mmehamihishia kwenye Tozo?

Kwanini lakini mnaishi maisha ya anasa huku wananchi wakilia?, Why? Mnatia hasira.
Kinacho trend ni kipi?
 
Wale watu wanakula neema ya hii nchi usiombe

Niliwahi kuwa karibu na jamaa yangu mwenye kibarua huko karibu na hao jamaa aisee ni kufuru, huwezi kuamini hii nchi ni maskini kwa bata zile wanazokula waheshimiwa.

Kwanza wakipandishwa ndenge lazima iwe business class ukikata economy ujue litakukuta jambo baya
Hatari sana.
Hii nchi tuna kazi ya kuikomboa.
 
Nawashangaa Sana hata mm. Kazi ya serikali ni kukusanya kodi na wajibu wa wananchi ni kulipa kodi LAKINI SIYO TOZO.
 
Tulieni dawa iwaingie. Huwa mna jifanya siasa haiwahusu na kura hampigi.
 
Inaonekana ndicho walichokubaliana kwenye kikao cha baraza la mawaziri jana. Akili zao zimeishia hapo.
 
Screenshot_20220830-151022_WhatsApp.jpg
 
Tulieni dawa iwaingie. Huwa mna jifanya siasa haiwahusu na kura hampigi.
Wewe mwenyewe ni shahidi kuwa hata kura yako haikuhesabika, waliamua tu hatumtaki huyu tunamtaka yule. Tanzania hakuna uchaguzi kuna zoezi tu la uchaguzi hivyo usilaumu mtu kupitia uchaguzi ambao ni kanyaboya tu.
Hata katiba kwa hawa watu, wataimba mapambio mwisho hakuna kitakachoeleweka.
 
Kwanza wamefanya press kwa kukurupuka tu. Hatujaelewa jambo lolote.

Pili, wamepunguza kodi ya madini toka 6% hadi 3%. Wakatutwisha mizigo hadi kwenye tumishahara ambato tusharipia kodi. Huu ni wizi na kukosa usimamizi wa rasilimali.

Kwa nini sasa tozo zinafanya kazi kubwa kuliko hata PAYE?. Kuliko hata kodi zingine zote?

Kwamba kabla ya tozo nchi ilikuwa haiendi?

Wanalamba asali na kutunyonya sisi tulioko chini?.

Rais mtoe kwanza huyu waziri wa fedha na mipango. Analeta siasa kwenye maisha yetu. Hayuko serious.

Anafabya kazi zake kivivu sana bila kutumia akili, ni kama kupiga bomi mortuary afu anajisifu kuwa na shabaha.


Kumbe Hata rudhuku ya mafuta mmehamihishia kwenye Tozo?

Kwanini lakini mnaishi maisha ya anasa huku wananchi wakilia?, Why? Mnatia hasira.
Mku mini mshahara mm wanakata katika Mafao yangu.
Sijui hiki chama changu kinaelekea wapi kwani uchao hakuna matumaini ya kumsaidia raia wa hali ya chini.
Mfano fedha za mafao unaikata tozo wakati mm nilipunguzwa kazi na mpaka sasa sijapata kazi nyingine kama miaka miwili sasa natafuta kazi bila mafanikio.
Sasa tusema chama changu kiamua kuwaingiza raia ktk umaskini usiostahili.
Hili halikubaliki kabisa hivi Nyerere au Mpaka wangekuwepo haya mambo mngezubutu kuyafanya kweli au ni vile tumekosa wa kutusemea
 
Nilisema Na ntasema tozo n mwamvuli tunaibiwa vingi nyuma ya pazia
Rudia
Ishu ya wanyama pori kusafiri njee
Madini kimya kabsa
Bandari kimya pia
Af inaibuka kitu cha ajabu kinaitwa tozo kama cover ya ukimya wote
Mzee alituachia watu wa ajabu sana
 
Nawashangaa Sana hata mm. Kazi ya serikali ni kukusanya kodi na wajibu wa wananchi ni kulipa kodi LAKINI SIYO TOZO.
Kimsingi serikali ya sasa inakwepa kukusanya kodi kwa wafanyabiashara.... Now kimbilio lao ni tozo tu...
 
Back
Top Bottom