The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ulisikiliza au ulikuwa una malengo yako? Kama kitu gani? Unajua kuna tozo ngapi?Shida ni kwamba press inaonesha kila kitu kinafanywa na Tozo.
Barabara tozo, Maji Tozo, Afya Tozo. Afya Tozo.
Kuna shida kwenye makuzi ya wengi wa vijana! wa sasa; watu tegemezi, wasio na uti wa mgongo!Kwanza wamefanya press kwa kukurupuka tu. Hatujaelewa jambo lolote.
Pili, wamepunguza kodi ya madini toka 6% hadi 3%. Wakatutwisha mizigo hadi kwenye tumishahara ambato tusharipia kodi. Huu ni wizi na kukosa usimamizi wa rasilimali.
Kwa nini sasa tozo zinafanya kazi kubwa kuliko hata PAYE?. Kuliko hata kodi zingine zote?
Kwamba kabla ya tozo nchi ilikuwa haiendi?
Wanalamba asali na kutunyonya sisi tulioko chini?.
Rais mtoe kwanza huyu waziri wa fedha na mipango. Analeta siasa kwenye maisha yetu. Hayuko serious.
Anafabya kazi zake kivivu sana bila kutumia akili, ni kama kupiga bomi mortuary afu anajisifu kuwa na shabaha.
Kumbe Hata rudhuku ya mafuta mmehamihishia kwenye Tozo?
Kwanini lakini mnaishi maisha ya anasa huku wananchi wakilia?, Why? Mnatia hasira.
Marehemu JPM angepandisha kodi na tozo zikawa juu hakuna hata mmoja wao angepiga kelele.Kinacho trend ni kipi?
Haya ndio madhara ya kuwachekea wapuuziMarehemu JPM angepandisha kodi na tozo zikawa juu hakuna hata mmoja wao angepiga kelele.
Miradi aliyoachiwa SSH ni mikubwa na inakula pesa nyingi. Kama mtu hataki tozo na asiwe wa kwanza kudai viwango katika ufanisi mzima wa serikali.
Huku ndiko kufunga mikanda kwenyewe.
SSH kaamua kuwa na serikali ya uwazi hivyo wanajibiwa kistaarabu sana.Haya ndio madhara ya kuwachekea wapuuzi
Kuendesha nchi sio shughuli ndogo mkuu.Shida ni kwamba press inaonesha kila kitu kinafanywa na Tozo.
Barabara tozo, Maji Tozo, Afya Tozo. Afya Tozo.
Hawataki kuelewa unawafanyaje? Na wanazidi kupotosha.SSH kaamua kuwa na serikali ya uwazi hivyo wanajibiwa kistaarabu sana.
Wale watu wanakula neema ya hii nchi usiombe
Niliwahi kuwa karibu na jamaa yangu mwenye kibarua huko karibu na hao jamaa aisee ni kufuru, huwezi kuamini hii nchi ni maskini kwa bata zile wanazokula waheshimiwa.
Kwanza wakipandishwa ndenge lazima iwe business class ukikata economy ujue litakukuta jambo baya