Pressure ya Banana na Hafsa Kazinja...

Pressure ya Banana na Hafsa Kazinja...

He yamekukuta yapi tena my mdogo???

Hebu niambie mapema kama ni TF nimshughulikie mara moja
 
mm cjaelewa kama presha kila m2 anaogopa presha na ndo mana hakuna ace ogopa cheche japo co moto lakn hakuna asie ogopa
 
Hivi FORCE+PRESSURE unapata nini? Hivi Newton 3rd Law of Motion inasemaje tena Rose??
Namjibia da Rose!
Third law: The mutual forces of action and reaction between two bodies are equal, opposite and collinear.
 
Mbona wasichana wengiiii eh ............kama ni madada zangu .........Mbona mabusu teleeee:drum:..............Mambo ya Kizungu hayoo:violin:...........!!
 
Mbona wasichana wengiiii eh ............kama ni madada zangu .........Mbona mabusu teleeee:drum:..............Mambo ya Kizungu hayoo:violin:...........!!

Mbona kigugumiziiiiiiiiii.....
 
Nimepita hapa kumwamkua mjukuu wangu Afrodenzi.

Mkimwona mumwambie babuye alipita kumkumbusha ugoro umekwisha na mkongojo umepinda.

Akisema shkamoo mwambieni nshaitikia marahaba kabla.

Narudi kitandani kukabiliana na Presha!
 
Nimepita hapa kumwamkua mjukuu wangu Afrodenzi.

Mkimwona mumwambie babuye alipita kumkumbusha ugoro umekwisha na mkongojo umepinda.

Akisema shkamoo mwambieni nshaitikia marahaba kabla.

Narudi kitandani kukabiliana na Presha!

:hand::hand::hand:..............Mungu Hana Kamati Wala Bunge................:israel::israel::israel:
 
My dear unadawa
za zinazopanda
maana hizo ndo zinanipa
Kizungu zungu
Na kiafrica Africa..

mi ninazo za zinazoshuka my dear.
Presha yako ibaki hivyo hvyo. Ikifikia kichina china umekwisha.
 
Hahaha lol
Vipi mwanaume mwenzangu
Zakupotea ?
Pressure na force zili
combine together nini? W

Heeh! kumbe weye na Rose1980 ni wanaume, mmh! bahati mbaya kweli......yaani mie ktk wadada wanaonivutia humu JF nyie wawili ndio mnaongoza sasa leo nimepigwa bumbuwazi kusikia kuwa ni wanaume lol! maskini ndoto zangu zimepotea ghafla, hasa kwa wewe afrodenzi!
 
:hand::hand::hand:..............Mungu Hana Kamati Wala Bunge................:israel::israel::israel:



The Following User Says Thank You to CPU For This Useful Post:

Asprin (Today)


Ngoja nikado the needful
 


The Following User Says Thank You to CPU For This Useful Post:

Asprin (Today)


Ngoja nikado the needful

Babu, sijakuona pale Sifuri PAB kitambo sasa

The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:

CPU (Today)

 

Babu, sijakuona pale Sifuri PAB kitambo sasa

The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:

CPU (Today)


Tatizo lako we dogo una ratiba nyingi sana.
 
Tatizo lako we dogo una ratiba nyingi sana.

Ahsante kwa kulifahamu hilo
Infact nimebadilishwa hata rank kazin from last 2 weeks
Saa hizi nimekuwa Head of Duty
 
Back
Top Bottom