Preta njoo nikutongoze, wengine tulieni mjifunze

hujaonyesha ukali,
kama mmetoka mbali,
preta kwako ni mali,
uendayo kuikosa.

mali bila daftari,
kuipoteza hiyari,
sasa jiweke tayari,
wengine shika hatamu.

Preta njoo, njoo ya rookhi njoo
Njoo nitoe changu kimaso maso
Kuna mtu mroho anataka nitoa roho
najua mimi ni wako na sina kwingineko
preta ni wangu aslani si wako
 
Preta njoo, njoo ya rookhi njoo
Njoo nitoe changu kimaso maso
Kuna mtu mroho anataka nitoa roho
najua mimi ni wako na sina kwingineko
preta ni wangu aslani si wako
wengi wetu yetu macho,
tumefika hitimisho,
preta fundi spesho,
mmeshindwa level zake.

kupenda siyo kunena,
matendo ya kiungwana,
nyoyo ziloridhiana,
si mizani wala vina.

ukimya wake preta,
wafanya mmeufyata,
bakini kuhatahata,
mmeshikwa na butwaa.

rudini mkajipange,
wala msijisimange,
ndimi zenu mzichunge,
ushauri msipinge.
 
Nyie pigeni tu miluzi na makelelle...mtoto yupo gheto langu la kishua tunafanya yetu[emoji196] [emoji217] [emoji217] [emoji217]
Preta hawez jib poleni kwa kupoteza mda ila inaonekana kamkubLia Vampire maana tangia preta aseme atachomolea wap. Jamaa alistuka akaenda Pm wakafanya yao.
 
naomba kujua wajameni, yuko wapi Jumanne Iddi, yule mkali wa bss, nadhani wa kwanza kabisa (marekebisho kama muhimu)
 
preta mwenyw kauchuna uyooo
daah!atoe ata busu mjamaa asilie
 
Pretaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...I missss yuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…