he meant kung'aaWTF is umeanza "kiny'aa" ??
Asante sana kiongozLotion za kiume
Nivea for Men...... Kuna aina zake pale kopo la blue, jeupe, dark blue
Au Vaseline unaangalia yep yanakufaa.....
Jua ngozi yako..... kama upo Dsm kapimr siku hz kuna skin care point kibao nenda hata sinza njia ya Tandale pale ndo lion sjui madukani utapata msaada na baada ya hapo utajua ni mafuta gani utatumia kupaka usoni.....
Achana na watu wenye mawazo ya kishenzi kila kitu kwao mwiko.....
Maisha hayapo hivyo!
Usijal mkuu.... karibu!Thanks
Asante sana kiongoz
Naomba apigwe fainiSi tulijadili kuwa hatupaki mafuta wewe kwenye kikao ulikuwa wapi..?
Huyu sio faini tu huyu viboko 25 vinatakiwa vimuhusu!Naomba apigwe faini
Kabisa, kuna harufu mbaya hapa...Ukiwa mwanaume hautaongea mambo ya ki=sengerema kama haya